-
Watu milioni moja waathiriwa na mafuriko nchini Ethiopia
Oct 01, 2020 07:50Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa watu milioni moja wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Ethiopia, ambapo laki tatu miongoni mwao wamelazimika kuyahama makazi yao.
-
Hasara za mafuriko zaongezeka nchini Sudan
Sep 19, 2020 07:32Idara ya Ulinzi wa Raia nchini Sudan imetangaza habari ya kuongezeka hasara za roho za watu na mali kutokana na mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo. Kwa mujibu wa idara hiyo, zaidi ya watu laki saba na 70 elfu wamepata hasara kutokana na mafutiko hayo.
-
Mafuriko yaua watu zaidi ya 70 nchini Nigeria
Sep 18, 2020 08:06Kwa akali watu 77 wameaga dunia kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Nigeria.
-
Mvua na mafuriko yaua na kujeruhi makumi nchini Burkina Faso
Sep 10, 2020 15:51Serikali ya Burkina Faso imetangaza kuwa nchi hiyo inakabiliwa na janga la kimaumbile baada ya watu 13 kupoteza maisha kutokana na mafuriko, huku wengine 19 wakijeruhiwa.
-
Sudan yaomba msaada wa kimataifa kwa waathiriwa wa mafuriko
Sep 08, 2020 16:22Waziri wa Afya wa Sudan ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kujitokea maradhi ya kuambukiza katika siku kadhaa zijazo kutokana na maafa yaliyosababisha na mafuriko makubwa yanayoendelea nchini humo.
-
Mvua na mafuriko yaua watu 45 nchini Niger
Aug 29, 2020 23:55Kwa akali watu 45 wameaga dunia kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Niger.
-
Mafuriko yaua makumi ya watu na wengine wapoteza makazi Abuja, Nigeria
Aug 02, 2020 10:59Mafuriko makubwa yaliyotokea katika kitongoji kimoja cha mji mkuu wa Nigeria, Abuja na mji mwingine wa nchi hiyo, yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 30.
-
Mafuriko yaua 189 India na Nepal, milioni 4 waachwa bila makazi
Jul 19, 2020 10:52Watu wasiopungua 189 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini India na katika nchi jirani ya Nepal.
-
Watu 140 wafariki dunia kwa mafuriko China
Jul 15, 2020 07:40Serikali ya China imetangaza kuwa watu takriban 140 wameaga dunia baada ya nchi hiyo kuathiriwa na mafuriko mabaya zaidi kuwahi kuikumba China katika kipindi cha zaidi ya miaka 30 nchini humo. Aidha watu milioni 38 wameathiriwa na mafuriko hayo na nyumba elfu 28 zimebomoka.
-
Mafuriko yaua watu 260 Kenya, Rwanda na Somalia
May 08, 2020 08:18Kwa akali watu 260 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afrika Mashariki za Kenya, Rwanda na Somalia.