Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Onyo la Putin kwa Marekani kwa kuweka mifumo ya makombora katika mpaka wa Russia na Japan

    Onyo la Putin kwa Marekani kwa kuweka mifumo ya makombora katika mpaka wa Russia na Japan

    Sep 05, 2021 22:30

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameelezea wasiwasi wake kuhusu mpango wa Marekani wa kuweka mifumo yake ya kujilinda kwa makombora katika mpaka wa Russia na Japan na ameitaka Tokyo isiruhusu kufanyika jambo hilo.

  • Mashinikizo yazidi, Biden aamuru kuchapishwa nyaraka za tukio la Septemba 11

    Mashinikizo yazidi, Biden aamuru kuchapishwa nyaraka za tukio la Septemba 11

    Sep 04, 2021 22:21

    Rais Joe Biden wa Marekani ametoa taarifa akiamuru kuchunguzwa nyaraka zinazohusiana na tukio la Septemba 11 mwaka 2001 kwa ajili ya kuondolewa nyaraka hizo katika hali ya usiri.

  • Kimbunga Ida chaua watu 61 Marekani, maelfu wapoteza makazi yao

    Kimbunga Ida chaua watu 61 Marekani, maelfu wapoteza makazi yao

    Sep 03, 2021 21:55

    Kimbunga cha Ida kilichotokea katika majimbo kadhaa ya kaskazini mashariki mwa Marekani kimeua makumi ya watu na kuwafanya maelfu ya wengine wapoteze makazi yao.

  • Tathmini kuhusu hatua ya Marekani kuondoka katika vituo vyake vitatu vya kijeshi Syria

    Tathmini kuhusu hatua ya Marekani kuondoka katika vituo vyake vitatu vya kijeshi Syria

    Sep 03, 2021 07:15

    Marekani imeondoka katika vituo vyake vitatu vya kijeshi vilivyoko katika mikoa ya Deir ez-Zor na Al-Hasakah nchini Syria.

  • Mkuu mpya wa Shin Bet ya Israel aliongoza mauaji ya kamanda wa tawi la kijeshi la HAMAS

    Mkuu mpya wa Shin Bet ya Israel aliongoza mauaji ya kamanda wa tawi la kijeshi la HAMAS

    Sep 02, 2021 21:57

    Kwa mara ya kwanza, gazeti la Kizayuni la Yediot Ahronot limetoa taarifa kuhusu mkuu mpya wa shirika la usalama wa ndani la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Shin Bet na kueleza kuwa, afisa huyo ndiye aliyeongoza mauaji ya kigaidi ya mwaka 2012 ya kamanda mwandamizi wa Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la harakati ya HAMAS ya Palestina.

  • Mufti wa Lebanon: Hizbullah imetuletea fakhari; Marekani ni gonjwa la saratani la Lebanon

    Mufti wa Lebanon: Hizbullah imetuletea fakhari; Marekani ni gonjwa la saratani la Lebanon

    Sep 02, 2021 02:59

    Mufti wa Waislamu wa Kishia nchini Lebanon amesema kuwa, Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ni fahari kwa Lebanon na kwamba, kama kuna saratani nchini humo na ulimwenguni, basi saratani hiyo ni Marekani na wafuasi wake.

  • Sisitizo la Biden la kufikia tamati enzi za Marekani za

    Sisitizo la Biden la kufikia tamati enzi za Marekani za "Ujengaji Taifa kwa operesheni za kijeshi"

    Sep 01, 2021 22:28

    Siku ya Jumanne ya tarehe 31 Agosti, Rais Joe Biden wa Marekani alitoa hotuba maalum kwa mnasaba wa kuondoka rasmi askari wa nchi hiyo katika ardhi ya Afghanistan, ambapo alikufananisha kuondoka katika nchi hiyo iliyoharibiwa na vita kuwa ni sawa na kufikia tamati enzi za kutumia operesheni za kijeshi kwa ajili ya kuzijenga nchi upya; na akasema:

  • Kambi ya kijeshi ya Marekani yashambuliwa kwa maroketi Deir ez-Zor

    Kambi ya kijeshi ya Marekani yashambuliwa kwa maroketi Deir ez-Zor

    Sep 01, 2021 02:51

    Duru za kiusalama zimeripoti habari ya kushambuliwa kwa maroketi kambi ya kijeshi ya Marekani katika mkoa wa Deir ez-Zor, mashariki mwa Syria.

  • Iran yaionya Marekani; Msithubutu kuzuia meli zetu za mafuta zinazoelekea Lebanon

    Iran yaionya Marekani; Msithubutu kuzuia meli zetu za mafuta zinazoelekea Lebanon

    Aug 30, 2021 07:01

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani haina haki wala mamlaka ya kuzuia biashara halali baina ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi nyinginezo duniani huku akiionya vikali Washington dhidi ya kuzuia meli za mafuta za nchi hii zinazoelekea Lebanon.

  • Askari wa Marekani watuhumiwa kuua raia katika shambulio la Kabul

    Askari wa Marekani watuhumiwa kuua raia katika shambulio la Kabul

    Aug 29, 2021 21:57

    Baadhi ya raia wa Afghanistan miongoni mwa makumi ya watu waliopoteza maisha katika mkanyagano na fujo lililotokea nje ya Uwanja wa Ndege wa Kabul nchini Afghanistan baada ya kujiri miripuko ya mabomu Alkhamisi iliyopita, yumkini waliuawa na wanajeshi wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS