-
Weledi wa kisiasa: Huwenda Rais Trump akakumbwa na hatma ya Richard Nixon
Apr 02, 2018 10:30Kuendelea kufichuliwa kashfa mbalimbali zinazomuhusu rais wa Marekani, Donald Trump kumetajwa na weledi wa masuala ya kisiasa nchini humo kuwa kutapelekea rais huyo kujiuzulu kabla ya kumaliza muda wake.
-
Iran: Marekani ni mtuhumiwa nambari moja wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina
Apr 01, 2018 12:46Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Bunge la Iran amelaani vikali jinai ya Wazayuni ya kuua raia wa Palestina katika maandamano ya amani yaliyofanyika Ukanda wa Gaza katika Siku ya Ardhi na kusisitiza kuwa, Marekani ndio mtuhumiwa nambari moja wa jinai hizo zilizofanywa na askari wa Israel.
-
White House yahamakishwa na hatua ya Russia kutimua wanadiplomasia 60 wa US
Mar 30, 2018 10:34Ikulu ya Marekani ya White House imeeleza kughadhibishwa kwake na hatua ya Russia kuwafukuza nchini humo makumi ya wanadiplomasia wa Marekani sambamba na kuagiza kufungwa ofisi ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo.
-
Zarif: Ushiriki mkubwa wa Marekani katika maafa ya Yemen hautasawariki
Mar 29, 2018 23:34Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekosoa nafasi kubwa ya Marekani katika vita na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya watu wa Yemen na kusisitiza kuwa, ushiriki mkubwa wa Washington katika maafa makubwa zaidi ya binadamu duniani hautasawariki.
-
Pakistan yaionya Marekani kwa kuyawekea vikwazo mashirika yake saba ya nyuklia
Mar 27, 2018 22:08Serikali ya Pakistan imetoa radiamali ya onyo kwa Marekani kufuatia hatua ya Washington ya kuyawekea vikwazo mashirika saba ya nchi hiyo kwa kujihusisha na shughuli za nyuklia.
-
Kukiri Saudi Arabia nafasi ya Marekani katika kuenea Uwahabi
Mar 27, 2018 22:03Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia amekiri katika mahojiano aliyofanyiwa na gazeti la Washington Post kwamba, nchi yake imejikita zaidi katika kueneza Uwahabi ulimwenguni kwa takwa la Marekani na kwa ajili ya kukabiliana na kambi ya Mashariki katika kipindi cha Vita Laini vya 1947-1991.
-
Marekani yamzuia rais wa zamani wa Somalia kuingia nchini humo
Mar 27, 2018 03:13Aliyekuwa rais wa Somalia amenyimwa viza ya kuingia nchini Marekani, chini ya dikrii iliyopasishwa na Rais Donald Trump ya kuzuia watu na wahajiri kutoka nchi za Kiislamu kuingia nchini humo.
-
USCIRF yaikosoa serikali ya Marekani kwa kufumbia jicho vitabu vya masomo Saudia
Mar 26, 2018 21:59Kamisheni ya Marekani inayofuatilia uhuru wa kidini kimataifa (USCIRF) imeikosoa serikali ya nchi hiyo kwa kufumbia jicho suala la marekebisho ya vitabu vinavyotumiwa katika shule za Saudi Arabia ambavyo vinaeneza misimamo ya kufuru mipaka na itikadi za kuwakufurisha Waislamu wengine.
-
Wasi wasi wa Wamarekani kuhusiana na vita vya kibiashara kati ya nchi yao na China
Mar 26, 2018 00:10Suala la Rais Donald Trump wa Marekani kutia saini dikrii ya kupandishwa ushuru wa forodha wa biadhaa za China, limeibua tofauti kubwa za kibiashara kati ya Marekani na China.
-
Ung'ang'anizi wa Marekani wa kuendelea kuweko wanajeshi wake nchini Iraq
Mar 24, 2018 21:49Msemaji wa komandi ya operesheni za kijeshi ya Marekani huko magharibi mwa Iraq amedai kuwa bado kuna udharura wa kuweko wanajeshi wa nchi hiyo katika eneo hilo.