-
Adam Schiff ataka kutolewa ripoti kuhusu mauaji ya Jamal Khashoggi
Jan 24, 2021 04:35Mkuu wa Kamati ya Intelijinsia katika Bunge la Wawakilishi la Marekani amemwandikia barua Mkuu Mpya wa Usalama wa Taifa wa nchi hiyo akitaka kutolewa ripoti kuhusu mauaji ya mwandishi habari mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia.
-
Zarif: Mlango wa fursa kwa utawala mpya wa Marekani hautabaki wazi milele
Jan 23, 2021 08:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuasa Rais mpya wa Marekani Joe Biden, ahitimishe sera za mashinikizo zilizogonga mwamba za mtangulizi wake Donald Trump na kusisitiza kuwa, "dirisha la fursa kwa timu mpya ya Ikulu ya White House halitabakia wazi milele."
-
Russia yakaribisha pendekezo la Marekani la kurefusha muda wa Mkataba wa New Start
Jan 23, 2021 01:25Serikali ya Russia imeunga mkono pendekezo la Rais Joe Biden wa Marekani la kurefusha mkataba wa kupunguza silaha za kistratijia za nyuklia maarufu kwa jina la New START kwa miaka mitano.
-
Hamas: Trump alikuwa mshirika wa hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Palestina
Jan 21, 2021 08:13Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa Donald Trump alikuwa mshirika wa moja kwa moja wa utawala wa Kizayuni katika kuwakandamiza wananchi wa Palestina.
-
Maduro; Venezuela imemshinda Trump
Jan 21, 2021 08:09Rais wa Venezuela amekutaja kuondoka huko White House Rais wa zamani wa Marekani kuwa ushindi kwa nchi yake.
-
Biden atengua amri 17 za Trump ikiwemo marufuku ya Waislamu kuingia Marekani
Jan 21, 2021 04:11Mara baada ya kuapishwa kuwa rais wa 46 wa Marekani, Joe Biden amesaini amri 17 za utekelezaji ambazo zimetengeua maamuzi yaliyopitishwa na mtangulizi wake Donald Trump.
-
China yamwekea vikwazo Pompeo na maafisa wenzake 27 kwa 'uongo na udanganyifu'
Jan 21, 2021 03:33Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetangaza kuwa imemwekea vikwazo Mike Pompeo, waziri wa mambo ya nje wa serikali ya Marekani iliyomaliza muda wake ya Donald Trump pamoja na maafisa wengine 27 wa serikali hiyo kwa sababu ya kile ilichokiita hatua za kiwendawazimu zilizoingilia vibaya sana masuala ya ndani ya China.
-
Misimamo ya maafisa wa serikali ya Biden kuhusu Iran; kurudiwa misamiati ile ile ya zamani
Jan 20, 2021 23:40Sherehe za kutawazwa Joseph Robinette Biden Jr. kuwa rais wa 46 wa Marekani zimefanyika katika hali ambayo, Jumanne, tarehe 19 Januari 2021, maafisa wa ngazi za juu wa serikali yake walitumia kikao cha Baraza la Sanate la nchi hiyo kutangaza misimamo yao kuhusu Tehran na masuala yanayohusiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Uganda yaikosoa Marekani kwa kuingilia siasa zake za ndani
Jan 19, 2021 23:41Uganda imeikosoa vikali Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Jumbe za kimataifa za kupinga tuhuma za ugaidi za Marekani dhidi ya Ansarullah ya Yemen
Jan 18, 2021 23:05Hivi karibuni Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani alitangaza kuwa serikali ya Rais Donald Trump imeijulisha rasmi Congress ya nchi hiyo kuwa imeliweka kundi la mapambano ya Kiislamu la Ansarullah la nchini Yemen katika orodha ya makundi yanayotuhumiwa kuunga mkono ugaidi, uamuzi ambao umekabiliwa na upinzani mkali wa kimataifa.