-
Mvua, mafuriko na maporomoko ya ardhi yasababisha maafa Kenya
Apr 21, 2020 08:07Kwa akali watu 12 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo ya Kenya.
-
Mafuriko yaua watu 25 mashariki mwa Kongo DR
Apr 19, 2020 07:55Kwa akali watu 25 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Familia zaidi ya 6000 zaathiriwa na mafuriko magharibi mwa Kenya
Dec 29, 2019 07:55Afisa wa serikali ya Kenya jana alisema kuwa familia zaidi ya 6000 katika mji wa Kisumu magharibi mwa nchi hiyo zimeathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyoanza mapema wiki jana katika mkesha wa Krismasi.
-
Watu wasiopungua 265 wapoteza maisha katika mafuriko Afrika Mashariki
Dec 07, 2019 04:04Mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha mafuriko katika nchi za Afrika Mashariki katika kipindi cha miezi miwili iliyopita zimeuwa watu wasiopungua 265.
-
Mvua, radi na mafuriko yaua watu 10 nchini Tanzania
Nov 25, 2019 12:23Watu tisa wa familia mbili wamefariki dunia katika wilaya ya Sengerema, mkoani Mwanza nchini Tanzania, baada ya nyumba zao kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali duniani.
-
Wakimbizi laki moja wakwama kambini kwa mafuriko Nigeria
Nov 14, 2019 02:42Wakimbizi wa Ndani (IDPs) zaidi ya laki moja wameshindwa kutoka makambini kutokana na mafuriko makubwa yaliyolikumba jimbo la Borno la kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Mvua na mafuriko yaendelea kuua na kusababisha hasara nchini Tanzania
Oct 26, 2019 12:08Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya Tanzania zimeendelea kusababisha maafa na hasara kubwa nchini humo.
-
Mvua na mafuriko yaua karibu watu 150 nchini India
Oct 01, 2019 08:08Watu 148 wamepoteza maisha baada ya kusombwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha kwa siku tano sasa nchini India.
-
UN: Mvua na mafuriko yameua watu 78 nchini Sudan
Sep 08, 2019 12:15Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imesema kuwa mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini Sudan yameua makumi ya watu.
-
Mvua na mafuriko yaua watu 9 Puntland, Somalia
Jun 03, 2019 10:32Kwa akali watu tisa wamefariki dunia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.