-
Uingereza yakataa kushirikiana na Marekani katika mashambulizi dhidi ya Syria
Apr 11, 2018 09:17Gazeti moja la Uingereza limefichua kwamba, Waziri Mkuu wa nchi hiyo amekataa ombi la Rais wa Marekani la kushiriki katika mashambulizi dhidi ya Syria.
-
Seneta Marekani akosolewa kwa kudhalilisha Kiswahili wakati wa kumsaili mkuu wa Facebook
Apr 11, 2018 03:16Seneta mmoja nchini Marekani amekosolewa na watumizi wa mitandao ya kijamii kutokana na hatua yake ya kuonekana kuikejeli na kuidhalilisha lugha ya Kishwaili.
-
Marekani yaiuzia Qatar makombora 5000 huku mgogoro na Saudia ukitokota
Apr 11, 2018 00:05Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangza idhini ya kuiuzia Qatar makombora 5000 yenye thamani ya dola milioni 300 huku mgogoro baina ya nchi hiyo ndogo na Saudia ukizidi kutokota.
-
Saeb Erekat: Marekani inaongoza vita vya kisaikolojia dhidi ya raia wa Palestina
Apr 07, 2018 11:25Mamlaka ya ndani ya Palestina imeikosoa Marekani kwa kuzuia kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusiana na jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Ghaza na ametaka kufanyika uchunguzi huo haraka iwezekanavyo.
-
Ripoti: Waislamu nchini Marekani wanafungwa vifungo virefu kuliko wengine
Apr 06, 2018 23:22Utafiti mpya umebainisha kuwa, watuhumiwa wa uhalifu Waislamu au wenye majina ya Kiislamu nchini Marekani wanahukumiwa vifungo virefu zaidi na habari hizo kuvaliwa njuga na vyombo vya habari, kuliko watuhumiwa wasiokuwa Waislamu.
-
Rais wa Ghana: Hatutairuhusu Marekani ijenge kituo cha kijeshi nchini
Apr 06, 2018 23:22Rais Nana Akufo-Addo wa Ghana amesema nchi hiyo katu haitasaini mkataba na Marekani wa kuiruhusu Washington ijenge kituo cha kijeshi katika nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Marekani yawataka Wapalestina wasisogelee maeneo yanayokaliwa kwa mabavu
Apr 06, 2018 03:27Mjumbe Maalumu wa Marekani katika Masuala ya Mashariki ya Kati amewataka wafanya maaadamano wa Palestina wasisogelee mpaka wa Ukanda wa Ghaza na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Iran: Tutatoa jibu kali iwapo Marekani itakiuka makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Apr 05, 2018 23:18Mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran amezitahadharisha nchi zinazotaka kuvuruga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kati ya Iran na nchi 6 wanachama wa kundi la 5+1 na kusisitiza kuwa, Tehran itatoa jibu kali kwa hatua kama hiyo.
-
Raia wa Afghanistan waandamana kulaani mauaji ya Marekani dhidi yao
Apr 05, 2018 02:53Raia wa mji wa Kunduz, kaskazini mwa Afghanistan wamefanya maandamano makubwa kulaani jinai za kila mara zinazofanywa na ndege za kijeshi za askari wa kigeni wakiongozwa na Marekani, katika maeneo tofauti ya nchi yao.
-
Zarif: Saudia inaendelea 'kukamwa' kwa kutoleshwa fidia na Trump
Apr 04, 2018 22:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Mtindo wa rais wa Marekani wa 'kuikama' Saudi Arabia unaendelezwa bila kusita.