Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Aina mpya ya Omicron yaenea nchini Marekani

    Aina mpya ya Omicron yaenea nchini Marekani

    Oct 16, 2022 04:44

    Utafiti mpya wa Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magojwa cha Marekani (CDC) umebaini kuwa, aina mpya ya kirusi cha corona cha Omicron, imesambaa mno nchini Marekani.

  • Kukiri Marekani kuwa inahusika katika kuchochea ghasia na machafuko nchini Iran

    Kukiri Marekani kuwa inahusika katika kuchochea ghasia na machafuko nchini Iran

    Oct 15, 2022 00:10

    Ned Price, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, amekiri kwamba utawala wa Joe Biden sasa umejikita kwenye machafuko na ghasia nchini Iran huku akiiishutumu Tehran kuwa haiko tayari kufikia muafaka kuhusu kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA. Mbali na kukiri huko, imekuwa ikifahamika wazi kimataifa kuwa Marekani inaingilia masuala ya ndani ya Iran.

  • Iran: Kama US inapigania kweli haki za binadamu, iache kuwasaidia magaidi

    Iran: Kama US inapigania kweli haki za binadamu, iache kuwasaidia magaidi

    Oct 14, 2022 04:20

    Ofisi ya Uwakilishi wa Kudumu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imesema iwapo Marekani inataka kupambana kwa dhati na ugaidi, sharti iachane na tabia yake ya kuunga mkono makundi ya kigaidi kama lile la Kumalah.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Kusimama imara; njia ya kukabiliana na maadui

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Kusimama imara; njia ya kukabiliana na maadui

    Oct 13, 2022 08:14

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametaja ghasia na machafuko yaliyoenea katika maeneo mbalimbali hapa nchini kuwa ni mpango usio wa kawaida na wa fedheha wa adui mkabala wa maendeleo na harakati za ubunifu na kubwa za taifa la Iran na kwamba, njia ya kukabiliana na maadui ni kusimama imara.

  • Kiongozi wa Korea Kaskazini: Hakuna faida ya kufanya mazungumzo na Marekani

    Kiongozi wa Korea Kaskazini: Hakuna faida ya kufanya mazungumzo na Marekani

    Oct 11, 2022 03:53

    Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un amesema hakuna tija itakayopatikana kwa kufanya mazungumzo yoyote yale na Marekani na akabainisha kuwa kwa upande mmoja Washington inazungumzia kufanya mazungumzo na kuanzisha uhusiano; na kwa upande mwingine inatoa vitisho vya operesheni za kijeshi dhidi ya nchi hiyo.

  • Kuongezeka hitilafu kati ya Marekani na Saudi Arabia

    Kuongezeka hitilafu kati ya Marekani na Saudi Arabia

    Oct 10, 2022 05:48

    Kundi la wabunge wa chama cha Democratic cha Marekani wametaka kuondolewa wanajeshi wa nchi hiyo kutoka Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, kwa jina jingine Imarati, kufuatia uamuzi wa kundi la OPEC-Plus kupunguza uzalishaji wa mafuta kwa mapipa milioni 2 kwa siku.

  • Iran: Magharibi inalipiza kisasi kwa kuwaua kwa umati wagonjwa Wairani

    Iran: Magharibi inalipiza kisasi kwa kuwaua kwa umati wagonjwa Wairani

    Oct 10, 2022 03:58

    Msemaji wa Serikali ya Iran amelaani vikwazo shadidi vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na kueleza kuwa, "Wamagharibi wanalipiza kisasi dhidi ya Wairani, kwa kuanzisha kampeni ya mauji ya kimbari dhidi ya wagonjwa wa nchi hii."

  • Damascus: Marekani inapaswa kuondoa mara moja majeshi yake kutoka Syria

    Damascus: Marekani inapaswa kuondoa mara moja majeshi yake kutoka Syria

    Oct 08, 2022 23:26

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesisitiza kuwa, Washington inapaswa kuondoa mara moja majeshi yake haramu katika ardhi ya Syria.

  • Sera mpya za Marekani Afghanistan

    Sera mpya za Marekani Afghanistan

    Oct 08, 2022 22:50

    Karen Decker Kaimu Balozi wa Marekani nchini Afghanistan amesema kuwa ni jambo lililo mbali kwa nchi yake kurejea tena kijeshi huko Afghanistan.

  • Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Dunia haijasahau kashfa ya makaburi ya halaiki nchini Canada

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Dunia haijasahau kashfa ya makaburi ya halaiki nchini Canada

    Oct 06, 2022 10:15

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema: Ulimwengu bado haujasahau kashfa ya kugunduliwa kwa makaburi ya halaiki ya mamia ya watoto katika viwanja vya shule za wamishonari yapata mwaka mmoja uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS