-
Ripoti ya mashirika ya upelelezi ya Marekani kuhusu chanzo cha kirusi cha corona
Aug 28, 2021 22:21Mashirika ya upelelezi na ujasusi ya Marekan Ijumaa ya jana yalitangaza muhtasari wa uchunguzi wake kuhusu chanzo cha kirusi cha corona na ugonjwa wa COVID-19 na kutangaza kuwa, maafisa wa serikali ya China hwakuwa na habari yoyote kuhusu kirusi cha corona kabla ya kusambaa kwake duniani mwishoni mwa mwaka 2019.
-
Marekani yaachana na mpango wa kununua 'Ngao ya Chuma' ya Israel
Aug 27, 2021 03:22Jeshi la Marekani limeachana na mpango wake wa kununua mifumo mingine ya ngao ya makombora ya utawala haramu wa Israel, baada ya kuufanyia majaribio mfumo wa kutungua maroketi na makombora ya mafasa mafupi kutoka Tel Aviv mwanzoni mwa msimu huu wa joto kali; na kupata matokeo yasiyoridhisha.
-
Mbunge Mkristo wa Lebanon: Iran ni rafiki yetu; balozi wa Marekani aache uafriti wa kutukwamisha
Aug 26, 2021 22:06Cesar Maalouf, mbunge wa Kikristo katika bunge la Lebanon amesema, Iran si adui wa Lebanon bali ni nchi rafiki; na adui Mzayuni ndiye adui pekee wa Lebanon.
-
Venezuela yaitaka ICC ichunguze vikwazo vya Marekani dhidi yake
Aug 25, 2021 08:26Makamu wa Rais wa Venezuela ameiomba Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ifanye uchunguzi juu ya vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini, akisisitiza kuwa vikwazo hivyo ni jinai dhidi ya binadamu.
-
Mazungumzo ya Mkuu wa CIA na Mullah Baradar; kielelezo cha uhusiano wa siri wa Marekani na Taliban
Aug 25, 2021 05:16Gazeti la Washington Post limeandika katika toleo lake la jana Jumanne kuwa Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA William Burns amekutana na kufanya mazungumzo kwa njia ya siri na Mkuu wa Kisiasa wa Taliban Mullah Abdul Ghani Baradar, katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
-
Lavrov: Russia inapinga kuwepo wanajeshi wa Marekani katikati mwa Asia
Aug 25, 2021 03:23Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa, nchi hiyo inapinga suala la kupelekwa wanajeshi wa Marekani katika eneo la katikati mwa Asia.
-
Lavrov: Mchakato wa kupunguza mvutano kati ya Russia na Marekani ni mgumu mno
Aug 24, 2021 08:13Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, nchi yake inaamini kuwa mchakato wa kupunguza mvutano na Marekani ni mgumu mno.
-
Nafasi ya Marekani katika mgogoro wa sasa nchini Lebanon
Aug 23, 2021 22:12Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah Jumapili ya juzi tarehe 22 Agosti alitoa hotuba akizungumzia masuala ya ndani ya nchi hiyo na kusema kuwa, Marekani imekuwa na nafasi kubwa katika kuchochea mgogoro wa sasa wa Lebanon.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan aitaka Marekani iache uroho na uchu wa mali
Aug 22, 2021 23:01Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Japan amesema ili kuyahuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani inapaswa kuachana na tabia yake ya uroho, uchu na hamu kubwa ya kukusanya na kurundika mali.
-
Kupinga Putin ombi la Biden la kuasisi kituo cha kijeshi karibu na Afghanistan
Aug 21, 2021 05:42Gazeti linalochapishwa nchini Marekani la Wall Street Journal limeandika kuwa, Rais Vladimir Putin wa Russia katka mazungumzo ya tarehe 16 Juni aliyofanya na Rais wa Marekani amepinga ombi la Biden la kutaka Washington kuwa na nafasi yoyote katika nchi za Asia ya Kati.