-
Syria yalaani hatua ya Marekani kutuma askari zaidi nchini humo
Apr 28, 2016 23:38Serikali ya Syria imekosoa vikali hatua ya Marekani kutuma askari zaidi nchini humo na kutaja hatua hiyo kama uvamizi dhidi ya uhuru wa kujitawala wa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Mtoto wa miaka miwili amuua mama yake kwa kumpiga risasi Marekani
Apr 28, 2016 10:47Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka miwili amemuua mama yake kwa kumpiga risasi katika mkasa uliotokea kwenye mji wa Milwaukee katika jimbo la Wisconsin nchini Marekani.
-
Marekani imepora dola bilioni 2 za Iran: Zarif
Apr 26, 2016 09:56Hatua ya mahakama moja ya Marekani kutoa hukumu ya kuchukua udhibiti wa dola bilioni mbili za Iran zinazozuiliwa nchini humo ni sawa na uharamia.
-
Obama kutuma askari zaidi nchini Syria eti kupambana na ugaidi
Apr 26, 2016 03:51Rais Barack Obama wa Marekani ametangaza kuwa serikali ya Washington karibuni hivi itatuma askari 250 wa nchi kavu kwenda Syria kwa kisingizio cha kupambana na makundi ya kigaidi.
-
Maadhimisho ya kufeli Marekani jangwani Tabas, Iran
Apr 24, 2016 10:27Leo kumefanyika maadhimisho ya kukumbuka kushindwa vibaya jeshi la Marekani katika jangwa la Tabas, mashariki mwa Iran.
-
Wasichana waliotekwa na Boko Haram, kisingizio cha propaganda za Marekani
Apr 22, 2016 23:49Mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kufuatiliwa hatima ya wasichana waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram nchini Nigeria.
-
Kushtadi lawama na ukosoaji kwa uhusiano wa Marekani na Saudia
Apr 20, 2016 03:22Rais Barack Obama wa Marekani anaelekea Saudi Arabia leo kwa lengo la kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo huku lawama na ukosoaji ukiwa umeshtadi kwa uhusiano baina ya Washington na Riyadh.
-
Saudia yahusishwa na hujuma za 9/11, Obama aitetea
Apr 19, 2016 22:19Saudi Arabia imehusishwa na hujuma za kigaidi za Septemba 2001 nchini Marekani lakini pamoja na hayo Rais Barack Obama wa nchi hiyo amelaani mswada wa sharia unaotaka watawala wa Saudia wawajibishwe.
-
Wito wa kukabiliana na propaganda chafu dhidi ya Uislamu Marekani
Apr 19, 2016 12:04Kituo cha Kiislamu cha America Kaskazini kimetoa wito wa kukabiliana na wimbi la propaganda chafu dhidi ya Uislamu.
-
Wakristo Marekani wajifunza Uislamu makanisani
Apr 18, 2016 22:41Licha ya kuongezeka vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani, baadhi ya makanisa ya nchi hiyo yameamua kuitisha vikao mbalimbali vya kujifunza na kuutambua vizuri Uislamu.