Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • 'Kimbunga cha Bomu' chaua watu 28 Marekani, nyumba milioni 1.8 zakosa umeme

    'Kimbunga cha Bomu' chaua watu 28 Marekani, nyumba milioni 1.8 zakosa umeme

    Dec 25, 2022 09:50

    Makumi ya watu wamepoteza maisha huku mamilioni ya wengine wakiathiriwa moja kwa moja na kimbunga kikali kilichokumba majimbo kadhaa ya Marekani wakati huu wa msimu wa baridi kali.

  • Marekani yakataa kujibu barua ya maripota wa UN kuhusu vikwazo dhidi ya Iran

    Marekani yakataa kujibu barua ya maripota wa UN kuhusu vikwazo dhidi ya Iran

    Dec 25, 2022 08:28

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa chini ya vikwazo vya upande mmoja vya Marekani kwa zaidi ya miaka 40. Kuwekwa vikwazo dhidi ya Iran katika kipindi cha uongozi wa Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani baada ya kujitoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuanzisha kampeni ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa, kumezidisha vikwazo visivyo na kifani vya nchi hiyo dhidi ya taifa la Iran.

  • Iran: Rais wa Ukraine ajifunze kwa hatima ya viongozi walioitegemea US

    Iran: Rais wa Ukraine ajifunze kwa hatima ya viongozi walioitegemea US

    Dec 22, 2022 23:43

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepuuzilia mbali madai yasiyokuwa na msingi kwamba Tehran imeipa Moscow ndege zisizo na rubani kwa ajili ya kuzitumia katika vita dhidi ya Ukraine na kusisitiza kuwa, Rais wa Volodymyr Zelensky wa Ukraine anapaswa kupata somo kutokana na hatima iliyowafika viongozi mbalimbali waliotegemea misaada ya Marekani.

  • Twitter yashirikiana na Wizara ya Ulinzi ya Marekani kuanzisha akaunti feki duniani kote

    Twitter yashirikiana na Wizara ya Ulinzi ya Marekani kuanzisha akaunti feki duniani kote

    Dec 22, 2022 06:18

    Ufichuzi mpya unaonyesha kuwa licha ya madai ya mtandao wa kijamii wa Twitter kufuta mitandao ya siri ya matangazo ya serikali ya Marekani, mtandao huo unashirikiana na Wizara ya Ulinzi ya Marekani kuzindua akaunti za watumiaji bandia duniani kote.

  • Marekani yaiwekea vikwazo vipya Iran, vyajumuisha Mwendesha Mashtaka Mkuu

    Marekani yaiwekea vikwazo vipya Iran, vyajumuisha Mwendesha Mashtaka Mkuu

    Dec 22, 2022 04:09

    Wizara ya Fedha ya Marekani imeiwekea Iran vikwazo vipya kwa kisingizio cha ukiukaji wa haki za binadamu, katika kuendeleza uingiliaji wake wa masuala ya ndani ya Iran na kutekeleza sera ya mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Tehran.

  • Matukio ya Ukraine na sisitizo la Macron la kupewa dhamana ya usalama Russia

    Matukio ya Ukraine na sisitizo la Macron la kupewa dhamana ya usalama Russia

    Dec 22, 2022 03:47

    Vita vya Ukraine vinaendelea kama vilivyo licha ya kuingia mwishoni mwa mwezi wake wa 10 tangu vianze, na hakuna ishara zozote za kumalizika karibuni vita hivyo. Kinachoonekana kwenye matukio ya hivi sasa ni kuzidi kuwa vikali tu vita hivyo.

  • Russia: Jinai za kivita za Marekani na Nato Afghanistan zimepuuzwa

    Russia: Jinai za kivita za Marekani na Nato Afghanistan zimepuuzwa

    Dec 21, 2022 03:54

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuwa jinai za kivita za Marekani na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) huko Afghanistan zimepuuzwa.

  • Jenerali Qaani: Wamarekani si watu wa uwanja wa vita

    Jenerali Qaani: Wamarekani si watu wa uwanja wa vita

    Dec 21, 2022 00:51

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa mapambano au muqawama ni miongoni mwa kanuni zinazosisitizwa katika dini ya Kiislamu na kusema: "Wamarekani si watu wa medani ya vita na wameshindwa katika medani kuu."

  • Iran: Marekani ikhitari diplomasia badala ya mashinikizo na vitisho

    Iran: Marekani ikhitari diplomasia badala ya mashinikizo na vitisho

    Dec 20, 2022 04:18

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema iwapo Marekani inataka kweli kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, haina chaguo jingine isipokuwa kukhitari njia ya diplomasia badala ya mashinikizo, vitisho na makabiliano.

  • Russia yatungua makombora ya Marekani ya HARM

    Russia yatungua makombora ya Marekani ya HARM

    Dec 20, 2022 03:53

    Russia imesema vikosi vyake vya ulinzi wa anga vimefanikiwa kutungua makombora manne yaliyotengenezwa na Marekani ya HARM, katika anga ya eneo la Belgorod.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS