Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Iran yatuma salamu za rambirambi baada ya karibu watu 400 kufa kwa mafuriko DRC

    Iran yatuma salamu za rambirambi baada ya karibu watu 400 kufa kwa mafuriko DRC

    May 08, 2023 03:23

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma salamu za rambirambi na mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya watu karibu 400 kufariki dunia kwa janga la mafuriko.

  • Mafuriko yaua watu 14 Somalia; madaraja, barabara na nyumba zasombwa

    Mafuriko yaua watu 14 Somalia; madaraja, barabara na nyumba zasombwa

    Mar 28, 2023 07:36

    Kwa akali watu 14 wamefariki dunia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kusini mwa Somalia.

  • DRC: Kwa akali watu 120 wameaga dunia katika janga la mafuriko Kinshasa

    DRC: Kwa akali watu 120 wameaga dunia katika janga la mafuriko Kinshasa

    Dec 14, 2022 03:32

    Kwa akali watu 120 wamefariki dunia huko Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia janga la mafuriko makubwa yaliyoukumba mji huo hapo jana.

  • Maporomoko ya ardhi yaua watu 14 mazishini nchini Cameroon

    Maporomoko ya ardhi yaua watu 14 mazishini nchini Cameroon

    Nov 28, 2022 03:38

    Watu wasiopungua 14 wamepoteza maisha kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyotokea jana Jumapili nchini Cameroon.

  • Mafuriko yasababisha watu milioni 3.4 kupoteza makazi yao magharibi, katikati mwa Afrika

    Mafuriko yasababisha watu milioni 3.4 kupoteza makazi yao magharibi, katikati mwa Afrika

    Oct 29, 2022 04:20

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema mamilioni ya watu wamepoteza makazi yao katika nchi za magharibi na katikati mwa Afrika kutokana na mafuriko.

  • Walioaga dunia kwa mafuriko Nigeria wapindukia 500, Sudan Kusini 62

    Walioaga dunia kwa mafuriko Nigeria wapindukia 500, Sudan Kusini 62

    Oct 13, 2022 10:44

    Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na mafuriko huko nchini Nigeria imeongezeka na kufikia watu 500.

  • Mafuriko yaua watu 24 kaskazini mwa Nigeria

    Mafuriko yaua watu 24 kaskazini mwa Nigeria

    Oct 08, 2022 11:12

    Watu wasiopungua 24 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha katika jimbo la Katsina la kaskazini mwa Nigeria.

  • UN yapitisha azimio la kuisaidia Pakistan, yatoa indhari ya kukumbwa na janga la kiafya

    UN yapitisha azimio la kuisaidia Pakistan, yatoa indhari ya kukumbwa na janga la kiafya

    Oct 08, 2022 07:04

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuonyesha mshikamano na kufanikisha usaidizi kwa serikali na watu wa Pakistan ikiwemo misaada ya kibinadamu, ukarabati na ujenzi mpya sambamba na kuepusha majanga zaidi iwapo taifa hilo litakumbwa na janga la mafuriko kama la sasa.

  • Iran yatangaza utayari wa kuwasaidia waathirika wa mafuriko Pakistan

    Iran yatangaza utayari wa kuwasaidia waathirika wa mafuriko Pakistan

    Aug 28, 2022 07:48

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran iko tayari kutoa msaada wa aina yoyote kwa watu walioathiriwa na mafuriko katika nchi ndugu na jirani ya Pakistan.

  • Hali ya dharura yatangazwa Pakistan baada ya mafuriko kuua zaidi ya 900

    Hali ya dharura yatangazwa Pakistan baada ya mafuriko kuua zaidi ya 900

    Aug 27, 2022 11:14

    Serikali ya Pakistan imetangaza hali ya dharura baada ya mafuriko yaliyosababishwa na mvua kali za msimu kusababisha vifo vya mamia ya watu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS