Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Trump: Hakuna njia nyingine isipokuwa mimi nigombee urais mwaka 2024

    Trump: Hakuna njia nyingine isipokuwa mimi nigombee urais mwaka 2024

    Sep 14, 2021 02:47

    Aliyekuwa rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amesema alipoulizwa kama atagombea urais katika uchaguzi ujao wa mwaka 2024 au la kwamba, hakuna njia nyingine isipokuwa hiyo.

  • Kukiri Biden kushindwa Marekani kukabiliana na al Qaida; kufeli vita vya kimataifa dhidi ya ugaidi

    Kukiri Biden kushindwa Marekani kukabiliana na al Qaida; kufeli vita vya kimataifa dhidi ya ugaidi

    Sep 13, 2021 07:37

    Rais wa Marekani, Joe Biden, siku ya Jumamosi na pembeni mwa sherehe za mwaka wa 20 wa tangu kutokea mashambulio ya Septemba 11 nchini Marekani, alikiri kwamba yumkini kundi la kigaidi la al Qaida likarejea tena Afghanistan na kusisitiza kuwa, Washington haiwezi kupeleka wanajeshi kila sehemu ilipo al Qaida.

  • Kubadilika siasa za nje za Saudia kuhusu uhusiano na madola makubwa

    Kubadilika siasa za nje za Saudia kuhusu uhusiano na madola makubwa

    Sep 12, 2021 21:56

    Hatua ya Saudi Arabia kufutilia mbali safari ya waziri wa ulinzi wa Marekani na wakati huo huo kumkaribisha mjini Riyadh mkuu wa Kamati ya Uhusiano wa Kigeni ya Bunge la Russia Duma, ni jambo linaloashiria kwamba Saudia imeamua kuimarisha uhusiano wake na madola mengine yenye nguvu duniani.

  • Naeem Qassem: Shehena za meli za mafuta za Iran ni mafanikio makubwa ya kisiasa dhidi ya dhulma za Marekani

    Naeem Qassem: Shehena za meli za mafuta za Iran ni mafanikio makubwa ya kisiasa dhidi ya dhulma za Marekani

    Sep 11, 2021 21:45

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa shehena za meli za mafuta za Iran zilizotumwa Lebanon kwa ajili ya kupunguza mzingiro wa Marekani dhidi ya nchi hiyo ni mafanikio ya kisiasa na kijamii mbele ya dhulma za serikali ya Washington na jinai zake dhidi ya wanadamu.

  • Mwaka wa 20 tangu baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001

    Mwaka wa 20 tangu baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001

    Sep 11, 2021 05:09

    Jana ikiwa imebakia siku moja kabla ya kutimia mwaka wa 20 tangu baada ya mashambulizi ya Septemba 11 ambayo yaliua watu karibu elfu tatu, Rais Joe Biden wa Marekani alitoa ujumbe akitaka kuwepo umoja na mshikamano wa kitaifa nchini Marekani.

  • Januari 31 yatangazwa kuwa siku ya mwisho ya askari wa Marekani kuwepo katika ardhi ya Iraq

    Januari 31 yatangazwa kuwa siku ya mwisho ya askari wa Marekani kuwepo katika ardhi ya Iraq

    Sep 10, 2021 08:20

    Kamandi Kuu ya operesheni za pamoja za jeshi la Iraq imetangaza tarehe ya mwisho kwa askari wa jeshi la Marekani kuwepo katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Chomsky: Vita vya Marekani dhidi ya 'ugaidi' vimesababisha uharibifu duniani

    Chomsky: Vita vya Marekani dhidi ya 'ugaidi' vimesababisha uharibifu duniani

    Sep 09, 2021 22:17

    Mwanafalsafa na mwanahistoria mashuhuri wa Marekani amesema vita vilivyoanzishwa na Washington miaka 20 iliyopita kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi vimesababisha uharibifu katika sehemu kubwa ya dunia.

  • Al Khazali: Muqawama unasubiri kuondoka kivitendo Marekani

    Al Khazali: Muqawama unasubiri kuondoka kivitendo Marekani

    Sep 07, 2021 06:57

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Asa'ib Ahl al-Haq ya nchini Iraq amesisitiza kuwa, kamati ya Kuratibu Muqawama inasubiri kuondoka Marekani kivitendo nchini humo.

  • Bloomberg: Nchi tajiri zina dozi ziada zaidi ya bilioni moja za chanjo ya COVID-19

    Bloomberg: Nchi tajiri zina dozi ziada zaidi ya bilioni moja za chanjo ya COVID-19

    Sep 06, 2021 20:52

    Shirika la Bloomberg limeripoti kuwa nchi tajiri duniani zina dozi za ziada za chanjo ya COVID-19 zaidi ya bilioni moja licha ya Shirika la Afya Duniani (WHO) kutahadharisha mara kadhaa kuhusu ulimbikizaji wa chanjo hizo.

  • Ubunifu wa Hizbullah na kushindwa siasa za mzingiro na uingiliaji za Marekani

    Ubunifu wa Hizbullah na kushindwa siasa za mzingiro na uingiliaji za Marekani

    Sep 06, 2021 01:55

    Ubunifu wa chama cha Hizbullah cha Lebanon katika kuingiza nchini mafuta kutoka Iran na hivyo kudhibiti mgogoro wa nishati wa nchi hiyo, kunachukuliwa kuwa ishara ya wazi ya kushindwa siasa za mzingiro za Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS