Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuta

  • Tahadhari ya Katibu Mkuu wa OPEC kuhusu taathira hasi za kuiwekea Iran vikwazo vya mafuta

    Tahadhari ya Katibu Mkuu wa OPEC kuhusu taathira hasi za kuiwekea Iran vikwazo vya mafuta

    May 03, 2019 23:08

    Hatua ya serikali ya Marekani kuiwekea Iran vikwazo vya mafuta baada ya kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA imekabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wanunuzi wa mafuta ghafi ya petroli ya Iran katika soko la kimataifa na pia kutoka kwa wakuu wa Shirika la Nchi Zinazouza Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC).

  • OPEC: Ni muhali kuyaondoa mafuta ya Iran katika soko la dunia

    OPEC: Ni muhali kuyaondoa mafuta ya Iran katika soko la dunia

    May 02, 2019 09:10

    Katibu Mkuu wa Shirika la Nchi Zinazouza Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC) amesema ni muhali kuyaondoa mafuta ya Iran katika soko la kimataifa na kwamba shirika hilo linafanya juu chini kuhakikisha kuwa siasa haziingizwi katika biashara ya mafuta.

  • Kusimamishwa uuzaji wa mafuta ya Iran, ni ukweli au ndoto?

    Kusimamishwa uuzaji wa mafuta ya Iran, ni ukweli au ndoto?

    May 02, 2019 07:30

    Waziri wa Mafuta wa Iran amesema, hata kama kukatwa kabisa na kufikishwa katika kiwango cha sufuri uuzaji nje wa mafuta ya Iran ni matarjio ya Marekani na nchi mbili jirani na Iran, lakini jambo hilo halitekelezeki kivitendo.

  • Rouhani: Wamarekani hawawezi kuzuia uuzaji mafuta ya Iran

    Rouhani: Wamarekani hawawezi kuzuia uuzaji mafuta ya Iran

    May 01, 2019 08:22

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua ya Marekani ya kutaka kuzuia mafuta ghafi ya petroli ya Iran yauzwe katika soko la kimataifa na kusema: "Marekani haiwezi kuizuia Iran kuuza mafuta na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itauza mafuta yake."

  • Baqeri: Marekani lazima iombe idhini kwa jeshi la Iran la SEPAH kuweza kupita Hormuz

    Baqeri: Marekani lazima iombe idhini kwa jeshi la Iran la SEPAH kuweza kupita Hormuz

    Apr 28, 2019 23:40

    Mkuu wa Majeshi ya Iran amesema kuwa meli za Marekani haziwezi kupita katika Lango Bahari la Hormuz bila ya kuomba idhini kwanza kutoka kwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH.

  • Waziri wa Mafuta wa Nigeria: Mauzo ya mafuta ya Iran hayawezi kufikia kiwango cha sifuri

    Waziri wa Mafuta wa Nigeria: Mauzo ya mafuta ya Iran hayawezi kufikia kiwango cha sifuri

    Apr 26, 2019 03:42

    Waziri wa Mafuta wa Nigeria ametoa radiamali kufuatia uamuzi wa Marekani wa kufuta kibali cha ununuzi wa mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kuwa, ni jambo lisilowezekana kufikisha mauzo ya mafuta ya Iran kwenye kiwango cha sifuri.

  • IRGC: Ikibidi, Iran itafunga lango bahari la Hormuz

    IRGC: Ikibidi, Iran itafunga lango bahari la Hormuz

    Apr 23, 2019 09:40

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limesema lango bahari la Hormuz ni njia ya kimataifa ya majini na kwamba Iran haitakuwa na chaguo jingine ghairi ya kulifunga lango hilo la kistratajia iwapo itazuiwa kulitumia.

  • Sisitizo la Rais Maduro kuwa Marekani inahusika na ugaidi na uharibifu nchini Venezuela

    Sisitizo la Rais Maduro kuwa Marekani inahusika na ugaidi na uharibifu nchini Venezuela

    Mar 25, 2019 22:35

    Rais Donald Trump wa Marekani katika chote cha utawala wake amekuwa akifuatilia sera za kuiangusha serikali halali ya Rais Nicolas Maduro nchini Venezuela kutokana na kuwa rais huyo anafuata sera za mrengo wa kushoto za kupinga ubeberu na ubepari wa Marekani na Wamagharibi.

  • Maandamano Zimbabwe baada ya ongezeko la bei ya mafuta kwa 150%

    Maandamano Zimbabwe baada ya ongezeko la bei ya mafuta kwa 150%

    Jan 14, 2019 12:00

    Wananchi wa Zimbabwe hii leo wamefanya maandamano katika miji mikubwa ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu Harare, kulalamikia ongezeko la bei ya fueli kwa asilimia 150 lililotangazwa jana na Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo.

  • Zanganeh: Kikao cha karibuni cha Opec; pigo jingine kwa Marekani

    Zanganeh: Kikao cha karibuni cha Opec; pigo jingine kwa Marekani

    Dec 13, 2018 04:01

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekitaja kikao kilichofanyika hivi karibuni cha Jumuya ya Nchi Zinazozalisha Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC) huko Vienna mji mkuu wa Austria kuwa ni pigo jingine kwa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS