Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Russia yawafukuza wanadiplomasia 10 wa Marekani kujibu vikwazo vya Washington

    Russia yawafukuza wanadiplomasia 10 wa Marekani kujibu vikwazo vya Washington

    Apr 16, 2021 22:59

    Katika kujibu mapigo kwa hatua ya uhasama na vikwazo vipya vya Washington vilivyotangazwa hivi karibuni na Rais Joe Biden dhidi ya Russia, serikali Moscow imewatimua nchini humo wanadiplomasia kumi wa Marekani.

  • Russia yaahidi kujibu mapigo baada ya kuwekewa vikwazo vipya vya Marekani

    Russia yaahidi kujibu mapigo baada ya kuwekewa vikwazo vipya vya Marekani

    Apr 16, 2021 07:35

    Russia imeikosoa vikali serikali ya Marekani ikisema kuwa itajibu mapigo kwa vikwazo vipya vya nchi hiyo vilivyotangazwa na Rais Joe Biden dhidi ya Moscow.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu mazungumzo ya nyuklia; sharti la Iran, msingi wa kuhuishwa JCPOA

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu mazungumzo ya nyuklia; sharti la Iran, msingi wa kuhuishwa JCPOA

    Apr 15, 2021 23:05

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, siasa za Iran kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ziko wazi, na maafisa wanaoshiriki kwenye mazungumzo ya kuhuishwa makubaliano hayo wanapaswa kuwa macho ili yasirefushwe kupita kiasi, suala ambalo lina madhara kwa taifa.

  • Harakati ya Nujabaa: Kuendelea kuwepo kijeshi Marekani ndio hatari kubwa zaidi kwa Iraq

    Harakati ya Nujabaa: Kuendelea kuwepo kijeshi Marekani ndio hatari kubwa zaidi kwa Iraq

    Apr 15, 2021 08:32

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Nujabaa nchini Iraq amesisitiza kuwa, kuendelea kuwepo kijeshi Marekani, ndio hatari kubwa zaidi inayotishia usalama wa Iraq.

  • Mkuu wa CIA: Marekani inajitia hatarini kuwaondoa askari nchini Afghanistan

    Mkuu wa CIA: Marekani inajitia hatarini kuwaondoa askari nchini Afghanistan

    Apr 15, 2021 08:15

    Mkuu wa shirika la ujasusi la Marekani CIA amesema, nchi hiyo inajihatarisha kwa kuchukua uamuzi wa kuwaondoa askari wake nchini Afghanistan.

  • Vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; kwenda sambamba na Washington na Tel Aviv

    Vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; kwenda sambamba na Washington na Tel Aviv

    Apr 14, 2021 08:18

    Baraza la Umoja wa Ulaya Jumatatu tarehe 12 mwezi huu wa Aprili liliwajumuisha maafisa 8 na taasisi 3 katika ordha ya vikwazo dhidi ya Iran kwa kisingizio cha eti kukiuka haki za binadamu. Aidha baraza hilo limechukua uamuzi wa kurefusha hatua zake dhidi ya Iran hadi tarehe 13 mwezi Aprili mwaka kesho kwa kisingizio cha kile ilichokitaja kuwa ukiukaji wa haki za binzdamu.

  • Msafara wa wanajeshi vamizi wa Marekani washambuliwa kusini mwa Iraq

    Msafara wa wanajeshi vamizi wa Marekani washambuliwa kusini mwa Iraq

    Apr 13, 2021 22:06

    Duru za habari za Iraq zimetangaza kuwa, msafara wa magari yaliyokuwa yamepakia vifaa mbalimbali na zana za kijeshi kwa ajili ya wanajeshi vamizi wa Marekani umeshambuliwa kusini mwa nchi hiyo.

  • Marekani yasimamisha chanjo ya corona ya Johnson & Johnson kwa hofu ya kuganda damu

    Marekani yasimamisha chanjo ya corona ya Johnson & Johnson kwa hofu ya kuganda damu

    Apr 13, 2021 22:05

    Marekani imesitisha matumizi ya chanjo ya virusi vya corona iliyotengenezwa na kampuni ya dawa ya nchi hiyo, Johnson and Johnson, ambayo kuna madai kuwa inasababisha kuziba kwa mishipa kama matokeo ya tatizo la kuganda kwa damu kwa watu waliopewa chanjo hiyo.

  • Kukiri Biden juu ya kuudhiwa na kubughudhiwa Waislamu nchini Marekani

    Kukiri Biden juu ya kuudhiwa na kubughudhiwa Waislamu nchini Marekani

    Apr 13, 2021 21:52

    Rais Joe Biden wa Marekani amekiri katika ujumbe wake kwa mnasaba wa kuwadia mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani juu ya kuudhiwa na kubughudhiwa Waislamu katika jamii ya Marekani.

  • Marekani yasisitiza Israel ni mshirika wake wa kistratejia katika eneo

    Marekani yasisitiza Israel ni mshirika wake wa kistratejia katika eneo

    Apr 11, 2021 08:13

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel ni mshirika wa kistratejia wa nchi hiyo katika eneo la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS