• Mbinu mpya za Saudi Arabia za kushadidisha mgogoro wa kisiasa wa Lebanon

    Mbinu mpya za Saudi Arabia za kushadidisha mgogoro wa kisiasa wa Lebanon

    Feb 23, 2016 00:11

    Kufuatia kujiuzulu Waziri wa Sheria wa Lebanon, Ashraf Rifi siku ya Jumapili, dunia imeanza kushuhudia hila na njama mpya za Saudia Arabia zenye lengo la kupanua zaidi mgogoro wa kisiasa huko Lebanon.

  • Wabunge Lebanon washindwa tena kumchagua Rais

    Wabunge Lebanon washindwa tena kumchagua Rais

    Feb 08, 2016 22:59

    Bunge la Lebanon lilikutana tena jana (Jumatatu) na kwa mara nyingine likashindwa kumchagua Rais kutokana na kutotimia idadi ya mahudhurio ya Wabunge kwa ajili ya zoezi hilo.

  • Aoun: Lebanon inahitaji Hizbullah kulinda mipaka yake

    Aoun: Lebanon inahitaji Hizbullah kulinda mipaka yake

    Feb 07, 2016 22:18

    Kiongozi wa chama cha Harakati Huru ya Kizalendo nchini Lebanon (FPM) amepongeza juhudi za Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah za kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini Syria na kusisitiza kuwa, Lebanon inaiihitaji Hizbullah kulinda mipaka yake.