-
Pentagon: Wanajeshi wa Marekani wanashambuliwa kwa "nishati na mawimbi yanayoongozwa kutoka mbali"
Apr 25, 2021 06:17Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imedai kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo wanashambuliwa na nchi za Russia na China kwa kutumia mawimbi na nishati yanayoongozwa kutoka mbali.
-
Marekani yaibua shaka kuhusu kufungamana kwake na JCPOA na kuondoa vikwazo
Apr 24, 2021 06:13Afisa mmoja wa ngazi ya juu katika serikali ya Marekani alisema Alkhamisi kwamba hakuna dhamani ya kimaandishi itakayotolewa na serikali hiyo kuthibitisha kwamba haitajiondoa tena katika mapatano ya nyukilia na Iran na madola mengine makuu ya dunia, mashuhuri kama JCPOA.
-
Mashirika 40 ya kutetea haki za binadamu yamtakaka Biden afutilie mbali vikwazo dhidi ya Iran
Apr 22, 2021 21:53Huku virusi vya corona vikiwa vinaenea kwa kasi katika maeneo tofauti ya duniani ikiwemo Iran, hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo vya kidhalimu na vya upande mmoja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinazuia juhudi za Tehran za kununua katika masoko ya kimataifa bidhaa na vifaa vya mataibabu kwa ajili ya kupambana na virusi hivyo.
-
Marekani yakiri kuhusu nguvu ya Iran ya ndege zake zisizo na rubani (droni)
Apr 21, 2021 22:22Jenerali Kenneth McKenzie, Kamanda wa Kamandi Kuu ya askari wa kigaidi wa Marekani CENTCOM, amekiri kwamba nguvu ya droni za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepunguza na kudhoofisha pakubwa uwezo wa anga wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
-
Sanders ataka kubanwa misaada ya Marekani kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
Apr 21, 2021 05:07Seneta wa kujitegemea wa Marekani, Bernie Sanders ameitaka serikali ya nchi hiyo kubana misaada yake kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa shabaha ya kuushinikiza ukomeshe kukalia kwa mabavu ardhi ya Palestina.
-
Askari polisi aliyemuua Mmarekani mweusi, George Floyd apatikana na hatia
Apr 21, 2021 01:29Derek Chauvin, afisa mzungu wa polisi wa Marekani ambaye alimuua kikatili Mmarekani mwenye asili ya Afrika, George Floyd na kuzusha maandamano makubwa ya kupinga ubaguzi wa rangi dunia nzima hatimaye amepatikana na hatia katika mashitaka yote ya mauaji yaliyokuwa yakimuandama.
-
Balozi wa Marekani nchini Russia aitwa kurejea nyumbani
Apr 20, 2021 03:50Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kwamba imemtaka balozi wake aliyeko mjini Moscow Russia arejee nyumbani kwa mashauriano zaidi na viongozi wa Washington.
-
Rais wa Afghanistan: Taifa letu halitaporomoka kwa kuondoka askari wa Marekani
Apr 19, 2021 03:14Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan ameashiria uamuzi uliotangazwa hivi karibuni na Rais wa Marekani Joe Biden wa kuwaondoa askari wa jeshi la nchi hiyo walioko nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa, taifa hilo kamwe halitaporomoko kwa kuondoka wanajeshi hao vamizi wa US.
-
Janga la ukatili wa utumiaji silaha nchini Marekani na indhari mpya ya Biden
Apr 18, 2021 21:56Rais Joe Biden wa Marekani Ijumaa usiku alitoa taarifa na kulaani ufyatulianaji risasi ulioandamana na mauaji katika mji wa Indianapolis na kusema: "Kila siku idadi kubwa ya watu wanapoteza maisha kutokana na ukatili wa utumiaji silaha. Sisi tunapaswa kuchukua hatua za kuokoa maisha." Biden alikiri kuwa, ukatili wa utumiaji silaha sasa ni janga nchini Marekani.
-
Hatua mpya za serikali ya Biden dhidi ya Russia; vikwazo vipya na kufukuzwa wanadiplomasia
Apr 17, 2021 07:40Serikali ya Marekani juzi Alhamisi iliwawekea vikwazo Shakhsia 12 wa serikali ya Russia wakiwemo viongozi kadhaa wa serikali, wa masuala ya intelijensia wa nchi hiyo pamoja na taasisi 20 za Russia.