-
Rais Lukashenko: Marekani inataka kuanzisha vita Belarus
Nov 27, 2021 01:07Rais Alexander Lukashenko wa Belarus amesema Marekani inatumia mgogoro wa wakimbizi kutaka kuibua makabiliano baina ya nchi mbili hizo.
-
Marekani yaendeleza njama za umwagaji damu ili kuhakikisha haitimuliwi nchini Iraq
Nov 25, 2021 23:18Makundi ya kisisa nchini Iraq yamesema kuwa, Marekani inaendelea kufanya njama za kuchochea machafuko na umwagaji damu nchini Iraq ili kujiwekea kinga ya kutotimuliwa nchini humo.
-
Indhari ya UN kuhusiana na kushamiri ubaguzi na uenezaji chuki ndani ya jamii ya Marekani
Nov 25, 2021 23:17Fernand de Varennes, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya haki za binadamu za jamii za wachache, ametahadharisha juu ya kuzidi kupanuka ufa wa kukosekana usawa na uenezaji chuki dhidi ya jamii za wachache katika mfumo wa vyombo vya mahakama na vyombo vya habari vya Marekani na kutilia mkazo udharura wa kuanzishwa sheria ya kimataifa ya kukabiliana na uenezaji chuki.
-
Mrithi wa ufalme wa Saudia apendekeza kulinunua shirika la Israel linalojihusisha na ujasusi
Nov 24, 2021 12:31Duru moja katika ofisi ya ufalme wa Saudi Arabia imetangaza kuwa, mrithi wa ufalme wa nchi hiyo Mohammad bin Salman ametoa pendekezo la kulinunua shirika la utawala haramu wa Kizayuni linalojihusisha na ujasusi la NSO ambalo linakaribia kufilisika.
-
Kuendelea ubaguzi wa rangi Marekani
Nov 23, 2021 04:41Uamuzi wa mahakama ya Marekani wa kufutilia mbali mashtaka ya mauaji yaliyokuwa yanamkabili kijana mmoja mweupe aliyehusika na mauaji ya watu wawili katika maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo mwaka uliopita, kwa mara nyingine umeamsha hasira ya wengi katika nchi hiyo ya Magharibi.
-
Iran: Marekani haina chaguo jingine isipokuwa kukubali uhalisia wa mambo
Nov 23, 2021 04:03Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ambaye anaongoza timu ya mazungumzo ya Jamhuri ya Kiislamu na kundi la 4+1 yatakayoanza Novemba 29 huko Vienna amesema kuwa, Marekani sharti ikubali hali halisi ya mambo kwa kufungamana na ahadi ilizotoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Wayemen waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa wavamizi
Nov 22, 2021 08:31Maelfu ya wananchi wa Yemen wamefanya maandamano katika mkoa wa Sa'ada,kaskazini magharibi mwa nchi kulaani hatua ya Marekani ya kuunga mkono muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita dhidi ya taifa hilo maskini la Kiarabu.
-
Jeshi la Majini la Iran limetoa vipigo 6 ndani ya miezi 18 dhidi ya Marekani
Nov 21, 2021 08:04Kamanda wa Kikosi cha Majini cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema jeshi hilo la Iran limetoa pigo mara sita dhidi ya Wamarekani katika Ghuba ya Uajemi katika kipindi cha miezi 18 iliyopita.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi
Nov 20, 2021 10:13Wizara ya Fedha ya Marekani juzi Alhamisi ilitangaza kuwa imeyaweka katika orodha yake ya vikwazo majina ya shakhsia sita na shirika moja la Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi wa rais wa Marekani. Ofisi inayosimamia fedha ya taasisi hiyo ya Marekani imesema kuwa imeyaweka katika orodha yake ya vikwazo majina ya watu sita na taasisi moja ya Iran kwa kile ilichokitaja kuwa kujaribu kuathiri uchaguzi wa rais wa Marekani wa mwaka 2020.
-
Mwanadiplomasia: Lengo la Marekani kuasisi makundi ya kigaidi ni kudhamini usalama wa Israel
Nov 20, 2021 08:58Mwanadiplomasia wa zamani wa Iran amesema, lengo la Marekani la kuasisi makundi ya kigaidi katika eneo la Asia Magharibi hasa la DAESH (ISIS) ni kuvuruga uthabiti katika nchi zaWaislamu na kuzidhoofisha nchi zinazoupinga utawala wa Kizayuni kwa ajili ya kudhamini usalama wa utawala huo.