Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Adam Schiff ataka kutolewa ripoti kuhusu mauaji ya Jamal Khashoggi

    Adam Schiff ataka kutolewa ripoti kuhusu mauaji ya Jamal Khashoggi

    Jan 24, 2021 04:35

    Mkuu wa Kamati ya Intelijinsia katika Bunge la Wawakilishi la Marekani amemwandikia barua Mkuu Mpya wa Usalama wa Taifa wa nchi hiyo akitaka kutolewa ripoti kuhusu mauaji ya mwandishi habari mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia.

  • Zarif: Mlango wa fursa kwa utawala mpya wa Marekani hautabaki wazi milele

    Zarif: Mlango wa fursa kwa utawala mpya wa Marekani hautabaki wazi milele

    Jan 23, 2021 08:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuasa Rais mpya wa Marekani Joe Biden, ahitimishe sera za mashinikizo zilizogonga mwamba za mtangulizi wake Donald Trump na kusisitiza kuwa, "dirisha la fursa kwa timu mpya ya Ikulu ya White House halitabakia wazi milele."

  • Russia yakaribisha pendekezo la Marekani la kurefusha muda wa Mkataba wa New Start

    Russia yakaribisha pendekezo la Marekani la kurefusha muda wa Mkataba wa New Start

    Jan 23, 2021 01:25

    Serikali ya Russia imeunga mkono pendekezo la Rais Joe Biden wa Marekani la kurefusha mkataba wa kupunguza silaha za kistratijia za nyuklia maarufu kwa jina la New START kwa miaka mitano.

  • Hamas: Trump alikuwa mshirika wa hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Palestina

    Hamas: Trump alikuwa mshirika wa hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Palestina

    Jan 21, 2021 08:13

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa Donald Trump alikuwa mshirika wa moja kwa moja wa utawala wa Kizayuni katika kuwakandamiza wananchi wa Palestina.

  • Maduro; Venezuela imemshinda Trump

    Maduro; Venezuela imemshinda Trump

    Jan 21, 2021 08:09

    Rais wa Venezuela amekutaja kuondoka huko White House Rais wa zamani wa Marekani kuwa ushindi kwa nchi yake.

  • Biden atengua amri 17 za Trump ikiwemo marufuku ya Waislamu kuingia Marekani

    Biden atengua amri 17 za Trump ikiwemo marufuku ya Waislamu kuingia Marekani

    Jan 21, 2021 04:11

    Mara baada ya kuapishwa kuwa rais wa 46 wa Marekani, Joe Biden amesaini amri 17 za utekelezaji ambazo zimetengeua maamuzi yaliyopitishwa na mtangulizi wake Donald Trump.

  • China yamwekea vikwazo Pompeo na maafisa wenzake 27 kwa 'uongo na udanganyifu'

    China yamwekea vikwazo Pompeo na maafisa wenzake 27 kwa 'uongo na udanganyifu'

    Jan 21, 2021 03:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetangaza kuwa imemwekea vikwazo Mike Pompeo, waziri wa mambo ya nje wa serikali ya Marekani iliyomaliza muda wake ya Donald Trump pamoja na maafisa wengine 27 wa serikali hiyo kwa sababu ya kile ilichokiita hatua za kiwendawazimu zilizoingilia vibaya sana masuala ya ndani ya China.

  • Misimamo ya maafisa wa serikali ya Biden kuhusu Iran; kurudiwa misamiati ile ile ya zamani

    Misimamo ya maafisa wa serikali ya Biden kuhusu Iran; kurudiwa misamiati ile ile ya zamani

    Jan 20, 2021 23:40

    Sherehe za kutawazwa Joseph Robinette Biden Jr. kuwa rais wa 46 wa Marekani zimefanyika katika hali ambayo, Jumanne, tarehe 19 Januari 2021, maafisa wa ngazi za juu wa serikali yake walitumia kikao cha Baraza la Sanate la nchi hiyo kutangaza misimamo yao kuhusu Tehran na masuala yanayohusiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Uganda yaikosoa Marekani kwa kuingilia siasa zake za ndani

    Uganda yaikosoa Marekani kwa kuingilia siasa zake za ndani

    Jan 19, 2021 23:41

    Uganda imeikosoa vikali Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Jumbe za kimataifa za kupinga tuhuma za ugaidi za Marekani dhidi ya Ansarullah ya Yemen

    Jumbe za kimataifa za kupinga tuhuma za ugaidi za Marekani dhidi ya Ansarullah ya Yemen

    Jan 18, 2021 23:05

    Hivi karibuni Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani alitangaza kuwa serikali ya Rais Donald Trump imeijulisha rasmi Congress ya nchi hiyo kuwa imeliweka kundi la mapambano ya Kiislamu la Ansarullah la nchini Yemen katika orodha ya makundi yanayotuhumiwa kuunga mkono ugaidi, uamuzi ambao umekabiliwa na upinzani mkali wa kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS