-
Wamarekani wana wasiwasi wa kuanza vita vya ndani sambamba na kukaribia kusailiwa kwa Trump
Feb 09, 2021 02:28Sambamba na kukaribia siku ya kuanza kikao cha kumsaili na kumshtaki aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump, raia wengi wa nchi hiyo wana wasiwasi wa kuanza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.
-
Madai ya Marekani kuhusu kusitisha himaya yake katika vita dhidi ya Yemen
Feb 05, 2021 23:04Marekani na baadhi ya waitifaki wake wa Ulaya wamekuwa na nafasi kubwa katika kudumisha vita vya Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya taifa la Yemen vilivyoanza mwezi Machi mwaka 2015. Tangu wakati huo Marekani na waitifaki wake wamekuwa wakiisaidia Saudia na washirika wake kwa misaada ya aina mbalimbali ya silaha, upelelezi na misaada ya kilojistiki. Sasa serikali ya Washington inadai kuwa, inasitisha misaada hiyo.
-
Iran: Marekani ingali inakiuka azimio 2231 kwa vikwazo haramu
Feb 05, 2021 09:00Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Marekani inaendelea kukanyaga azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la umoja huo kwa kuliwekea taifa hili vikwazo kinyume cha sheria.
-
EU: Diplomasia ichukue nafasi ya mashinikizo ya kiwango cha juu
Feb 05, 2021 08:18Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema 'diplomasia ya kiwango cha juu' inapaswa kuchukua nafasi ya 'mashinikizo ya kiwango cha juu.'
-
Meja Jenerali Salami: Adui hawezi kuvumilia kuona Iran inastawi
Feb 04, 2021 23:23Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema maadui wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanahamaki na kushindwa kuvumilia hatua za maendeleo na ustawi zinazopigwa na taifa hili.
-
Waziri: Magaidi wa ndani ya Marekani ndilo tishio kubwa kwa usalama wetu
Feb 04, 2021 23:22Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani amekiri kwamba kuna magaidi ndani ya nchi hiyo na kwamba, magaidi hao ni tishio kubwa sana kwa nchi hiyo.
-
Misafara 2 ya kijeshi ya Marekani yashambuliwa nchini Iraq
Feb 04, 2021 23:21Duru za kiusalama zimeripoti habari ya kushambuliwa misafara miwili ya kilojistiki ya jeshi vamizi la Marekani katikati na kusini mwa Iraq.
-
Rais Rouhani: Kwa mara nyingine tena, Iran imeipiga mweleka Marekani
Feb 04, 2021 09:25Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ya kukataa pingamizi la Marekani kuhusu mashataka ya Tehran dhidi yake, ni ushindi mwingine kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Marekani pia yarefusha kwa miaka 5 mingine mkataba wa New START iliosaini na Russia
Feb 04, 2021 00:56Baada ya muda wa chini ya wiki moja tangu rais wa Russia aliposaini mpango wa kurefusha mkataba wa New START, waziri wa mambo ya nje wa Marekani ametangaza kuwa nchi hiyo nayo pia imesaini mpango wa kurefusha mkataba huo.
-
Zarif: Marekani sharti itekeleze wajibu wake kwa kurejea katika JCPOA
Feb 02, 2021 00:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani haina budi kutekeleza wajibu na majukumu yake kwa kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.