-
Radiamali ya Hamas kufuatia kuuliwa Fadi al Batsh nchini Malaysia
Apr 22, 2018 13:47Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeutuhumu utawala wa Kizayuni kuwa umehusika kumuua Fadi al Batsh mwanachama wa harakati hiyo na kutahadharisha kuwa italipiza kisasi damu ya raia huyo wa Palestina.
-
Mahakama ya kimataifa Malaysi yatoa hukumu dhidi ya viongozi wauaji wa Myanmar
Sep 23, 2017 15:43Mahakama ya Kimataifa ya Kudumu ya Watu wa Malaysia imetoa hukumu dhidi ya serikali ya Myanmar kutokana na kutenda jinai za mauaji ya halaiki dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Makumi ya wanafunzi wa Darul Qur'an wafariki dunia katika ajali ya moto Malaysia
Sep 14, 2017 14:40Wanafunnzi 24 wa madrasa ya Kiislamu ya kuhifadhi Qur'ani tukufu wamefariki dunia kutokana na moto uliotokea kwenye bweni za shule yao mapema leo nchini Malaysia.
-
Chama cha Kiislamu Malaysia: Ni ajabu sana kwa nchi yetu kushirikiana na Saudia inayoeneza ugaidi
Jul 18, 2017 03:52Mkuu wa chama cha Utegemezi wa Kitaifa nchini Malaysia ambacho ni chama cha Kiislamu nchini humo, (Pan-Malaysian Islamic Party) amesema kuwa ushirikiano wa serikali ya Kuala Lumpur na Saudi Arabia katika kupambana na ugaidi ni wa kichekesho na kushangaza.
-
Wanachama wa Daesh wahukumiwa kifungo cha miaka 35 Malaysia
Mar 31, 2017 06:40Wanachama wawili wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) ambao pia walihusika katika shambulizi dhidi ya klabu ya usiku nchini Malaysia, wamehukumiwa kifungo cha miaka 35 na mahakama kuu ya nchi hiyo.
-
Kamanda wa Jeshi al Majini la Iran: Nchi nyingi zinataka kutumia mbinu za Iran kupambana na uharamia, ugaidi
Mar 25, 2017 02:51Kanda wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi nyingi zinataka kujua mbinu zinazotumiwa na kikosi cha jeshi hilo kwa ajili ya kuimarisha usalama baharini na kupambana na ugaidi.
-
Malaysia yawatia mbaroni watuhumiwa wa njama ya kumuua Mfalme Salman wa Saudia
Mar 07, 2017 15:37Serikali ya Malyasia imedai kuwa, ilizima njama ya jaribio la kutaka kumuua Mfalme Salman bin Abdul Aziz wa Saudi Arabia aliyeko katika safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za mashariki mwa Asia.
-
Myanmar yakaidi mwito wa OIC wa kukomesha jinai dhidi ya Waislamu
Jan 22, 2017 08:12Serikali ya Myanmar imepuuza mwito uliotolewa na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) mjini Kuala Lumpur, nchini Malaysia hivi karibuni, wa kutaka ikomeshe mauaji, ukandamizaji na jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wa Rohingya. Wizara ya Mambo ya Nje ya Myanmar jana Jumamosi ilitoa taarifa ya kuikashifu vikali serikali ya Malaysia kwa kuwa mwenyeji wa kikao cha dharura cha OIC cha kujadili hali ya Waislamu wa Myanmar.
-
Malaysia: Serikali ya Myanmar ikomeshe jinai dhidi ya Waislamu
Jan 19, 2017 13:59Waziri Mkuu wa Mayalsia, Najib Razak sambamba na kuituhumu serikali ya Myanmar kwa kuhusika na ukiukaji mkubwa wa haki za binaadamu, amebainisha wasi wasi wake mkubwa juu ya mgogoro wa kibinaadamu unaowakabili Waislamu wa mkoa wa Rakhine wa nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia.
-
Malaysia: Makumi ya raia waliojiunga na ISIS wameuawa na magaidi wenzao
Nov 25, 2016 04:57Khalid Abubakar, Kamanda wa Upelelezi wa jeshi la Polisi nchini Malaysia amesema kuwa, zaidi ya raia 50 wa nchi hiyo waliokuwa wamejiunga na kundi la ukufurishaji la Daesh wameuawa na wanachama wa genge hilo.