Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Biden amtusi mwanahabari aliyemuuliza swali kuhusu mfumko wa bei

    Biden amtusi mwanahabari aliyemuuliza swali kuhusu mfumko wa bei

    Jan 25, 2022 04:16

    Rais Joe Biden wa Marekani ameendelea kushambuliwa hususan katika mitandao ya kijamii kwa kitendo chake cha kumtukana vibaya mwandishi mmoja wa habari ambaye alimuuliza suali kuhusu mfumko wa bei za bidhaa unaoshuhudia nchini humo.

  • Gharibabadi:  Siasa za kupambana na ugaidi za Marekani hazijawa na natija yoyote ghairi ya kuuwa raia

    Gharibabadi: Siasa za kupambana na ugaidi za Marekani hazijawa na natija yoyote ghairi ya kuuwa raia

    Jan 24, 2022 04:45

    Kazem Gharibabadi Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu ambaye pia ni Mkuu wa masuala ya kimataifa wa Idara ya Mahakama ya Iran ameandika katika ukurasa wake wa twitter kwamba siasa za kupambana na ugaidi za Marekani hazijawa na natija yoyote ghairi ya kuuliwa raia na kubomolewa makazi yao.

  • 80% ya Wamarekani: Ugaidi wa ndani ni tishio kubwa kwa Marekani

    80% ya Wamarekani: Ugaidi wa ndani ni tishio kubwa kwa Marekani

    Jan 23, 2022 23:11

    Akthari ya wananchi wa Marekani wanaamini kuwa, ugaidi wa ndani ya nchi ni tishio kubwa kwa taifa hilo.

  • Askari wa Marekani walijificha Abu Dhabi baada ya shambulio la jeshi la Yemen dhidi ya Imarati

    Askari wa Marekani walijificha Abu Dhabi baada ya shambulio la jeshi la Yemen dhidi ya Imarati

    Jan 23, 2022 04:27

    Msemaji wa kamandi kuu ya jeshi la kigaidi la Marekani CENTCOM amekiri kuwa, askari wa jeshi hilo walikimbilia mafichoni kwa kuhofia uwezekano wa jeshi la Yemen kuishambulia tena Imarati, kufuatia shambulio la makombora na ndege zisizo na rubani za jeshi hilo katika mji wa Abu Dhabi.

  • Mchambuzi wa Kimarekani: Marekani inakaribia kuingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe

    Mchambuzi wa Kimarekani: Marekani inakaribia kuingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe

    Jan 23, 2022 04:25

    Mchambuzi na mtaalamu wa taaluma ya siasa na masuala ya vita vya ndani nchini Marekani amesema, nchi hiyo inakaribia zaidi kuingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe kuliko inavyodhaniwa.

  • China yasema Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia

    China yasema Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia

    Jan 22, 2022 23:10

    China imetahadharisha kuwa Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia kutokana na maghala yake makubwa ya silaha angamizi za nyuklia.

  • Rekodi ya utendaji kazi ya Joe Biden, mwaka mmoja wa kuwa madarakani

    Rekodi ya utendaji kazi ya Joe Biden, mwaka mmoja wa kuwa madarakani

    Jan 21, 2022 23:09

    Rais Joe Biden wa chama cha Democrat aliingia madarakani mwaka mmoja uliopita mnamo Januari 20, 2021, huku akitoa ahadi nyingi, hasa za kubadilisha hatua zilizochukuliwa na mtangulizi wake, Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani wa chama cha Republican.

  • Mwakilishi wa Iran UN asifu maendeleo 'muhimu' ya kuwawezesha wanawake nchini licha ya vikwazo vya Marekani

    Mwakilishi wa Iran UN asifu maendeleo 'muhimu' ya kuwawezesha wanawake nchini licha ya vikwazo vya Marekani

    Jan 19, 2022 07:16

    Iran imepongeza mafanikio makubwa yaliyopatikana hapa nchini katika kuwawezesha wanawake na wasichana, licha ya vikwazo vya Marekani vilivyo kinyume cha sheria na vya kinyama vinavyolenga nchi hiyo.

  • Wall Street Journal:  Iran inataka dhamana ya kisheria ili Marekani isijitoe tena katika JCPOA

    Wall Street Journal: Iran inataka dhamana ya kisheria ili Marekani isijitoe tena katika JCPOA

    Jan 18, 2022 03:52

    Jarida la Wall Street Journal limeripoti kuwa, Iran inataka ipatiwe dhamana ya kisheria ili Marekani isiweze kujitoa kwa mara nyingine tena ndani ya mapatano ya JCPOA.

  • Khatibzadeh: Mambo muhimu bado yamebakia katika suala la kuondolewa vikwazo Iran

    Khatibzadeh: Mambo muhimu bado yamebakia katika suala la kuondolewa vikwazo Iran

    Jan 17, 2022 11:37

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, masuala muhimu na ya kimsingi katika mazungumzo ya nyuklia ya Vienna Austria bado yamebakia ambapo panahitajika maamuzi maalumu ya kisiasa hususan kutoka upande wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS