-
Maandamano ya kupinga serikali yaendelea nchini Lebanon
Oct 18, 2019 15:19Maandamano ya kupinga serikali ya wananchi wa Lebanon yameendelea leo kwa waandamanaji kukusanyika karibu na ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge la nchi hiyo katika mji mkuu Beirut.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Hizbullah si kundi la kigaidi
Sep 25, 2019 04:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amesema: Harakati ya Hizbulllah ya Lebanon si kundi la kigaidi.
-
Hizbullah yaitungua na kuiteketeza ndege nyingine isiyo na rubani ya Israel katika anga ya Lebanon
Sep 13, 2019 03:41Makombora ya ulinzi wa anga ya harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah yameitungua na kuiteketeza ndege isiyo na rubani ya ujasusi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Nasrallah: Hizbullah itajibu vikali uchokozi wowote wa utawala wa Israel
Sep 03, 2019 04:35Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na chokochoko zake dhidi ya Lebanon, na kusema: "Uchokozi wa Israel utapata jibu kali kutoka kwa harakati ya muqawama (Hizbullah)."
-
Waziri wa Ulinzi wa Lebanon: Tutajibu shambulizi lolote litakalofanywa na Israel
Sep 03, 2019 03:07Waziri wa Ulinzi wa Lebanon amesema kuwa, nchi hiyo itajibu shambulizi lolote litakalofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ardhi ya Lebanon na kwamba nchi hiyo hii leo ni imara zaidi kuliko ilivyokuwa miaka ya nyuma.
-
Onyo kali la Sayyid Hassan Nasrallah kwa uvamizi wa hivi karibuni wa Israel dhidi ya mhimili wa muqawama
Aug 27, 2019 02:40Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amehutubu Jumapili usiku mjini Beirut kwa munasaba wa kukombolewa eneo la Juroud Arsal kutoka mikononi mwa magaidi, na katika hotuba yake ametoa radiamali kali kuhusu mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya mhimili wa muqawama na kusema jeshi la Israel lisubiri jibu wakati wowote ule kuanzia Jumatatu usiku.
-
Msemaji wa serikali ya Iran: Utawala wa Kizayuni wa Israel ukubali taathira mbaya za uchokozi wake
Aug 26, 2019 12:01Msemaji wa Serikali ya Iran amelaani mashambulizi yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika nchi za Lebanon, Iraq na Syria na kusema kuwa, utawala huo unapaswa ukubali taathira mbaya za uchokozi huo.
-
Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia Lebanon: Israel inachezea moto
Aug 25, 2019 12:31Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia nchini Lebanon amesema, kuendeleza utawala wa Kizayuni wa Israel uchokozi dhidi ya Lebanon na Syria ni kuchezea moto, ambao utapelekea kuteketezwa utawala huo.
-
Ndege za kivita za Israel zakiuka anga ya Lebanon
Aug 20, 2019 13:20Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeingia kinyume cha sheria katika anga ya Lebanon hatua ambayo inakiuka azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Mafanikio na matokeo ya vita vya siku 33 kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrallah
Aug 18, 2019 08:23Sayyid Hassan Nasrallah Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Ijumaa alihutubu kwa mnasaba wa mwaka wa 13 wa ushindi katika vita vya siku 33 mwaka 2006.