Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mahakama

  • Mashirika yakosoa hukumu 'nyepesi' dhidi ya askari walioua raia Cameroon

    Mashirika yakosoa hukumu 'nyepesi' dhidi ya askari walioua raia Cameroon

    Sep 22, 2020 22:04

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamekosoa vikali hatua ya mahakama moja nchini Cameroon kuwapa adhabu laini wanajeshi waliopatikana na hatia ya kuua raia akiwemo mtoto mdogo.

  • Baraza la Katiba Ivory Coast lamuidhinisha Outtara kugombea muhula wa 3 wa urais

    Baraza la Katiba Ivory Coast lamuidhinisha Outtara kugombea muhula wa 3 wa urais

    Sep 14, 2020 23:05

    Baraza la Katiba la Ivory Coast limemuidhinisha Rais Alassane Outtara kugombea muhula wa tatu wa urais katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi ujao.

  • Mahakama ya Marekani yataka kusailiwa maafisa wanne wa Saudi Arabia kwa kuhusika na mashambulizi ya Septemba 11

    Mahakama ya Marekani yataka kusailiwa maafisa wanne wa Saudi Arabia kwa kuhusika na mashambulizi ya Septemba 11

    Sep 11, 2020 09:52

    Baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 Marekani ilijinadi kuwa kinara wa mapambano dhidi ya ugaidi duniani na ikachukua hatua ya kuzivamia nchi za Iraq na Afghanistan.

  • Uamuzi wa Mahakama ya Mauaji ya Hariri; kushindwa kukubwa kwa wapinzani wa Hizbullah

    Uamuzi wa Mahakama ya Mauaji ya Hariri; kushindwa kukubwa kwa wapinzani wa Hizbullah

    Aug 19, 2020 02:14

    Mahakama maalumu ya kimataifa iliyobuniwa kwa ajili ya kuchunguza na kutoa uamuzi kuhusu mauaji ya Rafik Hariri, Waziri Mkuu wa zamani wa Lebanon imetoa hukumu yake kuhusiana na suala hilo baada ya kupita miaka 11 ambapo imeziondolea lawama Syria na Hizbullah ya Lebanon kuhusu mauaji hayo.

  • Ureno yazuilia mali za binti wa rais wa zamani wa Angola

    Ureno yazuilia mali za binti wa rais wa zamani wa Angola

    Apr 05, 2020 03:30

    Mahakama moja mjini Lisbon nchini Ureno imezuilia hisa za mfanyabiashara bilionea na binti wa rais wa zamani wa Angola, Jose Eduardo dos Santos, anaeandamwa na tuhuma za ufisadi.

  • Waziri Mkuu wa Lesotho anayehusishwa na mauaji ya mkewe akosa kufika kotini

    Waziri Mkuu wa Lesotho anayehusishwa na mauaji ya mkewe akosa kufika kotini

    Feb 21, 2020 23:17

    Waziri Mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane alikosa kufika mahakamani jana Ijumaa kwa ajili ya kesi ya mauaji inayomuandama, kutokana na kile kilichotajwa na familia yake kama sababu za kiafya. Polisi ya nchi hiyo siku ya Alkhamisi ilisema kiongozi huyo angeshtakiwa rasmi jana Ijumaa kwa mauaji ya mke wake wa zamani.

  • Mahakama ya Afrika Kusini yatoa waranti ya kukamatwa Jacob Zuma

    Mahakama ya Afrika Kusini yatoa waranti ya kukamatwa Jacob Zuma

    Feb 04, 2020 21:43

    Mahakama nchini Afrika Kusini imetoa waranti ya kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo Jacob Zuma anayeandamwa na kesi ya ufisadi katika mauzo ya silaha zilizokuwa na thamani ya dola bilioni mbili.

  • UN na jumuiya za kimataifa zapinga hukumu ya kimaonyesho ya Saudia kuhusu mauaji ya Khashoggi

    UN na jumuiya za kimataifa zapinga hukumu ya kimaonyesho ya Saudia kuhusu mauaji ya Khashoggi

    Dec 25, 2019 03:37

    Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia una historia ndefe ya ukiukaji wa haki za binadamu na kukandamiza wapinzani wake ndani naa nje ya nchi hiyo. Miongoni mwa vielelezo vya wazi vya ukatili na ukandamizaji mkubwa wa haki za binadamu wa Saudia ni mauaji ya kutisha yaliyofanywa na maajenti wa utawala huo dhidi ya mwandishi na mpiznni wa serikali ya Riyadh, Jamal Khashoggi.

  • Myanmar yawapandisha kizimbani makumi ya watoto Warohingya

    Myanmar yawapandisha kizimbani makumi ya watoto Warohingya

    Dec 20, 2019 23:13

    Watoto 23 ni miongoni mwa Waislamu wa Rohingya 93 waliofikishwa mahakamani jana Ijumaa nchini Myanmar, wakikabiliwa na mashitaka ya 'kusafiri bila vibali.'

  • Watu zaidi ya 300 kutoa ushahidi mahakamani dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel

    Watu zaidi ya 300 kutoa ushahidi mahakamani dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel

    Dec 03, 2019 23:31

    Watu 333 watatoa ushahidi dhidi ya Benjamin Netanyahu Kwa mujibu wa mashtaka yaliyowasilishwa kwa bunge la utawala wa Kizayuni (Knesset) kuhusu mafaili ya ufisadi yanayomkabili Waziri Mkuu huyo wa utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS