-
Tishio la kijeshi; kuendelea hatua zilizogonga mwamba za Marekani dhidi ya Venezuela
Feb 26, 2019 23:13Sambamba na kuongezeka harakati za kijeshi za Marekani dhidi ya Venezuela, Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo ameituhumu Washington kwamba, inafanya njama za kuzusha mgogoro kwa shabaha ya kuanzisha vita katika eneo la Amerika ya Latini.
-
Ansarullah: Watoto na wanawake wa Yemen wanauawa kwa silaha za Marekani
Feb 26, 2019 04:31Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema wanawake na watoto wa nchi hiyo maskini ya Kiarabu wanauawa kikatili kwa silaha zilizoundwa na Marekani na Wamagharibi katika hujuma zinazoongozwa na Saudi Arabia na waitifaki wake.
-
Shambulizi la anga la Marekani ladaiwa kuua 'magaidi' 35 Somalia
Feb 26, 2019 04:13Kamandi ya Jeshi la Marekani barani Afrika (AFRICOM) imedai kuwa mashambulizi ya anga ya wanajeshi wake yamefanikiwa kuangamiza wanachama 35 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab nchini Somalia.
-
Marekani yadai siku za Maduro kuwa madarakani Venezuela zinahesabika
Feb 25, 2019 00:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameonya kuwa, Washington itaendelea kuisakama na kuishinikiza serikali ya Venezuela hadi ifahamu kuwa siku zake za kutawala zinahesabika.
-
Mbunge wa Democrats: Trump ndiye tishio kuu kwa demokrasia ya Marekani
Feb 25, 2019 00:49Mwakilishi wa chama cha upinzani cha Democrats amesema Rais Donald Trump ndiye tishio nambari moja kwa demokrasia ya Marekani.
-
Hatua mpya ya Marekani kwa ajili ya kushadidisha mashinikizo dhidi ya China
Feb 25, 2019 00:48Baada ya kuingia madarakani Rais Donald Trumpa huko Marekani mwezi Januari 2017, alianza kufuata siasa kali na za uhasama dhidi ya China sambamba na kuiwekea serikali ya Beijing mashinikizo tofauti.
-
Maduro: Wananchi wa Venezuela watasimama imara kupambana na madola ya kibeberu
Feb 23, 2019 13:01Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema kuwa serikali ya Caracas kwa ushirikiano na wananchi wa nchi hiyo watasimama kidete kupambana na madola ya kibeberu na hawatorudi nyuma katika suala hilo.
-
Onyo kali na lisilo la kawaida la Rais wa Russia kwa Marekani
Feb 21, 2019 07:46Uhusiano wa Russa na Marekani umekuwa ukizorota kila siku tokea alipoingia madarakani Rais Donald Trump mnamo Januari 2017.
-
Trump: Mkutano wangu ujao na Kim Jong-un Vietnam, hautakuwa wa mwisho
Feb 21, 2019 04:14Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa, mkutano ujao kati yake na Kim Jong-un wa Korea Kaskazini mjini Hanoi, mji mkuu wa Vietnam, hautakuwa wa mwisho.
-
Jeshi la Venezuela lachukua hatua kali za kuzima njama chafu za Marekani
Feb 21, 2019 01:15Jeshi la Venezuela limechukua hatua madhubuti kwa ajili ya kuzima njama chafu za Marekani dhidi ya nchi hiyo.