Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kung'ang'ania Biden kuiwekea vikwazo vipya Tehran, dhihirisho la uadui kwa wananchi wa Iran

    Kung'ang'ania Biden kuiwekea vikwazo vipya Tehran, dhihirisho la uadui kwa wananchi wa Iran

    Oct 06, 2022 05:47

    Rais wa Marekani, Joe Biden, siku ya Jumatatu ya tarehe 3 Oktoba 2022, alijitokeza hadharani bila ya haya na kuunga mkono machafuko na kuuliwa maafisa usalama na wananchi wa Iran katika vurugu za hivi karibuni.

  • Pyongyang yavurumisha tena makombora ya balestiki kujibu chokochoko za US

    Pyongyang yavurumisha tena makombora ya balestiki kujibu chokochoko za US

    Oct 06, 2022 03:34

    Kwa mara nyingine tena, Korea Kaskazini imefyatua makombora yake ya balestiki kuelekea upande wa Japan, kujibu chokochoko mpya za Marekani dhidi ya Pyongyang.

  • Kashfa ya ngono yatikisa Ligi ya Soka ya Wanawake ya Marekani na Shirikisho la Soka la nchi hiyo

    Kashfa ya ngono yatikisa Ligi ya Soka ya Wanawake ya Marekani na Shirikisho la Soka la nchi hiyo

    Oct 05, 2022 03:40

    Katika ripoti yake, Kaimu Mwanasheria Mkuu wa Marekani amefichua kashfa ya ngono katika Ligi ya Soka ya Wanawake ya Marekani na Shirikisho la Soka la nchi hiyo.

  • Raisi: Kuwaachia huru wafungwa wa Marekani ni ithibati ya nia njema ya Iran

    Raisi: Kuwaachia huru wafungwa wa Marekani ni ithibati ya nia njema ya Iran

    Oct 04, 2022 04:33

    Rais wa Iran amesema hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya kuwaachia huru wafungwa wawili wa Marekani wenye asili ya Iran inaonesha wazi nia njema ya taifa hili, na azma yake ya kutatua matatizo kwa njia ya mashauriano.

  • Lavrov: Marekani inaisambaratisha Ukraine kwa ajili ya kuishinikiza Russia

    Lavrov: Marekani inaisambaratisha Ukraine kwa ajili ya kuishinikiza Russia

    Oct 03, 2022 22:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, Marekani inasababisha kupata hasara kubwa na kusambaratishwa Ukraine kwa ajili ya kutoa vitisho kwa Russia.

  • Kiwango cha vijana kujitoa uhai nchini Marekani chaongezeka

    Kiwango cha vijana kujitoa uhai nchini Marekani chaongezeka

    Oct 01, 2022 08:39

    Idadi ya wananchi wa Marekani hususan vijana wanaojitoa uhai imeongezeka kwa kiwango cha kutisha.

  • Nicaragua yakata uhusiano na Uholanzi, yamzuia balozi wa Marekani

    Nicaragua yakata uhusiano na Uholanzi, yamzuia balozi wa Marekani

    Oct 01, 2022 08:32

    Nicaragua imetangaza kukata uhusiano wake wa kidiplomasia na Uholanzi, muda mfupi baada ya kumzuia Balozi wa Marekani kuingia nchini humo kutokana na kile ilichokitaja kuwa ni uingiliaji wa mambo ya ndani ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini.

  • Amir-Abdollahian: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq alikuwa amebeba salamu za Marekani kwa Iran

    Amir-Abdollahian: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq alikuwa amebeba salamu za Marekani kwa Iran

    Sep 30, 2022 04:29

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, katika kipindi cha miezi iliyopita baadhi ya mawaziri wa mambo ya nje wa nchi kadhaa wamekuwa wakifikisha jumbe za Marekani kwa Iran na kinyume chake, na akaongeza kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq, Fuad Hussein naye pia alikuwa amebeba ujumbe wa salamu za Marekani kwa Iran.

  • Marekani yaiwekea Iran vikwazo vingine vipya licha ya mazungumzo ya kuondoa vikwazo vyake haramu

    Marekani yaiwekea Iran vikwazo vingine vipya licha ya mazungumzo ya kuondoa vikwazo vyake haramu

    Sep 30, 2022 01:03

    Wizara ya Fedha ya Marekani imeiwekea Iran vikwazo vipya katikati ya mazungumzo ya nchi hiyo na pande husika katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanayolenga kuondoa vikwazo vilivyo kinyume na sheria vya Washington dhidi ya Tehran.

  • Ukosoaji wa China kwa vikwazo vya Marekani vinavyosababisha masaibu kwa nusu ya watu wote duniani

    Ukosoaji wa China kwa vikwazo vya Marekani vinavyosababisha masaibu kwa nusu ya watu wote duniani

    Sep 28, 2022 22:56

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imeikosoa Marekani kwa kutekeleza sera ya vikwazo na kusababisha matatizo na masaibu kwa nusu ya watu wote duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS