-
Jenerali Baqeri: Marekani inaogopa uwezo wa kiulinzi wa Iran
Jan 18, 2021 10:58Kamanda wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema harakati na mienendo ya Marekani katika eneo la Asia Magharibi haina thamani yoyote ya kioperesheni, na badala yake inaonesha wazi namna dola hilo la kibeberu linatiwa kiwewe na uwezo mkubwa wa kujihami wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Mbali na mafuta, Marekani sasa inaiba mazao ya mashamba ya Wasyria
Jan 18, 2021 08:26Sambamba na kuendelea wizi wa mafuta ya Syria unaofanywa na wanajeshi magaidi wa Marekani, askari hao vamizi sasa wameanza kupora mazao ya mashamba ya wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Meya wa Washington DC atahadharisha kujiri mashambulizi katika mji mkuu huo
Jan 18, 2021 04:51Meya wa mji mkuu wa Marekani ametahadharisha juu ya kujiri mashambulizi katika maeneo mbalimbali ya Washington DC na katika majimbo mengine ya nchi hiyo.
-
Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu ndege za kivita aina ya B-52
Jan 18, 2021 01:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ameashiria uwepo wa ndege za kivita za Marekani aina ya B-52 katika eneo la Asia Magharibi na kuonya kuwa, Iran haitasita kutungua chombo chochote kinachokiuka anga yake.
-
Mabadiliko katika stratijia ya kijeshi ya Marekani Asia Magharibi
Jan 18, 2021 01:19Marekani imetoa huduma kubwa kwa utawala haramu wa Israel katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi: Askari wa Marekani lazima waondoke Iraq
Jan 18, 2021 01:17Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi ya Iraq amesisitiza ulazima wa kutekelezwa mpango uliopitishwa na bunge wa kutaka askari wa jeshi la Marekani waondoke nchini humo.
-
Mgogoro wa uongozi Marekani, mtu mmoja akamatwa na silaha na risasi 500 haramu Washington DC
Jan 17, 2021 09:50Polisi ya Upelelezi ya Marekani FBI imemtia mbaroni mtu mmoja akiwa na silaha na risasi 500 haramu katika mji mkuu wa nchi hiyo, Washington.
-
Wayemen waandamana kuilaani Marekani kwa kuiweka Ansarullah katika orodha nyeusi
Jan 17, 2021 04:25Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano katika mkoa wa Sa'ada, kaskazini magharibi mwa nchi kulaani hatua ya Marekani ya kuliweka jina la Ansarullah katika orodha yake ya makundi ya kigaidi na kuitaka ifutilea mbali uamuzi wake huo.
-
Trump ampa Mfalme wa Morocco tuzo kwa kuanzisha uhusiano na Israel
Jan 17, 2021 04:22Rais Donald Trump wa Marekani amemtunuku tuzo ya kifahari Mfalme Mohammed wa Sita wa Morocco, kutokana na hatua yake ya kukubali kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Utawala wa Trump waendelea kutekeleza siasa zilizofeli dhidi ya Iran
Jan 17, 2021 02:48Ikiwa zimebaki siku chache tu kabla ya kumalizika rasmi utawala wa Rais Donald Trump nchini Marekani, utawala huo umeamua kuongeza mashinikizo ya juu zaidi na vikwazo dhidi ya mfumo wa Kiislamu wa Iran.