Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuta

  • Rais Mnangagwa: Zimbabwe ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi

    Rais Mnangagwa: Zimbabwe ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi

    Nov 02, 2018 07:28

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amefichua kuwa, nchi hiyo ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi katika mji wa Muzarabani ulioko kaskazini mwa nchi.

  • Zarif: Iran inao uwezo wa kuuza mafuta na kulinda uchumi wake

    Zarif: Iran inao uwezo wa kuuza mafuta na kulinda uchumi wake

    Oct 23, 2018 06:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inao uwezo wa kuuza mafuta yake na pia kulinda vyema uchumi wake.

  • Washington yalazimika kuzingatia msamaha kwa wanunuzi wa mafuta ya Iran

    Washington yalazimika kuzingatia msamaha kwa wanunuzi wa mafuta ya Iran

    Oct 22, 2018 08:15

    Waziri wa Fedha wa Marekani amelegeza msimamo wa nchi hiyo katika kuyawekea kikamilifu vikwazo mafuta ya Iran na kutangaza kuwa Washington inafikiria suala la msamaha kwa wanunuzi wa mafuta ya Iran.

  • Waziri wa Mafuta wa Iran: Marekani lazima iondoe vikwazo ili bei ya mafuta ishuke

    Waziri wa Mafuta wa Iran: Marekani lazima iondoe vikwazo ili bei ya mafuta ishuke

    Oct 17, 2018 04:18

    Bijan Namdar Zangeneh, Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, iwapo Marekani itaiondolea vikwazo Iran, bei ya mafuta katika soko la dunia itapungua na hali ya kuvurugika uthabiti iliyopo katika soko hilo hivi sasa itaondoka.

  • Waziri wa Nishati wa Russia ajibu madai ya mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia

    Waziri wa Nishati wa Russia ajibu madai ya mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia

    Oct 11, 2018 02:28

    Waziri wa Nishati wa Russia amepinga madai ya mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia kuhusu mafuta.

  • India: Hatutoacha kununua mafuta ya Iran licha ya Marekani kututaka tuache

    India: Hatutoacha kununua mafuta ya Iran licha ya Marekani kututaka tuache

    Aug 30, 2018 15:54

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu nchini India amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo itaendelea kununua mafuta ya Iran.

  • Lango bahari la Hormuz likifungwa bei ya pipa moja la mafuta itafika dola 400

    Lango bahari la Hormuz likifungwa bei ya pipa moja la mafuta itafika dola 400

    Jul 29, 2018 08:01

    Mtaalamu wa masuala ya mafuta wa Iraq ametabiri kuwa endapo lango bahari la Hormuz litafungwa kutokana na mivutano iliyojitokeza katika eneo la Mashariki ya Kati, bei ya pipa moja la mafuta itafika dola 400.

  • Iran: Njama za Marekani kwa ajili ya kuzuia uuzaji nje mafuta ni ndoto

    Iran: Njama za Marekani kwa ajili ya kuzuia uuzaji nje mafuta ni ndoto

    Jul 17, 2018 15:46

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Es'haq Jahangiri amesema kuwa njama za Marekani za kutaka kutuzuia uuzaji nje mafuta ya Iran ni ndoto potofu.

  • Kuzuia usafirishaji mafuta ya Iran; kutoka matamshi mpaka utekelezaji kivitendo

    Kuzuia usafirishaji mafuta ya Iran; kutoka matamshi mpaka utekelezaji kivitendo

    Jul 10, 2018 12:30

    Mjadala wa kuyawekea vikwazo mafuta ya Iran na kuzuia kabisa usafirishwaji na uuzaji nje wa bidhaa hiyo ya Iran umezingatiwa na vituo vya utafiti ambavyo vimetahadharisha kwamba, hatua hiyo itapelekea kupanda kwa bei ya bidhaa hiyo na kufikia hadi dola 150 kwa pipa.

  • India: Tunanunua mafuta ya Iran kwa maslahi yetu ya kitaifa sio ya Marekani

    India: Tunanunua mafuta ya Iran kwa maslahi yetu ya kitaifa sio ya Marekani

    Jul 09, 2018 13:38

    Waziri wa Mafuta wa India sambamba na kuelezea umuhimu wa kuendelea kununua mafuta ya Iran licha ya tishio la vikwazo vya Marekani, amesema kuwa ununuzi wa mafuta hayo unatokana na maslahi ya kitaifa ya India na sio ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS