Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Blinken na madai mapya kwa ajili ya kurejea katika JCPOA

    Blinken na madai mapya kwa ajili ya kurejea katika JCPOA

    Feb 01, 2021 23:31

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani kwa mara nyingine tena amekariri hamu ya Washington ya kutaka kurejea katika mapatano ya JCPOA na kisha akatoa madai mapya kama sharti la kurejea katika mapatano hayo.

  • Marekani yaingiza shehena ya zana za kijeshi mashariki mwa Syria

    Marekani yaingiza shehena ya zana za kijeshi mashariki mwa Syria

    Feb 01, 2021 23:30

    Duru mbalimbali za habari zimearifu kuwa, silaha na zana za kilojistiki za wanajaeshi magaidi wa Marekani zimeonekana zikiingizwa katika maidani ya mafuta huko Koniko kaskazini mashariki mwa Deir Zor.

  • Biden: Mamilioni ya watu wamepoteza ajira Marekani kutokana na corona

    Biden: Mamilioni ya watu wamepoteza ajira Marekani kutokana na corona

    Feb 01, 2021 04:49

    Rais wa Marekani, Joe Biden amesema kuwa, mamilioni ya wananchi wa nchi hiyo hawana ajira baada ya kupoteza kazi zao kutokana na janga la ugonjwa wa COVID-19.

  • Kuchaguliwa Robert Malley kama mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Iran na kelele zisizo na maana zilizofuata

    Kuchaguliwa Robert Malley kama mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Iran na kelele zisizo na maana zilizofuata

    Jan 31, 2021 06:41

    Baada ya kuingia madarakani serikali mpya ya Joe Biden nchini Marekani na kutangazwa msimamo wake kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran ambayo ni maarufu kama JCPOA, ilikuwa inatarajiwa kuwa kungekuwa na mabadiliko maalumu katika uga huu.

  • Marekani yakataa kuondoa kikamilifu wanajeshi wake walioko Afghanistan

    Marekani yakataa kuondoa kikamilifu wanajeshi wake walioko Afghanistan

    Jan 30, 2021 23:21

    Marekani imetazama upya aghalabu ya sera na hatua za serikali iliyotangulia ya Trump baada ya kuingia madarakani serikali mpya ya Joe Biden. Siasa za Washington kuhusu Afghanistan na kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini humo ni kati ya masuala hayo.

  • Syria yalalamika kuhusu jinai zinazofanywa na magaidi wanaopata himaya ya Marekani

    Syria yalalamika kuhusu jinai zinazofanywa na magaidi wanaopata himaya ya Marekani

    Jan 30, 2021 08:58

    Syria imesema wanaotenda jinai dhidi ya watoto wa Syria wakiwemo magaidi na wanamgambo wa Kikurdi wa SDF wanapata himaya ya Marekani.

  • Ukosoaji wa kuchelewa wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu kadhia ya Palestina

    Ukosoaji wa kuchelewa wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu kadhia ya Palestina

    Jan 29, 2021 23:14

    Akizungumza Jumanne katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichoandaliwa kwa ajili ya kujadili masuala ya eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) Ahmad Abu al-Ghait, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu au kwa jina jingine Arab League, alisema kuwa Wapalestina wamepitia mashinikizo makubwa yasiyo na mfano wake katika miaka minne ya utawala wa rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump.

  • Iran: Ni Marekani ndiyo yenye wajibu wa kurudi kwenye JCPOA

    Iran: Ni Marekani ndiyo yenye wajibu wa kurudi kwenye JCPOA

    Jan 29, 2021 09:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, hivi sasa ni Marekani ndiyo yenye wajibu wa kurejea kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kutekeleza ahadi na majukumu yake.

  • EU na US kufanya mkutano wa kujaribu kuinusuru JCPOA

    EU na US kufanya mkutano wa kujaribu kuinusuru JCPOA

    Jan 29, 2021 04:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema mazungumzo baina ya nchi za Ulaya na Marekani kuhusu kurejea Washington katika makubaliano ya nyuklia ya Iran yataanza hivi karibuni.

  • Iran yasema huenda ikapunguza kiwango cha ushirikiano wake na IAEA

    Iran yasema huenda ikapunguza kiwango cha ushirikiano wake na IAEA

    Jan 28, 2021 23:22

    Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao Vienna amesema yumkini Tehran itatazama upya kiwango cha ushirikiano wake na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS