Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Syria yalaani hatua ya Marekani kutuma askari zaidi nchini humo

    Syria yalaani hatua ya Marekani kutuma askari zaidi nchini humo

    Apr 28, 2016 23:38

    Serikali ya Syria imekosoa vikali hatua ya Marekani kutuma askari zaidi nchini humo na kutaja hatua hiyo kama uvamizi dhidi ya uhuru wa kujitawala wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Mtoto wa miaka miwili amuua mama yake kwa kumpiga risasi Marekani

    Mtoto wa miaka miwili amuua mama yake kwa kumpiga risasi Marekani

    Apr 28, 2016 10:47

    Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka miwili amemuua mama yake kwa kumpiga risasi katika mkasa uliotokea kwenye mji wa Milwaukee katika jimbo la Wisconsin nchini Marekani.

  • Marekani imepora dola bilioni 2 za Iran: Zarif

    Marekani imepora dola bilioni 2 za Iran: Zarif

    Apr 26, 2016 09:56

    Hatua ya mahakama moja ya Marekani kutoa hukumu ya kuchukua udhibiti wa dola bilioni mbili za Iran zinazozuiliwa nchini humo ni sawa na uharamia.

  • Obama kutuma askari zaidi nchini Syria eti kupambana na ugaidi

    Obama kutuma askari zaidi nchini Syria eti kupambana na ugaidi

    Apr 26, 2016 03:51

    Rais Barack Obama wa Marekani ametangaza kuwa serikali ya Washington karibuni hivi itatuma askari 250 wa nchi kavu kwenda Syria kwa kisingizio cha kupambana na makundi ya kigaidi.

  • Maadhimisho ya kufeli Marekani jangwani Tabas, Iran

    Maadhimisho ya kufeli Marekani jangwani Tabas, Iran

    Apr 24, 2016 10:27

    Leo kumefanyika maadhimisho ya kukumbuka kushindwa vibaya jeshi la Marekani katika jangwa la Tabas, mashariki mwa Iran.

  • Wasichana waliotekwa na Boko Haram, kisingizio cha propaganda za Marekani

    Wasichana waliotekwa na Boko Haram, kisingizio cha propaganda za Marekani

    Apr 22, 2016 23:49

    Mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kufuatiliwa hatima ya wasichana waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram nchini Nigeria.

  • Kushtadi lawama na ukosoaji kwa uhusiano wa Marekani na Saudia

    Kushtadi lawama na ukosoaji kwa uhusiano wa Marekani na Saudia

    Apr 20, 2016 03:22

    Rais Barack Obama wa Marekani anaelekea Saudi Arabia leo kwa lengo la kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo huku lawama na ukosoaji ukiwa umeshtadi kwa uhusiano baina ya Washington na Riyadh.

  • Saudia yahusishwa na hujuma za 9/11, Obama aitetea

    Saudia yahusishwa na hujuma za 9/11, Obama aitetea

    Apr 19, 2016 22:19

    Saudi Arabia imehusishwa na hujuma za kigaidi za Septemba 2001 nchini Marekani lakini pamoja na hayo Rais Barack Obama wa nchi hiyo amelaani mswada wa sharia unaotaka watawala wa Saudia wawajibishwe.

  • Wito wa kukabiliana na propaganda chafu dhidi ya Uislamu Marekani

    Wito wa kukabiliana na propaganda chafu dhidi ya Uislamu Marekani

    Apr 19, 2016 12:04

    Kituo cha Kiislamu cha America Kaskazini kimetoa wito wa kukabiliana na wimbi la propaganda chafu dhidi ya Uislamu.

  • Wakristo Marekani wajifunza Uislamu makanisani

    Wakristo Marekani wajifunza Uislamu makanisani

    Apr 18, 2016 22:41

    Licha ya kuongezeka vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani, baadhi ya makanisa ya nchi hiyo yameamua kuitisha vikao mbalimbali vya kujifunza na kuutambua vizuri Uislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS