-
Aoun: Kuiwekea vikwazo Hizbullah ni kuivunjia heshima Lebanon
Jul 11, 2019 11:22Rais wa Lebanon amesema kuwa vikwazo vya Marekani dhidi ya wawakilishi wa harakati ya Hizbullah ya nchi hiyo ni sawa na kuivunjia heshima Lebanon.
-
Kufeli kikao cha Manama, sababu iliyomfanya Kushner ajaribu kuirubuni Lebanon ikubali "Muamala wa Karne"
Jul 02, 2019 07:09Baada ya kushindwa njama zake za kuiangamiza kadhia ya Palestina kupitia kikao cha Manama, mji mkuu wa Bahrain; cha kufungua mpango wake wa "Mualama wa Karne," hivi sasa Jared Kushner, mshauri na mkwe wa rais wa Marekani, Donald Trump, ameelekeza nguvu zake upande wa Lebanon, kujaribu kuirubuni nchi hiyo ya Kiarabu ikubaliane na mpango wake huo.
-
Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, Palestina wasusia 'Muamala wa Karne'
Jun 24, 2019 12:48Wanazuoni na wasomi wa Kiislamu wa Lebanon na Palestina wamelaani njama ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina iliyopewa jina la 'Muamala wa Karne'.
-
Rais Michel Aoun: Njama zote za kutaka kuibua machafuko zitapata jibu kali
Jun 04, 2019 13:02Rais Michel Aoun wa Lebanon ametoa radiamali yake kufuatia shambulizi la kigaidi lililofanyika Tripoli nchini humo na kusema kuwa, hatua yoyote mbaya yenye lengo la kuibua ghasia ndani ya taifa hilo, itakabiliwa na jibu kali.
-
Rouhani: Mapambano ndiyo njia pekee ya kuwakabili wavamizi
May 27, 2019 07:24Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kuwanyooshea mkono wa pongezi wananchi wa Lebanon kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kukombolewa maeneo ya kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel, amesisitiza kuwa muqawama ndiyo njia pekee ya kukabiliana na wavamizi.
-
Nasrallah: Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa 'Muamala wa Karne"
May 26, 2019 06:27Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema: "Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" ambao lengo lake ni kusambaratisha kadhia ya Palestina.
-
Hizbullah: Israel itaangamia ikithubutu kuishambulia Lebanon
May 03, 2019 07:45Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ameutahadharisha utawala wa Tel Aviv dhidi ya kuanzisha vita vipya dhidi ya Lebanon na kusisitiza kuwa, wanajeshi wa utawala haramu wa Israel watasambaratishwa na kuangamizwa iwapo vita hivyo vitaibuka.
-
Hizbullah: Lengo letu ni kuuangamiza utawala wa kizayuni wa Israel
Apr 20, 2019 08:07Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, njia ya harakati hiyo ni kufuata maktaba ya Uislamu na kuuangamiza utawala ghasibu wa Israel unaoikalia kwa mabavu Beituul-Muqaddas.
-
Hizbullah: Utawala haramu wa Israel ndio chimbuko kuu la ugaidi duniani
Apr 20, 2019 04:24Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini lebanon, Sheikh Naim Qassem amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio chanzo kikuu cha ugaidi na uharibifu katika eneo la Asia Magharibi na duniani kwa ujumla.
-
Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu nchini Yemen inasikitisha mno
Apr 16, 2019 14:43Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi mkubwa ulionao kutokana na kutoridhisha kabisa hali ya kibinadamu nchini Yemen