-
Marais wa Misri na Ufaransa wajadiliana mgogoro wa Libya
Jul 16, 2020 08:02Marais wa Misri na Ufaransa wamefanya mazungumzo ya simu kuhusiana na mgogoro wa Libya.
-
Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani akiri kuhusu msimamo dhaifu wa EU mkabala na mgogoro wa Libya
Jul 15, 2020 02:56Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani amesema kuwa Umoja wa Ulaya umedhihirisha msimamo dhaifu katika kushughulikia mgogoro wa Libya.
-
Kuendelea mgogoro wa Libya na kushadidi uingiliaji wa kigeni katika masuala ya nchi hiyo
Jul 14, 2020 22:23Mgogoro wa Libya unaendelea kushuhudiwa huku nchi hiyo ikiwa imegeuzwa kuwa uwanja wa vita vya niaba baina ya mataifa mbalimbali.
-
Misri yaionya Uturuki, yasema operesheni dhidi ya mji wa Sirte huko Libya ni hatua hatari sana
Jul 14, 2020 06:22Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Misfri amekosoa vikali matamshi yaliyotolewa na mwenzake wa Uturuki kwamba Ankara inajitayarisha kushiriki katika operesheni ya kijeshi katika mji wa Sirte huko Libya na kusema matamshi hayo kuwa ni hatari kubwa.
-
IOM: Wahajiri 2,300 wanazuiliwa katika mazingira ya kuogofya Libya
Jul 14, 2020 03:33Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limesema maelfu ya wahajiri wanazuiliwa katika mazingira ya kutisha huko nchini Libya.
-
Algeria yakosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria
Jul 12, 2020 23:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amekosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria.
-
Uturuki: Usitishwaji vita Libya utategemea Haftar kuafiki kuondoa askari wake
Jul 12, 2020 09:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema Serikali ya Muafaka wa Kitaifa Libya, inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa, itaafiki mpatano ya usitishwaji vita iwapo tu jenerali muasi Khalifa Haftar ataondoa wapiganaji wake walioko maeneo ya kati na magharibi mwa nchi hiyo.
-
Sisitizo la Russia la kupatikana ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Libya
Jul 11, 2020 22:03Mgogoro wa kisiasa na vita vya Libya bado vinaendelea sambamba na jitihada zinazofanyika kikanda na kimataifa kwa ajili ya kupatikana ufumbuzi wa mgogoro huo.
-
Wasiwasi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya
Jul 09, 2020 21:54Vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Libya vimechukua sura mpya na tata na hasa kufuatia uamuzi wa wapiganaji wanaojiita Jeshi la Kitaifa la Libya linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar wa kuanzisha hujuma ya kuuteka mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, mnamo mwezi Aprili 2019 na uingiliaji wa nchi za kigeni kwa ajili ya kuziunga mkono pande hasimu katika mgogoro huo.
-
Guterres: Uingiliaji wa kigeni wa hivi sasa Libya haujawahi kushuhudiwa
Jul 09, 2020 10:55Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema uingiliaji wa madola ya kigeni katika mgogoro wa Libya unaoshuhudiwa hivi sasa upo katika kiwango ambacho hakijawahi kuonekana tena huko nyuma.