-
Trump ampa Mfalme wa Morocco tuzo kwa kuanzisha uhusiano na Israel
Jan 17, 2021 04:22Rais Donald Trump wa Marekani amemtunuku tuzo ya kifahari Mfalme Mohammed wa Sita wa Morocco, kutokana na hatua yake ya kukubali kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Utawala wa Trump waendelea kutekeleza siasa zilizofeli dhidi ya Iran
Jan 17, 2021 02:48Ikiwa zimebaki siku chache tu kabla ya kumalizika rasmi utawala wa Rais Donald Trump nchini Marekani, utawala huo umeamua kuongeza mashinikizo ya juu zaidi na vikwazo dhidi ya mfumo wa Kiislamu wa Iran.
-
Uhasama usio na mwisho wa Marekani dhidi ya Hashdu Shaabi
Jan 16, 2021 22:49Marekani imemuwekea vikwazo Abu Fadak al Muhammadawi Naibu Mkuu wa Harakati ya al Hashdu al Sha'abi katika kuendeleza hatua zake dhidi ya kundi hilo la kujitolea la wananchi wa Iraq.
-
FBI: Watu zaidi 200 wanashukiwa kutaka kutumia silaha moto kuvuruga sherehe ya kuapishwa Biden
Jan 16, 2021 09:44Mkuu wa polisi ya upelelezi ya Marekani FBI amesema, kuna ushahidi wenye kutia wasiwasi juu ya uwezekano wa kufanyika maandamano ya upinzani ya utumiaji wa silaha moto sambamba na hafla ya kuapishwa rais mpya wa nchi hiyo.
-
Trump; maafa na msiba kwa haki za binadamu
Jan 16, 2021 00:11Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake wenye utata mwingi nchini Marekani, Rais Donald Trump ameacha nyuma historia nyeusi kuhusu suala zima la haki za binadamu, huku akilaumiwa na kukosolewa vikali katika siku za mwisho za utawala wake.
-
Israel yatishia kuishambulia Iran iwapo Biden atairejesha US katika JCPOA
Jan 15, 2021 10:34Mpambe wa karibu wa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ametishia kuwa huenda Israel ikaishambulia kijeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iwapo serikali ijayo ya Marekani itarejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Marekani yakataa ombi la Umoja wa Mataifa la kuitaka ifutilie mbali vikwazo dhidi ya Ansarullah
Jan 15, 2021 09:22Ikiwa ni katika juhudi zake za kuunga mkono muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen, Marekani imechukua hatua ya kuiwekea vikwazo harakati ya Ansarullah. Hatua hiyo ambayo imechukuliwa katika siku za mwisho za utawala wa Rais Trump huko White House imekabiliwa na radiamali kali ya Umoja wa Mataifa.
-
Ukwamishaji mpya wa Marekani dhidi ya juhudi za Iran za kupambana na virusi vya corona
Jan 14, 2021 23:05Baada ya kujitoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia mashuhuri kama JCPOA hapo mnamo Mei 2018, na katika fremu ya kile kinachotajwa kuwa 'mashinikizo ya juu kabisa', Marekani imekuwa ikitekeleza vikwazo vikali zaidi katika historia yake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na wala haijawahi kulegeza vikwazo hivyo vya kinyama hata katika kipindi hiki kigumu cha kuenea duniani virusi hatari vya corona.
-
Aswarullah: Muungano vamizi wa Yemen upate funzo kutokana na hali iliyomkumba Trump
Jan 14, 2021 04:28Msemaji wa harakati ya wananchi ya Answarullah ya nchini Yemen amesema kuwa, muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia unapaswa ujifunze kutokana na hali iliyo nayo hivi sasa serikali ya Donald Trump huko Marekani hasa kwa vile wavamizi hao wa Yemen waliitumainia sana serikali hiyo.
-
Mshauri wa Kiongozi Muadhamu: Marekani haiwezi kuihadaa Iran kwa pipi
Jan 13, 2021 23:38Mshauri wa ngazi ya juu wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani sharti iiondolee Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo vyote na kwamba Tehran haitakubali kitu kingine ghairi ya hicho.