Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Wamarekani wana wasiwasi wa kuanza vita vya ndani sambamba na kukaribia kusailiwa kwa Trump

    Wamarekani wana wasiwasi wa kuanza vita vya ndani sambamba na kukaribia kusailiwa kwa Trump

    Feb 09, 2021 02:28

    Sambamba na kukaribia siku ya kuanza kikao cha kumsaili na kumshtaki aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump, raia wengi wa nchi hiyo wana wasiwasi wa kuanza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.

  • Madai ya Marekani kuhusu kusitisha himaya yake katika vita dhidi ya Yemen

    Madai ya Marekani kuhusu kusitisha himaya yake katika vita dhidi ya Yemen

    Feb 05, 2021 23:04

    Marekani na baadhi ya waitifaki wake wa Ulaya wamekuwa na nafasi kubwa katika kudumisha vita vya Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya taifa la Yemen vilivyoanza mwezi Machi mwaka 2015. Tangu wakati huo Marekani na waitifaki wake wamekuwa wakiisaidia Saudia na washirika wake kwa misaada ya aina mbalimbali ya silaha, upelelezi na misaada ya kilojistiki. Sasa serikali ya Washington inadai kuwa, inasitisha misaada hiyo.

  • Iran: Marekani ingali inakiuka azimio 2231 kwa vikwazo haramu

    Iran: Marekani ingali inakiuka azimio 2231 kwa vikwazo haramu

    Feb 05, 2021 09:00

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Marekani inaendelea kukanyaga azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la umoja huo kwa kuliwekea taifa hili vikwazo kinyume cha sheria.

  • EU: Diplomasia ichukue nafasi ya mashinikizo ya kiwango cha juu

    EU: Diplomasia ichukue nafasi ya mashinikizo ya kiwango cha juu

    Feb 05, 2021 08:18

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema 'diplomasia ya kiwango cha juu' inapaswa kuchukua nafasi ya 'mashinikizo ya kiwango cha juu.'

  • Meja Jenerali Salami: Adui hawezi kuvumilia kuona Iran inastawi

    Meja Jenerali Salami: Adui hawezi kuvumilia kuona Iran inastawi

    Feb 04, 2021 23:23

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema maadui wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanahamaki na kushindwa kuvumilia hatua za maendeleo na ustawi zinazopigwa na taifa hili.

  • Waziri: Magaidi wa ndani ya Marekani ndilo tishio kubwa kwa usalama wetu

    Waziri: Magaidi wa ndani ya Marekani ndilo tishio kubwa kwa usalama wetu

    Feb 04, 2021 23:22

    Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani amekiri kwamba kuna magaidi ndani ya nchi hiyo na kwamba, magaidi hao ni tishio kubwa sana kwa nchi hiyo.

  • Misafara 2 ya kijeshi ya Marekani yashambuliwa nchini Iraq

    Misafara 2 ya kijeshi ya Marekani yashambuliwa nchini Iraq

    Feb 04, 2021 23:21

    Duru za kiusalama zimeripoti habari ya kushambuliwa misafara miwili ya kilojistiki ya jeshi vamizi la Marekani katikati na kusini mwa Iraq.

  • Rais Rouhani: Kwa mara nyingine tena, Iran imeipiga mweleka Marekani

    Rais Rouhani: Kwa mara nyingine tena, Iran imeipiga mweleka Marekani

    Feb 04, 2021 09:25

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ya kukataa pingamizi la Marekani kuhusu mashataka ya Tehran dhidi yake, ni ushindi mwingine kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Marekani pia yarefusha kwa miaka 5 mingine mkataba wa New START iliosaini na Russia

    Marekani pia yarefusha kwa miaka 5 mingine mkataba wa New START iliosaini na Russia

    Feb 04, 2021 00:56

    Baada ya muda wa chini ya wiki moja tangu rais wa Russia aliposaini mpango wa kurefusha mkataba wa New START, waziri wa mambo ya nje wa Marekani ametangaza kuwa nchi hiyo nayo pia imesaini mpango wa kurefusha mkataba huo.

  • Zarif: Marekani sharti itekeleze wajibu wake kwa kurejea katika JCPOA

    Zarif: Marekani sharti itekeleze wajibu wake kwa kurejea katika JCPOA

    Feb 02, 2021 00:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani haina budi kutekeleza wajibu na majukumu yake kwa kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS