• Russia yapuuzilia mbali bwabwaja mpya za Marekani dhidi ya Iran

    Russia yapuuzilia mbali bwabwaja mpya za Marekani dhidi ya Iran

    Jan 13, 2021 23:09

    Russia imekosoa vikali madai ya kipropaganda ya Marekani ya kujaribu kulifungamanisha kundi la kigaidi la al-Qaeda na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pasi na kutoa ushahidi wowote.

  • Hillary Clinton akiri kuwa utawala wa Saudia ndio uliomuua Jamal Khashoggi

    Hillary Clinton akiri kuwa utawala wa Saudia ndio uliomuua Jamal Khashoggi

    Jan 13, 2021 08:41

    Mgombea urais aliyeshindwa katika uchaguzi wa mwaka 2016 nchini Marekani amekiri kuwa utawala wa Saudi Arabia ndio uliomuua mwandishi wa habari Jamal Khashoggi aliyekuwa mkosoaji mkubwa wa utawala huo.

  • Iran yailaani Marekani kwa kuiweka Cuba katika orodha ya 'waungaji mkono ugaidi'

    Iran yailaani Marekani kwa kuiweka Cuba katika orodha ya 'waungaji mkono ugaidi'

    Jan 13, 2021 04:42

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya Marekani kuiweka Cuba katika orodha ya nchi ambazo eti zinaunga mkono ugaidi. Iran aidha imesema inafungamana na Cuba katika mapamano yake dhidi ya madola ya kibeberu duniani.

  • Waziri wa Ulinzi: Maadui wameshindwa kupigisha magoti Iran

    Waziri wa Ulinzi: Maadui wameshindwa kupigisha magoti Iran

    Jan 13, 2021 01:12

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Brigedia Jenerali Amiri Hatami amesisitiza kuwa, maadui walidhani wangeipigisha magoti Iran lakini wameshindwa kabisa kutokana na Wairani kusimama kidete dhidi yao na sasa ni Rais Trump wa Markeani na waitifaki wake ndio wanaochukiwa zaidi na watu duniani na watatupwa katika dampo la taka za historia.

  • Sana'a: Marekani ni kinara wa ugaidi wa kimataifa

    Sana'a: Marekani ni kinara wa ugaidi wa kimataifa

    Jan 12, 2021 09:43

    Msemaji wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa Marekani imetumia njia zote kwa ajili ya kuliangamiza taifa la Yemen na nchi hiyo ndio kinara wa ugaidi duniani.

  • Mgogoro wa usalama nchini Marekani

    Mgogoro wa usalama nchini Marekani

    Jan 12, 2021 09:00

    Uvamizi uliofanywa na wafuasi wa Donald Trump dhidi ya jingo la Kongresi ya Marekani Januari sita mwezi huu na tishio la kuendelea vitendo kama hivi vya utumiaji mabavu sambamba na kujiuzulu maafisa wa usalama wa nchi hiyo, ni mambo ambayo yameifanya Marekani ikabiliwe na mgogoro wa usalama wakati huu wa kukaribia hafla ya kuapishwa rais mteule wa nchi hiyo Joe Biden.

  • Machafuko kushuhudiwa katika majimbo 50 ya Marekani kabla ya kuapishwa Biden

    Machafuko kushuhudiwa katika majimbo 50 ya Marekani kabla ya kuapishwa Biden

    Jan 12, 2021 04:29

    Jarida linalochapishwa na Shirika la upelelezi la Marekani (FBI) limetahadharisha kuwa, magenge ya uhalifu yaliyojizatiti kwa silaha yanajiandaa kuibua ghasia na machafuko katika majimbo 50 ya nchi hiyo, kuelekea siku ya kuapishwa Rais mteule wa nchi hiyo Joe Biden, Januari 20.

  • Russia yajibu madai ya Pompeo dhidi ya Iran, yasema Iran ni muathirika wa silaha za kemikali

    Russia yajibu madai ya Pompeo dhidi ya Iran, yasema Iran ni muathirika wa silaha za kemikali

    Jan 12, 2021 01:44

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Mashirika ya Kimataifa mjini Vienna, Mikhail Ulyanov amekanusha madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo kuwa eti Iran imetumia silaha za kemikali na kusema kuwa, Iran yenyewe ni muathiriak wa silaha hizo.

  • Ujumbe na malengo ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Falih al-Fayadh

    Ujumbe na malengo ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Falih al-Fayadh

    Jan 11, 2021 23:02

    Wizara ya Fedha ya Marekani, siku ya Ijumaa iliweka jina la Falih al-Fayadh, Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya al-Hashd al-Shaabi ya nchini Iraq katika orodha yake ya vikwazo kwa kisingizio cha kukiuka haki za binadamu. Hatua hiyo ya Marekani ina ujumbe muhimu kwa mitazamo kadhaa.

  • Kuanza mwenendo wa kusailiwa Trump

    Kuanza mwenendo wa kusailiwa Trump

    Jan 11, 2021 09:41

    Hujuma ya tarehe 6 mwezi huu ya wakereketwa na wafuasi sugu wa Rais Donald Trump katika Congress ya Marekani imezua radiamali kali katika nchi hiyo na sasa Wamarekani wanataka rais huyo achukuliwe hatua za kisheria, na tayari Wademokrat wameanzisha mwenendo wa kusailiwa kwake bungeni.