Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Mvua, mafuriko na maporomoko ya ardhi yasababisha maafa Kenya

    Mvua, mafuriko na maporomoko ya ardhi yasababisha maafa Kenya

    Apr 21, 2020 08:07

    Kwa akali watu 12 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo ya Kenya.

  • Mafuriko yaua watu 25 mashariki mwa Kongo DR

    Mafuriko yaua watu 25 mashariki mwa Kongo DR

    Apr 19, 2020 07:55

    Kwa akali watu 25 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Familia zaidi ya 6000 zaathiriwa na mafuriko magharibi mwa Kenya

    Familia zaidi ya 6000 zaathiriwa na mafuriko magharibi mwa Kenya

    Dec 29, 2019 07:55

    Afisa wa serikali ya Kenya jana alisema kuwa familia zaidi ya 6000 katika mji wa Kisumu magharibi mwa nchi hiyo zimeathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyoanza mapema wiki jana katika mkesha wa Krismasi.

  • Watu wasiopungua 265 wapoteza maisha katika mafuriko Afrika Mashariki

    Watu wasiopungua 265 wapoteza maisha katika mafuriko Afrika Mashariki

    Dec 07, 2019 04:04

    Mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha mafuriko katika nchi za Afrika Mashariki katika kipindi cha miezi miwili iliyopita zimeuwa watu wasiopungua 265.

  • Mvua, radi na mafuriko yaua watu 10 nchini Tanzania

    Mvua, radi na mafuriko yaua watu 10 nchini Tanzania

    Nov 25, 2019 12:23

    Watu tisa wa familia mbili wamefariki dunia katika wilaya ya Sengerema, mkoani Mwanza nchini Tanzania, baada ya nyumba zao kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali duniani.

  • Wakimbizi laki moja wakwama kambini kwa mafuriko Nigeria

    Wakimbizi laki moja wakwama kambini kwa mafuriko Nigeria

    Nov 14, 2019 02:42

    Wakimbizi wa Ndani (IDPs) zaidi ya laki moja wameshindwa kutoka makambini kutokana na mafuriko makubwa yaliyolikumba jimbo la Borno la kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Mvua na mafuriko yaendelea kuua na kusababisha hasara nchini Tanzania

    Mvua na mafuriko yaendelea kuua na kusababisha hasara nchini Tanzania

    Oct 26, 2019 12:08

    Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya Tanzania zimeendelea kusababisha maafa na hasara kubwa nchini humo.

  • Mvua na mafuriko yaua karibu watu 150 nchini India

    Mvua na mafuriko yaua karibu watu 150 nchini India

    Oct 01, 2019 08:08

    Watu 148 wamepoteza maisha baada ya kusombwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha kwa siku tano sasa nchini India.

  • UN: Mvua na mafuriko yameua watu 78 nchini Sudan

    UN: Mvua na mafuriko yameua watu 78 nchini Sudan

    Sep 08, 2019 12:15

    Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imesema kuwa mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini Sudan yameua makumi ya watu.

  • Mvua na mafuriko yaua watu 9 Puntland, Somalia

    Mvua na mafuriko yaua watu 9 Puntland, Somalia

    Jun 03, 2019 10:32

    Kwa akali watu tisa wamefariki dunia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS