Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Mafuriko yasababisha watu milioni 3.4 kupoteza makazi yao magharibi, katikati mwa Afrika

    Mafuriko yasababisha watu milioni 3.4 kupoteza makazi yao magharibi, katikati mwa Afrika

    Oct 29, 2022 04:20

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema mamilioni ya watu wamepoteza makazi yao katika nchi za magharibi na katikati mwa Afrika kutokana na mafuriko.

  • Walioaga dunia kwa mafuriko Nigeria wapindukia 500, Sudan Kusini 62

    Walioaga dunia kwa mafuriko Nigeria wapindukia 500, Sudan Kusini 62

    Oct 13, 2022 10:44

    Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na mafuriko huko nchini Nigeria imeongezeka na kufikia watu 500.

  • Mafuriko yaua watu 24 kaskazini mwa Nigeria

    Mafuriko yaua watu 24 kaskazini mwa Nigeria

    Oct 08, 2022 11:12

    Watu wasiopungua 24 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha katika jimbo la Katsina la kaskazini mwa Nigeria.

  • UN yapitisha azimio la kuisaidia Pakistan, yatoa indhari ya kukumbwa na janga la kiafya

    UN yapitisha azimio la kuisaidia Pakistan, yatoa indhari ya kukumbwa na janga la kiafya

    Oct 08, 2022 07:04

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuonyesha mshikamano na kufanikisha usaidizi kwa serikali na watu wa Pakistan ikiwemo misaada ya kibinadamu, ukarabati na ujenzi mpya sambamba na kuepusha majanga zaidi iwapo taifa hilo litakumbwa na janga la mafuriko kama la sasa.

  • Iran yatangaza utayari wa kuwasaidia waathirika wa mafuriko Pakistan

    Iran yatangaza utayari wa kuwasaidia waathirika wa mafuriko Pakistan

    Aug 28, 2022 07:48

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran iko tayari kutoa msaada wa aina yoyote kwa watu walioathiriwa na mafuriko katika nchi ndugu na jirani ya Pakistan.

  • Hali ya dharura yatangazwa Pakistan baada ya mafuriko kuua zaidi ya 900

    Hali ya dharura yatangazwa Pakistan baada ya mafuriko kuua zaidi ya 900

    Aug 27, 2022 11:14

    Serikali ya Pakistan imetangaza hali ya dharura baada ya mafuriko yaliyosababishwa na mvua kali za msimu kusababisha vifo vya mamia ya watu.

  • Watu 180 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Afghanistan

    Watu 180 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Afghanistan

    Aug 26, 2022 07:16

    Watu wasiopungua 180 wamefariki dunia nchini Afghanistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zilizonyesha hivi karibuni.

  • Mafuriko yaua watu zaidi ya 50 nchini Sudan

    Mafuriko yaua watu zaidi ya 50 nchini Sudan

    Aug 14, 2022 07:27

    Makumi ya watu wameaga dunia kufuatia mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha mafuriko katika maeneo mbalimbali nchini Sudan.

  • Mafuriko yameua watu tisa katika eneo la Firuzkuh, Tehran

    Mafuriko yameua watu tisa katika eneo la Firuzkuh, Tehran

    Jul 29, 2022 10:11

    Mkuu wa Mkoa wa Tehran amesema watu tisa ameuawa kufuatia mafuriko usiku wa kuamkia Ijumaa katika wilaya ya Firuzkuh iliyo katika milima ya mashariki mwa Tehran na kuongeza kuwa watu wengine 16 hawajulikani waliko na wengine 13 wamejeruhiwa.

  • Mvua na mafuriko yaua watu zaidi ya 300 nchini Pakistan

    Mvua na mafuriko yaua watu zaidi ya 300 nchini Pakistan

    Jul 26, 2022 07:14

    Watu wasiopungua 310 wamefariki dunia nchini Pakistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zinazoendelea kunyesha nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS