Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Pendekezo la Rais Maduro la kufanyika uchaguzi wa kabla ya wakati nchini Venezuela

    Pendekezo la Rais Maduro la kufanyika uchaguzi wa kabla ya wakati nchini Venezuela

    Feb 04, 2019 04:13

    Venezuela ambayo ni nchi ya Latin America kwa miaka kadhaa sasa imekuwa ikikabiliwa na machafuko kutokana na kupungua bei ya nishati ya mafuta katika soko la dunia.

  • Mtandao wa Kijasusi wa utawala  wa Kizayuni wakiri kuhusu uwezo wa kijeshi wa Iran

    Mtandao wa Kijasusi wa utawala wa Kizayuni wakiri kuhusu uwezo wa kijeshi wa Iran

    Feb 03, 2019 21:35

    Mtandao mmoja wa kijasusi wa utawala wa Kizayuni wa Isarel umeashiria kuzinduliwa kombora jipya la Iran na kukiri kuwa: "Kwa mtazamo wa kijeshi, Iran sasa inaishinda Israel na Marekani."

  • Kujibu mapigo Russia; amri ya Putin ya kusimamishwa utekelezaji wa mkataba wa silaha za nyuklia wa INF

    Kujibu mapigo Russia; amri ya Putin ya kusimamishwa utekelezaji wa mkataba wa silaha za nyuklia wa INF

    Feb 03, 2019 04:23

    Tarehe 20 Oktoba 2018, katika mwendelezo wa sera zake kuu za kujitoa kwenye mikataba na makubaliano ya kimataifa, Rais Donald Trump wa Marekani alitangaza kuwa nchi yake itajiondoa pia kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati, kwa kifupi INF.

  • Utafiti: Akthari ya Wamarekani wanasema nchi inaelekea pabaya

    Utafiti: Akthari ya Wamarekani wanasema nchi inaelekea pabaya

    Feb 02, 2019 21:57

    Utafiti mpya wa maoni unaonesha kuwa aghalabu ya wananchi wa Marekani wanahisi kuwa nchi yao iko katika mkondo mbaya, huku wengi wao wakikata tamaa.

  • Hashdu sh-Sha'abi yawapiga marufuku askari wa Marekani kufanya doria Mosul, Iraq

    Hashdu sh-Sha'abi yawapiga marufuku askari wa Marekani kufanya doria Mosul, Iraq

    Feb 02, 2019 04:42

    Naibu Kamanda wa Operesheni wa Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi katika mkoa wa nchini Iraq Nineveh (Nainawa), kaskazini mwa Iraq amesema kuwa, askari wa harakati hiyo wamewazuia askari wa Marekani kufanya doria mjini Mosul, ambao ni makao makuu ya mkoa huo.

  • Kukwama mazungumzo ya kibiashara baina ya Marekani na China

    Kukwama mazungumzo ya kibiashara baina ya Marekani na China

    Feb 02, 2019 03:52

    Rais wa Marekani, Donald Trump ameendeleza siasa zake za kujikumbizia kila kitu upande wake kwa madai ya kulinda uchumi wa Marekani na kwa mara nyingine ametishia kuziwekea ushuru mpya bidhaa za China zinazoingia nchini humo licha ya kwamba Beijing ni mshirika mkubwa wa kibiashara wa Washington.

  • Zarif: Mapatano yoyote na Marekani hayana thamani ya hata ya wino juu ya karatasi

    Zarif: Mapatano yoyote na Marekani hayana thamani ya hata ya wino juu ya karatasi

    Feb 01, 2019 23:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uamuzi wa Marekani wa kujitoa kwa muda katika Mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF) kati yake na Russia unafikisha ujumbe kwamba mkataba wowote ule na serikali ya Marekani hata uliopasishwa na Congress, hauna thamani ya hata ya wino juu ya karatasi.

  • Marekani yajiondoa rasmi 'kwa muda' katika mkataba wa INF

    Marekani yajiondoa rasmi 'kwa muda' katika mkataba wa INF

    Feb 01, 2019 10:45

    Serikali ya Marekani imetangaza rasmi kusimamisha kwa muda utekelezaji wa mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF).

  • Marekani yashindwa kuzuia uteuzi wa Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN

    Marekani yashindwa kuzuia uteuzi wa Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN

    Jan 31, 2019 22:51

    Jarida la Marekani la Foreign Policy limefichua kwamba, kabla ya kuteuliwa Michelle Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Marekani ilifanya jitihada kubwa za kuzuia uteuzi huo lakini jitihada hizo zimeambulia patupu.

  • Onyo la Russia kuhusu kuingilia kijeshi Marekani mgogoro wa Venezuela

    Onyo la Russia kuhusu kuingilia kijeshi Marekani mgogoro wa Venezuela

    Jan 30, 2019 09:24

    Matukio ya kisiasa yaliyojiri karibuni katika nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta ya Venezuela na makabiliano yanayozidi kupamba moto baina ya wapinzani na serikali ya mrengo wa kushoto ya nchi hiyo yameingia kwenye awamu nyeti na hasasi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS