-
Wamarekani waandamana dhidi ya vitendo vya Wazayuni huko Palestina
Sep 09, 2022 12:18Wamarekani wamefanya maandamano katika baadhi ya miji ya nchi hiyo wakilaani jinai na hatua za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina.
-
Wapalestina wa Gaza wataka kushtakiwa Wazayuni walioua watoto wao
Aug 17, 2022 12:17Wakazi wa Ukanda wa Gaza wamefanya maandamano wakitaka kufunguliwa mashitaka utawala wa Kizayuni wa Israel katika mahakama za kimataifa, kwa kuua watoto wa Kipalestina katika eneo hilo ambalo liko chini mzingiro.
-
Rais wa Sierra Leone: Maandamano yalioua 27 yalilenga kuipindua serikali
Aug 13, 2022 11:16Rais wa Sierra Leone amesema maandamano ya fujo yaliyoshuhidiwa wiki hii nchini humo yalifanyika kwa shabaha ya kuipundua serikali anayoiongoza.
-
Wairani waandamana kulaani ukatili wa Israel dhidi ya wakazi wa Gaza
Aug 10, 2022 11:24Wananchi wa Iran jana Jumanne walifanya maandamano katika mji mkuu Tehran kulaani jinai za utawala wa Kizayuni za kuwaua shahidi wanawake na watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Waandamanaji DRC wavamia ofisi za UN, wataka kuondoka askari wa MONUSCO
Jul 26, 2022 03:35Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameshambulia makao makuu ya kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO katika mji wa Goma, makao makuu ya mkoa uliogubikwa na machafuko wa Kivu Kaskazini ambao unapakana na Rwanda na Uganda.
-
Watunisia waandamana tena kupinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais
Jul 24, 2022 07:24Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Tunisia wamemimika katika mitaa na barabara za nchi hiyo kushiriki maandamano ya kupinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais wao, Kais Saied.
-
Wapalestina watoa wito wa kufanyika maandamano makubwa kulaani safari ya kikanda ya Biden
Jul 13, 2022 07:22Wanaharakati wa Kipalestina wametoa wito wa kufanyika maandamano makubwa kulaani ziara ya Rais wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Tisa wauawa Sudan katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi
Jul 01, 2022 10:26Takriban waandamanaji tisa waliuawa kwa kupigwa risasi nchini Sudan siku ya Alhamisi, matabibu wamesema, huku umati mkubwa wa watu ukiingia mitaani licha ya ulinzi mkali na kukatika kwa mawasiliano kuandamana dhidi ya utawala wa kijeshi ulionyakua mamlaka miezi minane iliyopita.
-
Wamarekani waghadhibishwa na marufuku ya uavyaji mimba nchini humo
Jun 25, 2022 11:38Maandamano makubwa yameshuhudiwa katika miji na majimbo mbalimbali ya Marekani, kulalamikia hatua ya Mahakama ya Juu ya nchi hiyo ya kutengua haki ya kuavya mimba.
-
Wananchi wa Korea Kusini waandamana kupinga ngao ya Marekani ya THAAD
Jun 25, 2022 03:04Kwa mara nyingine wananchi wa Korea Kusini wamefanya maandamano kupinga mpango wa kusimikwa ngao ya makombora ya kisasa ya Marekani aina ya THAAD ndani ya nchi yao.