-
UN yatiwa hofu na vita vipya kati ya Azerbaijan na Armenia vilivyoua watu 100
Sep 14, 2022 03:19Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema anatiwa wasiwasi na ripoti za kuibuka mapigano mapya baina ya wanajeshi wa Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia, yaliyopelekea kuuawa makumi ya askari wa pande zote mbili.
-
Kadhaa wauawa katika mapigano mapya ya kikabila Blue Nile, Sudan
Sep 02, 2022 12:00Kwa akali watu saba wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika mapigano mapya ya kikabila yaliyozuka katika jimbo la Blue Nile, kusini mwa Sudan.
-
Mapigano yazuka baina ya askari wa mpakani wa Iran na wapiganaji wa Taliban
Jul 31, 2022 11:43Gavana wa mji wa Hirmand ulioko kaskazini ya mkoa wa Sistan na Baluchistan kusini mashariki mwa Iran amesema, yamezuka mapigano kati ya askari wa kikosi cha mpakani cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na wapiganaji wa kundi la Taliban la Afghanistan.
-
Watu kadhaa wauawa katika mapigano kati ya vikosi vya usalama vya Libya mjini Tripoli
Jul 22, 2022 11:57Mapigano makali yaliyozuka kati ya makundi yanayohasimiana katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, yamesababisha vifo vya watu kadhaa huku kukiwa na wasiwasi kwamba huenda mzozo wa kisiasa ukazusha upya nchini humo.
-
Waliouawa katika mapigano ya kikabila Sudan wapindukia 100
Jul 21, 2022 12:42Idadi ya watu waliouawa katika machafuko ya kikabila katika jimbo la Blue Nile kusini mashariki mwa Sudan imeongezeka na kufikia watu 105.
-
Ghasia na machafuko ya kikabila yashamiri zaidi Sudan, idadi ya waliouawa ni 79
Jul 19, 2022 14:34Ghasia machafuko ya kikabila yaliyoanzia katika Jimbo la Blue Nile nchini Sudan yamepanuka zaidi na kuingia katika majimbo kadhaa ya nchi hiyo, huku maelfu ya watu wa kabila la Hausa wakiandamana na kufunga barabara katika maeneo kadhaa kupinga ghasia hizo, ambazo wanasema ziliwalenga wao katika Jimbo la Blue Nile.
-
Zaidi ya 30 wauawa katika mapigano ya kikabila Cameroon
Jun 28, 2022 08:01Wanavijiji wasiopungua 30 wakiwemo wanawake na watoto wadogo wameuawa katika mapigano ya kikabila huko magharibi ya Cameroon.
-
Russia yaonya kuhusu uwezekano wa makabiliano ya moja kwa moja ya kijeshi na kambi ya Magharibi
Jun 11, 2022 02:23Russia imezionya nchi za Magharibi kuwa hujuma ya kiintaneti dhidi ya miundomsingi yake ni jambo ambalo litaibua hatari ya kutokea makabiliano ya moja kwa moja ya kijeshi. Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetoa taarifa na kusema kuwa, miundomsingi ya kijeshi na ya baadhi ya taasisi za kiserikali nchini humo imekumbwa na hujuma ya kiintaneti ambayo imetekelezwa na makundi ya wadukuzi wa Marekani na Ukraine.
-
Kuendelea mivutano ya kisiasa nchini Libya
Apr 20, 2022 02:46Mivutano ya kisiasa imeongezeka huko Libya ambapo serikali inayoongozwa na Fathi Pashaga, inailaumu Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa kuibua mivutano hiyo na kutahadharisha kuwa serikali hiyo itabeba dhima ya tukio lolote litakalohatarisha maisha ya Walibya.
-
Vita vya Ethiopia na jitihada za kutatua mgogoro wa nchi hiyo
Jan 13, 2022 04:21Wakati maafisa wa serikali ya Ethiopia wakiahidi kuanzisha mazungumzo ya kitaifa nchini humo, Harakati ya Ukombozi wa Watu wa Tigray (TPLF) imetangaza kuwa mashambulizi ya jeshi la Ethiopia katika eneo hilo yamesababisha vifo vya zaidi ya raia 56.