Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Walioaga dunia kwa mafuriko Afrika Kusini waongezeka, wafikia 253

    Walioaga dunia kwa mafuriko Afrika Kusini waongezeka, wafikia 253

    Apr 14, 2022 02:26

    Idadi ya watu waliofariki dunia katika jimbo la KwaZulu-Natal nchini Afrika Kusini kutokana na mafuriko yaliyosababisha uharibifu mkubwa, imefikia zaidi ya 250.

  • Mafuriko na maporomoko ya ardhi yaua watu 58 nchini Ufilipino.

    Mafuriko na maporomoko ya ardhi yaua watu 58 nchini Ufilipino.

    Apr 13, 2022 07:45

    Watu karibu 60 wameaga dunia kutokana na kimbunga kilichosababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Ufilipino.

  • Waliofariki dunia kwa mafuriko nchini Brazil waongezeka hadi 117

    Waliofariki dunia kwa mafuriko nchini Brazil waongezeka hadi 117

    Feb 18, 2022 11:40

    Zaidi ya watu 117 wamefariki dunia baada ya siku kadhaa za mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yaliyoharibu barabara na nyumba nchini Brazil.

  • UN yasema malaki wameathiriwa na mafuriko nchini Sudan Kusini

    UN yasema malaki wameathiriwa na mafuriko nchini Sudan Kusini

    Sep 01, 2021 08:00

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA) imesema watu zaidi ya 380,000 wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini Sudan Kusini.

  • Mafuriko yaua makumi ya watu Afghanistan, 150 hawajulikani waliko

    Mafuriko yaua makumi ya watu Afghanistan, 150 hawajulikani waliko

    Jul 30, 2021 12:35

    Makumi ya watu wamepoteza maisha huku wengine wengi wakitoweka kutokana na mafuriko makubwa yaliyoikumba Afghanistan.

  • Idadi ya watu waliofariki katika mafuriko yaliyotokea Ulaya imefika 153

    Idadi ya watu waliofariki katika mafuriko yaliyotokea Ulaya imefika 153

    Jul 17, 2021 07:49

    Watu 153 wamefariki dunia hadi sasa kutokana na mafuriko yaliyotokana na mvua kali zilizonyesha magharibi na kaskazini mwa Ulaya na kusababisha mito kufurika na kingo zake kupasuka.

  • Makumi wafariki dunia kutokana na mafuriko, maporomoko ya ardhi Indonesia

    Makumi wafariki dunia kutokana na mafuriko, maporomoko ya ardhi Indonesia

    Apr 04, 2021 12:50

    Makumi ya watu wamepoteza maisha na wengine wengi hawajulikani walipo baada ya kutokea mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Indonesia.

  • UN: Mafuriko yameua watu 35 nchini Somalia, milioni 1.6 wameathiriwa

    UN: Mafuriko yameua watu 35 nchini Somalia, milioni 1.6 wameathiriwa

    Oct 29, 2020 07:06

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kupoteza maisha watu 35 nchini Somalia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini humo.

  • Majanga ya kimaumbile yaongezeka maradufu duniani kote

    Majanga ya kimaumbile yaongezeka maradufu duniani kote

    Oct 13, 2020 12:09

    Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imebaini kuwa majanga ya kimaumbile yameongezeka maradufu katika kipindi cha miaka 20 iliyopita huku mabadiliko ya tabianchi yakitajwa kuwa sababu kuu ya hali hiyo.

  • Watu milioni moja waathiriwa na mafuriko nchini Ethiopia

    Watu milioni moja waathiriwa na mafuriko nchini Ethiopia

    Oct 01, 2020 07:50

    Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa watu milioni moja wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Ethiopia, ambapo laki tatu miongoni mwao wamelazimika kuyahama makazi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS