-
Kung'ang'ania Biden kuiwekea vikwazo vipya Tehran, dhihirisho la uadui kwa wananchi wa Iran
Oct 06, 2022 05:47Rais wa Marekani, Joe Biden, siku ya Jumatatu ya tarehe 3 Oktoba 2022, alijitokeza hadharani bila ya haya na kuunga mkono machafuko na kuuliwa maafisa usalama na wananchi wa Iran katika vurugu za hivi karibuni.
-
Pyongyang yavurumisha tena makombora ya balestiki kujibu chokochoko za US
Oct 06, 2022 03:34Kwa mara nyingine tena, Korea Kaskazini imefyatua makombora yake ya balestiki kuelekea upande wa Japan, kujibu chokochoko mpya za Marekani dhidi ya Pyongyang.
-
Kashfa ya ngono yatikisa Ligi ya Soka ya Wanawake ya Marekani na Shirikisho la Soka la nchi hiyo
Oct 05, 2022 03:40Katika ripoti yake, Kaimu Mwanasheria Mkuu wa Marekani amefichua kashfa ya ngono katika Ligi ya Soka ya Wanawake ya Marekani na Shirikisho la Soka la nchi hiyo.
-
Raisi: Kuwaachia huru wafungwa wa Marekani ni ithibati ya nia njema ya Iran
Oct 04, 2022 04:33Rais wa Iran amesema hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya kuwaachia huru wafungwa wawili wa Marekani wenye asili ya Iran inaonesha wazi nia njema ya taifa hili, na azma yake ya kutatua matatizo kwa njia ya mashauriano.
-
Lavrov: Marekani inaisambaratisha Ukraine kwa ajili ya kuishinikiza Russia
Oct 03, 2022 22:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, Marekani inasababisha kupata hasara kubwa na kusambaratishwa Ukraine kwa ajili ya kutoa vitisho kwa Russia.
-
Kiwango cha vijana kujitoa uhai nchini Marekani chaongezeka
Oct 01, 2022 08:39Idadi ya wananchi wa Marekani hususan vijana wanaojitoa uhai imeongezeka kwa kiwango cha kutisha.
-
Nicaragua yakata uhusiano na Uholanzi, yamzuia balozi wa Marekani
Oct 01, 2022 08:32Nicaragua imetangaza kukata uhusiano wake wa kidiplomasia na Uholanzi, muda mfupi baada ya kumzuia Balozi wa Marekani kuingia nchini humo kutokana na kile ilichokitaja kuwa ni uingiliaji wa mambo ya ndani ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini.
-
Amir-Abdollahian: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq alikuwa amebeba salamu za Marekani kwa Iran
Sep 30, 2022 04:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, katika kipindi cha miezi iliyopita baadhi ya mawaziri wa mambo ya nje wa nchi kadhaa wamekuwa wakifikisha jumbe za Marekani kwa Iran na kinyume chake, na akaongeza kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq, Fuad Hussein naye pia alikuwa amebeba ujumbe wa salamu za Marekani kwa Iran.
-
Marekani yaiwekea Iran vikwazo vingine vipya licha ya mazungumzo ya kuondoa vikwazo vyake haramu
Sep 30, 2022 01:03Wizara ya Fedha ya Marekani imeiwekea Iran vikwazo vipya katikati ya mazungumzo ya nchi hiyo na pande husika katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanayolenga kuondoa vikwazo vilivyo kinyume na sheria vya Washington dhidi ya Tehran.
-
Ukosoaji wa China kwa vikwazo vya Marekani vinavyosababisha masaibu kwa nusu ya watu wote duniani
Sep 28, 2022 22:56Wizara ya Mambo ya Nje ya China imeikosoa Marekani kwa kutekeleza sera ya vikwazo na kusababisha matatizo na masaibu kwa nusu ya watu wote duniani.