Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Wabunge wa Marekani wataka Trump ashitakiwe kwa uchochezi

    Wabunge wa Marekani wataka Trump ashitakiwe kwa uchochezi

    Dec 19, 2022 23:56

    Wabunge wa Marekani wanaochunguza shambulio dhidi ya jengo la Congress lililosababisha mauaji na uharibifu mkubwa wamependekeza rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump afunguliwe mashitaka ya uchochezi.

  • Iran: Madai ya Marekani kuhusu kushiriki kwetu vita vya Ukraine hayana msingi wowote

    Iran: Madai ya Marekani kuhusu kushiriki kwetu vita vya Ukraine hayana msingi wowote

    Dec 18, 2022 23:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, madai ya Shirika la Kijasusi la Marekani kuhusu ushirikiano wa Iran na Russia na tuhuma zake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kuhusiana na vita vya Ukraine hayana msingi wowote, bali ni muendelezo tu wa vita vya kipropaganda vya Marekani dhidi ya Iran.

  • Mmoja wa wakurugenzi wa Twitter ahukumiwa kifungo kwa kuifanyia ujasusi Saudi Arabia

    Mmoja wa wakurugenzi wa Twitter ahukumiwa kifungo kwa kuifanyia ujasusi Saudi Arabia

    Dec 15, 2022 07:12

    Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Marekani imepelekea kuhukumiwa mmoja wa wakurugenzi wa zamani wa mtandao wa kijamii wa Twitter kifungo cha miaka mitatu na nusu jela kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa manufaa ya Saudi Arabia.

  • Onyo la Russia kwa NATO kuhusu kuipa Ukraine mfumo wa makombora wa Patriot

    Onyo la Russia kwa NATO kuhusu kuipa Ukraine mfumo wa makombora wa Patriot

    Dec 15, 2022 05:45

    Serikali ya Russia imetangaza kuwa, uamuzi wa Jeshi la Nchi za Magharibi NATO wa kuipa Ukraine mfumo wa kujilinda kwa makombora wa Patriot umechukuliwa kwa lengo la kuishambulia Russia na hiyo ina maana ya kuihalalishia Moscow kuzishambulia nchi wanachama wa NATO.

  • Syria yataka kuwepo kijeshi Marekani katika ardhi ya nchi hiyo kukomeshwe

    Syria yataka kuwepo kijeshi Marekani katika ardhi ya nchi hiyo kukomeshwe

    Dec 15, 2022 03:52

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetoa taarifa ambayo sambamba na kulaani vitendo vya vikosi vamizi vya jeshi la Marekani, imetaka kukomeshwa uwepo haramu wa kijeshi wa Washington katika ardhi ya Syria.

  • Wanandoa wa Marekani waswekwa rumande Uganda kwa kumtesa mtoto wa miaka 10

    Wanandoa wa Marekani waswekwa rumande Uganda kwa kumtesa mtoto wa miaka 10

    Dec 13, 2022 04:02

    Mke na mume raia wa Marekani wanaoishi katika mtaa wa Naguru huko Kampala, mji mkuu wa Uganda wametupwa rumande katika gereza la Luzira, wakikabiliwa na mashitaka ya kumtesa na kumdhalilisha mtoto mdogo wa miaka 10.

  • Rais wa Uturuki aikosoa Marekani kwa kuunga mkono ugaidi Syria

    Rais wa Uturuki aikosoa Marekani kwa kuunga mkono ugaidi Syria

    Dec 13, 2022 03:37

    Rais Recep Tayyep Erdogan wa Uturuki amekosoa hatua ya Marekani ya kuyapa makundi ya kigaidi yaliyopo kaskazini mwa Syria msaada wa fedha na silaha.

  • China: Marekani isiitumie Afrika katika michezo yake ya kijiopolitiki

    China: Marekani isiitumie Afrika katika michezo yake ya kijiopolitiki

    Dec 13, 2022 03:29

    Balozi wa China nchini Marekani amepinga madai ya Washington kuwa nchi za Afrika zimenasa kwenye mtego wa Beijing kutokana na madeni.

  • Don DeBar: Marekani ingali inadhibiti matukio ya Libya

    Don DeBar: Marekani ingali inadhibiti matukio ya Libya

    Dec 12, 2022 07:12

    Mwandishi wa habari na mchambuzi mmoja wa masuala ya kisiasa wa Marekani amesema kufufuliwa kwa faili la shambulio la bomu la Lockerbie la mwaka 1986 kunaonesha wazi kuwa Washington ingali inadhibiti na kuingilia masuala ya ndani ya Libya.

  • Kukiri Marekani na Israel kuhusu kutotetereshwa Iran na machafuko ya hivi karibuni

    Kukiri Marekani na Israel kuhusu kutotetereshwa Iran na machafuko ya hivi karibuni

    Dec 06, 2022 10:16

    Sambamba na himaya na uungaji mkono wa Marekani kwa wafanya fujo na machafuko nchini Iran, wachambuzi waandamizi wa masuala ya usalama wa Marekani na utawala haramu wa Israel wamekiri kwamba, Iran haijatetereshwa na machafuko hayo ya hivi karibuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS