Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Watu 180 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Afghanistan

    Watu 180 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Afghanistan

    Aug 26, 2022 07:16

    Watu wasiopungua 180 wamefariki dunia nchini Afghanistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zilizonyesha hivi karibuni.

  • Mafuriko yaua watu zaidi ya 50 nchini Sudan

    Mafuriko yaua watu zaidi ya 50 nchini Sudan

    Aug 14, 2022 07:27

    Makumi ya watu wameaga dunia kufuatia mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha mafuriko katika maeneo mbalimbali nchini Sudan.

  • Mafuriko yameua watu tisa katika eneo la Firuzkuh, Tehran

    Mafuriko yameua watu tisa katika eneo la Firuzkuh, Tehran

    Jul 29, 2022 10:11

    Mkuu wa Mkoa wa Tehran amesema watu tisa ameuawa kufuatia mafuriko usiku wa kuamkia Ijumaa katika wilaya ya Firuzkuh iliyo katika milima ya mashariki mwa Tehran na kuongeza kuwa watu wengine 16 hawajulikani waliko na wengine 13 wamejeruhiwa.

  • Mvua na mafuriko yaua watu zaidi ya 300 nchini Pakistan

    Mvua na mafuriko yaua watu zaidi ya 300 nchini Pakistan

    Jul 26, 2022 07:14

    Watu wasiopungua 310 wamefariki dunia nchini Pakistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zinazoendelea kunyesha nchini humo.

  • Watu wasiopungua 150 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Pakistan

    Watu wasiopungua 150 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Pakistan

    Jul 12, 2022 07:26

    Watu wasiopungua 150 wamefariki dunia nchini Pakistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zilizonyesha hivi karibuni.

  • Walioaga dunia kwa mafuriko Afrika Kusini waongezeka, wafikia 253

    Walioaga dunia kwa mafuriko Afrika Kusini waongezeka, wafikia 253

    Apr 14, 2022 02:26

    Idadi ya watu waliofariki dunia katika jimbo la KwaZulu-Natal nchini Afrika Kusini kutokana na mafuriko yaliyosababisha uharibifu mkubwa, imefikia zaidi ya 250.

  • Mafuriko na maporomoko ya ardhi yaua watu 58 nchini Ufilipino.

    Mafuriko na maporomoko ya ardhi yaua watu 58 nchini Ufilipino.

    Apr 13, 2022 07:45

    Watu karibu 60 wameaga dunia kutokana na kimbunga kilichosababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Ufilipino.

  • Waliofariki dunia kwa mafuriko nchini Brazil waongezeka hadi 117

    Waliofariki dunia kwa mafuriko nchini Brazil waongezeka hadi 117

    Feb 18, 2022 11:40

    Zaidi ya watu 117 wamefariki dunia baada ya siku kadhaa za mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yaliyoharibu barabara na nyumba nchini Brazil.

  • UN yasema malaki wameathiriwa na mafuriko nchini Sudan Kusini

    UN yasema malaki wameathiriwa na mafuriko nchini Sudan Kusini

    Sep 01, 2021 08:00

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA) imesema watu zaidi ya 380,000 wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini Sudan Kusini.

  • Mafuriko yaua makumi ya watu Afghanistan, 150 hawajulikani waliko

    Mafuriko yaua makumi ya watu Afghanistan, 150 hawajulikani waliko

    Jul 30, 2021 12:35

    Makumi ya watu wamepoteza maisha huku wengine wengi wakitoweka kutokana na mafuriko makubwa yaliyoikumba Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS