-
Korea Kaskazini: Mkataba wa kijeshi wa Marekani na Korea Kusini, ni njama dhidi ya Pyongyang
Oct 03, 2017 01:32Serikali ya Korea Kaskazini imeutaja mkataba wa kijeshi kati ya Marekani na Korea Kusini kuwa ni njama ya kutaka kuishambulia nchi hiyo.
-
Ripoti: Marekani ina mkono katika ujenzi wa vitongozji vya walowezi wa Kizayuni Palestina
Oct 03, 2017 00:32Imeelezwa kuwa, ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na wazayuni maghasibu umekuwa ukifanyika kwa uratibu na Marekani.
-
Watu 58 wauawa katika hujuma ya kigaidi Las Vegas, Marekani
Oct 02, 2017 10:55Watu 58 wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi iliyotekelezwa katika mji wa Las Vegas nchini Marekani ambayo imetajwa kuwa tukio mbaya zaidi la ufyatuaji risasi kiholela nchini humo.
-
Watu kadhaa wauawa, kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi Las Vegas, Marekani
Oct 02, 2017 04:41Watu kadhaa wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi uliotokeo katika mji wa Las Vegas nchini Marekani.
-
Vikosi vya Yemen vyatungua 'drone' ya Marekani
Oct 01, 2017 11:47Vikosi vya Yemen vikishirikiana na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah vimefanikiwa kutungua ndege isiyo na rubani ya Marekani iliyokuwa inapita katika anga ya mji mkuu Sana'a.
-
Marekani yakiri kuua makumi ya raia wa Syria na Iraq mwezi jana
Sep 30, 2017 04:44Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani umekiri kuwa mashambulizi yake ya anga yameua raia wasiopungua 50 katika nchi za Iraq na Syria mwezi uliopita pekee wa Agosti.
-
Mashirika ya kutetea haki za binadamu Marekani yampeleka Trump kotini
Sep 30, 2017 04:40Mashirika ya kutetea haki za binadamu katika jimbo la Maryland nchini Marekani yameenda mahakamani kuushtaki utawala wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo juu ya marufuku mpya iliyo dhidi ya wahajiri.
-
Kashfa ya ufisadi yamlazimu Waziri wa Afya Marekani ajiuzuluu kutoka serikali ya Trump
Sep 30, 2017 01:18Waziri wa Afya na Huduma za Binaadamu nchini Marekani, Tom Price amelazimika kujiuzulu kutokana na kashfa ya ufisadi inayomkabili.
-
Kuitumia vibaya IAEA, mkakati mpya wa Marekani wa kuvuruga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Sep 29, 2017 10:05Hatua za Marekani za kuushinikiza Wakala wa Kimataifa wa Nishati wa Atomiki IAEA kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA zimechukua mkondo mpya hivi sasa.
-
Matamshi ya uongo ya balozi wa Marekani Israel yawakasirisha Wapalestina
Sep 29, 2017 04:08Balozi wa Marekani Israel amewakasirisha Wapalestina baada ya kudai kwamba utawala huo haramu wa Kizayuni umevamia na kukalia kwa mabavu asilimia mbili tu ya ardhi za Palestina katika Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.