Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Mkuu wa vyombo vya Mahakama ajibu madai ya haki za binadamu ya Marekani

    Mkuu wa vyombo vya Mahakama ajibu madai ya haki za binadamu ya Marekani

    Apr 18, 2016 22:40

    Mkuu wa vyombo vya Mahakama nchini Ayatullah Sadeq Amoli Larijani amekosoa vikali ripoti ya kila mwaka ya haki za binadamu ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Uchunguzi: Wamarekani wengi hawaamini vyombo vya habari vya nchi hiyo

    Uchunguzi: Wamarekani wengi hawaamini vyombo vya habari vya nchi hiyo

    Apr 18, 2016 00:02

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa nchini Marekani umeonesha kuwa, idadi kubwa ya Wamarekani hawana imani na vyombo vya habari vya nchi hiyo kutokana na kutokuwa na mitizamo sahihi, upendeleo na kutokuwa na uadilifu.

  • UN yatiwa wasi wasi na matamshi ya chuki na ubaguzi katika kampeni za US

    UN yatiwa wasi wasi na matamshi ya chuki na ubaguzi katika kampeni za US

    Apr 16, 2016 02:55

    Umoja wa Mataifa umekosoa vikali matamshi ya chuki na kichochezi yanayotolewa na baadhi ya wagombea na hususan wa chama cha Republican katika kampeni za urais nchini Marekani.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani: Hakuna mpango wowote wa pili ghairi ya mazungumzo kwa ajili ya Syria

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani: Hakuna mpango wowote wa pili ghairi ya mazungumzo kwa ajili ya Syria

    Apr 14, 2016 23:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani Jared Caplan, amesema nchi hiyo haina mpango mwengine wowote wa pili kwa ajili ya kutatua mgogoro wa Syria na kwamba mpango uliopo ni mmoja tu ambao ni mazungumzo.

  • Upokonyaji silaha za nyuklia, takwa la kimataifa

    Upokonyaji silaha za nyuklia, takwa la kimataifa

    Apr 14, 2016 09:51

    Kupokonywa silaha za nyuklia Marekani na nchi nyingine zinazomiliki sialha hizo ni takwa na hitajio kuu la fikra za waliowengi ulimwenguni.

  • Marekani, nchi ambayo daima iko vitani

    Marekani, nchi ambayo daima iko vitani

    Apr 11, 2016 23:33

    Sera za kijeshi na za kupenda vita za Marekani zinakosolewa kote duniani na hivi sasa hata wakuu wa nchi hiyo wameanza kukosoa sera hizo.

  • Uvamizi wa Marekani Libya ni hatua iliyoyumbisha nchi hiyo ya Kiafrika

    Uvamizi wa Marekani Libya ni hatua iliyoyumbisha nchi hiyo ya Kiafrika

    Apr 11, 2016 23:27

    Serikali ya Russia imesema kuwa uvamizi wa kijeshi wa Marekani huko Libya ni hatua iliyovuruga uthabiti wa nchi hiyo.

  • Kiongozi Muadhamu: Marekani na madola yanayodai kupambana na ugaidi hayana nia safi na ya dhati katika hilo

    Kiongozi Muadhamu: Marekani na madola yanayodai kupambana na ugaidi hayana nia safi na ya dhati katika hilo

    Apr 11, 2016 13:03

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani na madola yanayodai kupambana na ugaidi hayana nia safi katika uwanja huo.

  • Velayati: Kerry hana hadhi ya kuzungumza kuhusu makombora ya Iran

    Velayati: Kerry hana hadhi ya kuzungumza kuhusu makombora ya Iran

    Apr 11, 2016 03:40

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani hana hadhi wala itibari ya kuzungumza chochote kuhusu uwezo wa kujihami wa Iran

  • US: Kerry hatawaomba msahamaha Wajapan kutokana na mauaji ya Hiroshima

    US: Kerry hatawaomba msahamaha Wajapan kutokana na mauaji ya Hiroshima

    Apr 11, 2016 02:53

    Marekani imesema Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo hataliomba msamaha taifa la Japan kutokana na mauaji ya maelfu ya watu wa Hiroshima yaliyofanywa na ndege za Marekani mwaka 1945.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS