Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kuongezeka ukosolewaji wa siasa za Trump kuhusiana na suala la Korea Kaskazini

    Kuongezeka ukosolewaji wa siasa za Trump kuhusiana na suala la Korea Kaskazini

    Jul 09, 2018 21:53

    Sambamba na kuanza tena vita vya maneno kati ya Marekani na Korea Kaskazini, ukosolewaji wa siasa za Rais Donald Trump kuhusiana na jinsi amekuwa akiamiliana na Korea Kaskizini umekuwa ukiongezeka.

  • Ukosoaji wa kamisheni ya haki za binaadamu ya nchini Afghanistan kwa Marekani

    Ukosoaji wa kamisheni ya haki za binaadamu ya nchini Afghanistan kwa Marekani

    Jul 08, 2018 07:46

    Kamisheni ya haki za binaadamu ya Afghanistan imekosoa vikali mwenendo wa kuteswa na askari wa Marekani wafungwa wa nchi hiyo wanaoshikiliwa katika jela ya Guantanamo nchini Cuba.

  • Iran yamlaani Trump kwa amri yake yenye kuitusi OPEC

    Iran yamlaani Trump kwa amri yake yenye kuitusi OPEC

    Jul 07, 2018 09:04

    Iran imesema Rais Donald Trump wa Marekani ameitusi Jumuiya ya Nchi Zinazouza Mafuta ya Petroli kwa Wingi Duniani OPEC, kwa kuiamuru iongeze uzalishaji na ipunguze bei.

  • Italia kutonunua tena ndege za kivita za F-35 kutoka Marekani

    Italia kutonunua tena ndege za kivita za F-35 kutoka Marekani

    Jul 07, 2018 03:31

    Katika kile kinachoonekana ni mgogoro katika uhusiano wa kijeshi wa Rome na Washington, Wizara ya Ulinzi ya Italia imesema haitanunua tena ndege za kivita aina ya F-35 za Marekani.

  • Jeshi la Syria lakomboa vijiji zaidi vilivyokuwa vimetekwa na magaidi wa ISIS mkoani Daraa

    Jeshi la Syria lakomboa vijiji zaidi vilivyokuwa vimetekwa na magaidi wa ISIS mkoani Daraa

    Jul 06, 2018 22:50

    Jeshi la Syria limewatimua magaidi na kukomboa kikamilifu vijiji kadhaa katika mkoa wa kusini magharibi wa Daraa karibu na mpaka wa Jordan kwa lengo la kufungua kituo cha kistratijia cha Nasib.

  • Kutuhumiwa ubalozi wa Marekani mjini Kabul, katika kueneza silaha haramu

    Kutuhumiwa ubalozi wa Marekani mjini Kabul, katika kueneza silaha haramu

    Jul 05, 2018 22:02

    Kamanda wa Usalama mjini Kabul, mji mkuu wa Afghanistan, ameutuhumu ubalozi wa Marekani nchini humo kwamba unahusika katika kueneza silaha zilizopigwa marufuku.

  • Rais Rouhani: JCPOA ni makubaliano muhimu mno kwa Iran, Umoja wa Ulaya na ulimwengu

    Rais Rouhani: JCPOA ni makubaliano muhimu mno kwa Iran, Umoja wa Ulaya na ulimwengu

    Jul 04, 2018 09:21

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni makubaliano muhimu mno kwa Iran, Umoja wa Ulaya na ulimwengu kwa ujumla.

  • Sisitizo jipya la Umoja wa Ulaya juu ya kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Sisitizo jipya la Umoja wa Ulaya juu ya kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Jul 04, 2018 02:53

    Maya Kuchiánchik, Msemaji wa Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesisitizia azma ya Brussels kwa ajili ya kutekeleza kikamilifu na kwa namna chanya, makubaliano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Zaidi ya nchi 40 za dunia zapinga siasa za kibiashara za Trump

    Zaidi ya nchi 40 za dunia zapinga siasa za kibiashara za Trump

    Jul 03, 2018 23:45

    Wawakilishi wa zaidi ya nchi 40 za dunia, walioshiriki kikao cha Baraza la Bidhaa la Shirika la Biashara Duniani WTO huko Geneva Uswisi, wamepinga mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kupandisha ushuru wa magari na vipuri vyake.

  • China yawaonya raia wake dhidi ya kwenda Marekani, kisa usalama

    China yawaonya raia wake dhidi ya kwenda Marekani, kisa usalama

    Jul 03, 2018 11:03

    China imetoa tahadhari mpya kwa raia wake waliosafiri au wanaotaka kusafiri kwenda Marekani ikisema kuwa hakuna usalama wa umma nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS