-
Twitter yafunga kurasa za Hizbullah na shirika la habari la Quds
Nov 03, 2019 04:45Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imekosoa vikali hatua ya shirika la mtandao wa kijamii wa Twitter la Marekani ya kufuta kurasa zenye mfungamano na harakati hiyo kwenye mtandao huo.
-
Nasrullah: Hizbullah inatekeleza jukumu lake, Marekani inazuia utatuzi Lebanon
Nov 02, 2019 00:49Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon jana Ijumaa alitoa hotuba muhimu katika kumbukumbu za kumuenzi Allama Sayyid Murdha al Amili, mmoja wa maulamaa na wanavyuoni wakubwa wa nchini Lebanon, na mbali na kugusia shakhsia ya mwanachuoni huyo, amezungumzia pia matukio ya ndani ya Lebanon na kujiuzulu waziri mkuu wa nchi hiyo.
-
Wabunge wa Hizbullah: Marekani ndiye msababishaji wa fujo na machafuko ndani ya Lebanon
Nov 01, 2019 03:49Wabunge wa harakati ya Hizbullah katika bunge la Lebanon wamelaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi yao.
-
Waziri Mkuu wa Lebanon Saad al Hariri amejiuzulu
Oct 29, 2019 12:13Waziri Mkuu wa Lebanon Saad al Hariri ametangaza kujiuzulu huku nchi hiyo ikiwa imegubikwa na maandamano ya wananchi.
-
Jeshi la Lebanon latahadharisha kuhusu fitina na njama mpya za MOSSAD
Oct 29, 2019 08:20Jeshi la Lebanon limetoa taarifa likitangaza kuwa, ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Facebook unaofanya kazi chini ya usimamizi wa shirika la ujasusi la Israel MOSSAD kwa kutumia jina la "Jamal Fa" unatuma maombi na kutoa pesa kwa baadhi ya raia wa Lebanon.
-
Jihadul-Islami: Muqawama umesambaratisha njama za utawala wa Kizayuni
Oct 19, 2019 23:04Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islam ya Palestina amesema kuwa, muqawama umesambaratisha njama za utawala vamizi wa Kizayuni.
-
Maandamano ya watu wa Lebanon, makataa ya Hariri na ahadi za Jenerali Aoun
Oct 19, 2019 23:03Miji mbali mbali ya Lebanon, ukiwemo mji mkuu wa nchi hiyo, Beirut, kwa siku kadhaa sasa imeshuhudia maandamano ya wananchi wanaolalamikia sera za kiuchumi za serikali ya Waziri Mkuu Saad Hariri.
-
Rais wa Lebanon: Nitajitahidi kufanya kila niwezalo kupunguza maumivu ya wananchi
Oct 19, 2019 04:13Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema, atajitahidi kufanya kila lililo kwenye uwezo wake ili kupunguza maumivu waliyonayo wananchi.
-
Maandamano ya kupinga serikali yaendelea nchini Lebanon
Oct 18, 2019 11:49Maandamano ya kupinga serikali ya wananchi wa Lebanon yameendelea leo kwa waandamanaji kukusanyika karibu na ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge la nchi hiyo katika mji mkuu Beirut.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Hizbullah si kundi la kigaidi
Sep 25, 2019 01:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amesema: Harakati ya Hizbulllah ya Lebanon si kundi la kigaidi.