-
Kujitakia makuu serikali ya Biden kuhusu Iran na mapatano ya JCPOA
Jan 28, 2021 07:23Maafisa wa serikali mpya ya Joe Biden nchini Marekani ambao huko nyuma walikuwa wakitoa matamshi kinyume na msimamo wa serikali ya wakati huo ya nchi hiyo, hivi sasa wanaonyesha kuwa na mitazamo sawa, bali hata kutumia lugha ile ile ya serikali ya Donald Trump kuhusu Iran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Yemen: Kusitisha kuziuzia silaha Saudia na UAE hakutafuta doa la jinai za Marekani
Jan 28, 2021 03:55Mjumbe wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema kuhusu hatua ya Marekani ya kusitisha kwa muda kuziuzia silaha Saudi Arabia na Imarati kwamba kufanya hivyo hakutafuta doa la jinai za Washington za kushirikiana na nchi hizo mbili.
-
Serikali ya Biden kuangalia upya vikwazo walivyowekewa maafisa wa ICC
Jan 27, 2021 08:38Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani amesema kuwa serikali ya nchi hiyo imepanga kuangalia upya vikwazo vya Washington dhidi ya maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
-
Watu 2 wauawa katika tukio la utekaji nyara jimboni Texas, Marekani
Jan 27, 2021 08:37Watekajinyara wamewaua watu wawili katika jimbo la Texas, Marekani.
-
Canada yataka genge la Trump litambuliwe kuwa kundi la kigaidi
Jan 26, 2021 08:25Bunge la Canada limeitaka serikali ya nchi hiyo liliweke rasmi genge la wanamgambo waliojizatiti kwa silaha na wafuasi sugu wa aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump katika orodha ya magenge ya kigaidi kama vile al-Qaeda na ISIS (Daesh).
-
Balozi wa Iran UN: Rais wa Marekani achukue hatua ya kwanza
Jan 26, 2021 04:05Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu haina mpango wowote wa kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Marekani Joe Biden, lakini inasubiri serikali mpya ya Washington ichukue hatua ya kwanza ya kuliondolea taifa hili vikwazo na kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Ripoti: Polisi ya Marekani imeua makumi ya Wamarekani weusi tokea 2015
Jan 26, 2021 03:55Uchunguzi mpya umefichua kuwa, makumi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika wameuawa na polisi ya nchi hiyo tokea mwaka 2015.
-
Guterres : COVID-19 imetufunza hatuwezi kupuuza hatari, ataka chanjo igaiwe kiuadilifu
Jan 26, 2021 03:43Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesema kuwa maambukizi ya kirusi cha corona na kuenea ugonjwa wa COVID-19 pamoja na mabadiliko ya hali ya hewa, ni changamoto mbili kuu ulizoikumbwa dunia hivi sasa.
-
Kremlin yakosoa uingiliaji kati wa Marekani katika maandamano huko Russia
Jan 24, 2021 23:33Msemaji wa ikulu ya Russia (Kremlin) ameyataja matasmhi ya uingiliaji kati ya Marekani kuhusu maandamano yaliyo kinyum cha sheria huko Russia kuwa ni uingiliaji wa masuala ya ndani ya Moscow.
-
Wamarekani wakatishwa tamaa na chanjo ya corona ya Pfizer
Jan 24, 2021 23:00Baada ya kuvunja rekodi na kuongezeka sana idadi ya maambukizi na vifo vya wagonjwa wa COVID-19 nchini Marekani licha ya chanjo iliyopigiwa propaganda kubwa ya shirika la Kimarekani la Pfizer kuanza kutumika nchini humo, idadi kubwa ya wananchi wa nchi hiyo sasa wamekatishwa tamaa na utendaji kazi wa chanjo hiyo.