Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Utafiti: Marekani na Israel ndio tishio kuu kwa Waarabu

    Utafiti: Marekani na Israel ndio tishio kuu kwa Waarabu

    Jul 13, 2018 03:11

    Utafiti mpya wa maoni unaonesha kuwa, zaidi ya asilimia 75 ya Waarabu wanaitazama Marekani na utawala haramu wa Israel kama tishio kuu kwa usalama wa mataifa yao.

  • Mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Syria yaua 30 mjini Bukamal

    Mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Syria yaua 30 mjini Bukamal

    Jul 13, 2018 03:07

    Kwa akali raia 30 wameuawa katika mashambulizi ya anga ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani katika mji wa Bukamal, mkoa wa Dayr al-Zawr mashariki mwa Syria.

  • Jukumu la balozi za Marekani duniani ni ujasusi na kupanga njama za kupindua serikali

    Jukumu la balozi za Marekani duniani ni ujasusi na kupanga njama za kupindua serikali

    Jul 12, 2018 23:42

    Tukiangazia historia ya nchi mbali mbali duniani tunabaini kuwa, balozi za Marekani badala ya kujihusisha na masuala ya udiplomasia pamoja na uhusiano mwema, zinahusika zaidi na masuala ya ujasusi, mapinduzi ya serikali halali na njama zinginezo haribifu kote duniani.

  • Trump aibua mifarakano katika muungano wa kijeshi wa NATO

    Trump aibua mifarakano katika muungano wa kijeshi wa NATO

    Jul 12, 2018 05:03

    Siku ya kwanza ya kikao cha viongozi wa muungano wa kijeshi wa nchi za Magharibi, NATO, imemalizika huku mkutano huo ukishuhudia mashambulizi makali ya maneno ambayo hayajawahi kushuhudiwa ya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Ujerumani, moja kati ya nchi muhimu zaidi katika muungano huo wa NATO.

  • Sababu za njama za Magharibi za kutaka kuvunjwa kikosi cha al Hashdu- Sha'abi nchini Iraq

    Sababu za njama za Magharibi za kutaka kuvunjwa kikosi cha al Hashdu- Sha'abi nchini Iraq

    Jul 11, 2018 23:37

    Laith al Adhari mmoja wa wanachama wa ngazi za juu wa harakati ya kisiasa ya Asaib Ahl al Haq ya Iraq amesema kuwa Marekani inafanya jitihada za kukivunja kikosi cha kujitolea cha wananchi cha Hashdu- Sha'abi na kuitaja hatua hiyo kuwa ni uingiliaji wa wazi wa Washington katika masuala ya ndani ya Iraq.

  • Dakta Kharrazi: Vitendo vya kibabe vya Marekani vimesababisha ukosefu wa usalama Mashariki ya Kati

    Dakta Kharrazi: Vitendo vya kibabe vya Marekani vimesababisha ukosefu wa usalama Mashariki ya Kati

    Jul 11, 2018 03:43

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Iran amesema kuwa, uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya ndani ya nchi nyingine na miamala ya kibabe ya Marekani na utawala haramu wa Israel kuhusiana na Wapalestina ni mambo muhimu ambayo yamechangia mno kukosekana amani na uthabiti katika eneo la magharibi mwa Asia (Mashariki ya Kati)

  • Uswizi yaishtaki Marekani WTO kutokana na ushuru wa forodha

    Uswizi yaishtaki Marekani WTO kutokana na ushuru wa forodha

    Jul 10, 2018 23:39

    Uswizi imewasilisha lalamiko rasmi katika Shirika la Biashara Duniani WTO dhidi ya hatua ya Marekani ya kutoza kiwango kikubwa kupita kiasi cha ushuru wa forodha kwa bidhaa za chuma na bati kutoka barani Ulaya.

  • Wizara ya Fedha ya Marekani imegeuka kuwa kitovu cha vita vya kiuchumi dhidi ya Iran

    Wizara ya Fedha ya Marekani imegeuka kuwa kitovu cha vita vya kiuchumi dhidi ya Iran

    Jul 10, 2018 09:12

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Wizara ya Fedha ya Marekani imegeuka na kuwa kitovu cha vita vya kiuchumi dhidi ya Iran."

  • Russia: Nchi za Ulaya kufanya biashara na Iran bila kutumia dola za Marekani

    Russia: Nchi za Ulaya kufanya biashara na Iran bila kutumia dola za Marekani

    Jul 10, 2018 02:49

    Waziri wa Mambo wa Nje wa Russia, Sergei Lavrov amesema nchi tatu kubwa za Umoja wa Ulaya na ambazo zilisaini makubaliano ya nyuklia ya JCPOA zimeafikiana kuzindua uhusiano wa kibiashara na Iran pasina kutegemea matumizi ya dola za Marekani.

  • Rais Kabila wa Kongo akataa kuonana na balozi wa Marekani

    Rais Kabila wa Kongo akataa kuonana na balozi wa Marekani

    Jul 10, 2018 02:46

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema hatakutana wala kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa, Nikki Haley, ambaye anatazamiwa kuitembelea nchi hiyo ya Kiafrika wiki hii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS