-
Serikali ya Biden yazidi kushinikizwa ikabiliane na mashambulio ya silahamoto yaliyokitihiri ndani ya Marekani
Mar 24, 2021 08:33Serikali ya Marekani inazidi kuandamwa na mashinikizo ya kuitaka ichukue hatua za kukabiliana na mashambulio ya utumiaji wa silahamoto yaliyokithiri katika jamii ya nchi hiyo.
-
Sisitizo la Russia na China juu ya kurejea bila masharti Marekani katika mapatano ya JCPOA
Mar 24, 2021 07:51Wang Yi na Sergei Lavrov, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa China na Russia Jumatatu wiki hii tarehe 22 Machi walisiistiza udharura wa kurejea Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya masharti yoyote na kuondolewa vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran.
-
Wabunge 12 wa Marekani waipinga Israel na kuliunga mkono taifa la Palestina
Mar 21, 2021 08:40Wabunge 12 wa Baraza la Wawakilishi la Marekani wamemuandikia baraua waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyio na kuitaka serikali mpya ya Marekani iheshimu na kuunga mkono haki za binadamu na heshima za wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.
-
Badr: Marekani inakula njama ya kuwarejesha magaidi Iraq
Mar 21, 2021 04:35Mkuu wa Ofisi ya Shirika la Badr katika mkoa wa al-Anbar nchini Iraq amesema Marekani inapanga njama ya kuwarejesha magaidi katika mikoa ya magharibi mwa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Mwana wa Trump amfanyia istihzai rais wa Marekani, Joe Biden
Mar 20, 2021 23:50Mwana wa kiume wa rais wa zamani wa Marekani, amerusha katika mtandao wa Twitter kipande cha video kilichotengenezwa maalumu kwa ajili ya kumfanyia istihzai Joe Biden baada ya rais huyo wa Marekani kula mweleka mara tatu mfululizo wakati alipokuwa anapanda ngazi ya ndege.
-
Kikao cha Alaska na kukaririwa tuhuma za Marekani dhidi ya China
Mar 20, 2021 23:49Kushadidi mpambano baina ya Marekani na China tangu baada ya Joe Biden kushika hatamu za uongozi kumezifanya pande hizo mbili kuitisha kikao cha ngazi za juu ambacho kilifanyika Alkhamisi iliyopita katika eneo la Anchorage kwenye jimbo la Alaska.
-
Iran: Hatujapokea ujumbe wowote kutoka Marekani
Mar 20, 2021 04:49Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haijapokea ujumbe wowote kutoka kwa Marekani wala haina azma yoyote ya kuitumia Washington ujumbe.
-
Kuendelea siasa za uhasama za Marekani dhid ya Iran
Mar 20, 2021 04:24Ikiwa ni katika kuendeleza siasa za uhasama za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Wizara ya Fedha ya Marekani imewatuhumu raia wengine 10 wa Iran kuwa wamekiuka vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya Iran.
-
Rais wa Marekani 'ala mweleka' mara tatu na kuzidisha wasiwasi kuhusu uzima wake kimwili
Mar 20, 2021 00:10Rais Joe Biden wa Marekani ameteleza na kuanguka mara tatu wakati akipanda ndege ya rais Air Force One, hali ambayo imezidisha wasiwasi kuhusu uzima wa kimwili wa kiongozi huyo.
-
Madharau ya Biden dhidi ya Putin, na mzozo wa aina yake katika uhusiano wa Marekani na Russia
Mar 19, 2021 06:00Uhusiano wa Marekani na Russia tangu Rais Joe Biden aliposhika madaraka ya nchi katika White House mwezi Januari mwaka huu umekuwa ukidorora siku baada ya nyingine huku Washington ikiendelea kuzidisha misimamo ya kihasama na kiuadui dhidi ya Russia. Sasa makabiliano baina ya nchi hizo mbili yamefikia kiwango cha vita vya maneno baina ya marais wa nchi hizo.