Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Aoun: Kuiwekea vikwazo  Hizbullah ni kuivunjia heshima Lebanon

    Aoun: Kuiwekea vikwazo Hizbullah ni kuivunjia heshima Lebanon

    Jul 11, 2019 11:22

    Rais wa Lebanon amesema kuwa vikwazo vya Marekani dhidi ya wawakilishi wa harakati ya Hizbullah ya nchi hiyo ni sawa na kuivunjia heshima Lebanon.

  • Kufeli kikao cha Manama, sababu iliyomfanya Kushner ajaribu kuirubuni Lebanon ikubali

    Kufeli kikao cha Manama, sababu iliyomfanya Kushner ajaribu kuirubuni Lebanon ikubali "Muamala wa Karne"

    Jul 02, 2019 07:09

    Baada ya kushindwa njama zake za kuiangamiza kadhia ya Palestina kupitia kikao cha Manama, mji mkuu wa Bahrain; cha kufungua mpango wake wa "Mualama wa Karne," hivi sasa Jared Kushner, mshauri na mkwe wa rais wa Marekani, Donald Trump, ameelekeza nguvu zake upande wa Lebanon, kujaribu kuirubuni nchi hiyo ya Kiarabu ikubaliane na mpango wake huo.

  • Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, Palestina wasusia 'Muamala wa Karne'

    Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, Palestina wasusia 'Muamala wa Karne'

    Jun 24, 2019 12:48

    Wanazuoni na wasomi wa Kiislamu wa Lebanon na Palestina wamelaani njama ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina iliyopewa jina la 'Muamala wa Karne'.

  • Rais Michel Aoun: Njama zote za kutaka kuibua machafuko zitapata jibu kali

    Rais Michel Aoun: Njama zote za kutaka kuibua machafuko zitapata jibu kali

    Jun 04, 2019 13:02

    Rais Michel Aoun wa Lebanon ametoa radiamali yake kufuatia shambulizi la kigaidi lililofanyika Tripoli nchini humo na kusema kuwa, hatua yoyote mbaya yenye lengo la kuibua ghasia ndani ya taifa hilo, itakabiliwa na jibu kali.

  • Rouhani: Mapambano ndiyo njia pekee ya kuwakabili wavamizi

    Rouhani: Mapambano ndiyo njia pekee ya kuwakabili wavamizi

    May 27, 2019 07:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kuwanyooshea mkono wa pongezi wananchi wa Lebanon kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kukombolewa maeneo ya kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel, amesisitiza kuwa muqawama ndiyo njia pekee ya kukabiliana na wavamizi.

  • Nasrallah: Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa 'Muamala wa Karne

    Nasrallah: Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa 'Muamala wa Karne"

    May 26, 2019 06:27

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema: "Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" ambao lengo lake ni kusambaratisha kadhia ya Palestina.

  • Hizbullah: Israel itaangamia ikithubutu kuishambulia Lebanon

    Hizbullah: Israel itaangamia ikithubutu kuishambulia Lebanon

    May 03, 2019 07:45

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ameutahadharisha utawala wa Tel Aviv dhidi ya kuanzisha vita vipya dhidi ya Lebanon na kusisitiza kuwa, wanajeshi wa utawala haramu wa Israel watasambaratishwa na kuangamizwa iwapo vita hivyo vitaibuka.

  • Hizbullah: Lengo letu ni kuuangamiza utawala wa kizayuni wa Israel

    Hizbullah: Lengo letu ni kuuangamiza utawala wa kizayuni wa Israel

    Apr 20, 2019 08:07

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, njia ya harakati hiyo ni kufuata maktaba ya Uislamu na kuuangamiza utawala ghasibu wa Israel unaoikalia kwa mabavu Beituul-Muqaddas.

  • Hizbullah: Utawala haramu wa Israel ndio chimbuko kuu la ugaidi duniani

    Hizbullah: Utawala haramu wa Israel ndio chimbuko kuu la ugaidi duniani

    Apr 20, 2019 04:24

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini lebanon, Sheikh Naim Qassem amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio chanzo kikuu cha ugaidi na uharibifu katika eneo la Asia Magharibi na duniani kwa ujumla.

  • Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu nchini Yemen inasikitisha mno

    Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu nchini Yemen inasikitisha mno

    Apr 16, 2019 14:43

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi mkubwa ulionao kutokana na kutoridhisha kabisa hali ya kibinadamu nchini Yemen

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS