-
Kukiri kushindwa sera za Biden mkabala wa vita vya Gaza
Jul 05, 2024 10:12Maafisa 12 wa serikali ya Marekani ambao wamejiuzulu nyadhifa zao wakipinga na kulalamikia vita dhidi ya Gaza wamesisitiza katika taarifa yao kuwa sera za Rais Joe Biden wa Marekan mkabala wa Gaza zimefeli, na kutahadharisha kuwa kufeli kisiasa Washington mkabala wa Gaza ni tishio kwa usalama wa taifa wa Marekani.
-
Vikwazo, dhulma na jinai: Mhimili wa haki za binadamu wa Marekani dhidi ya taifa la Iran
Jul 03, 2024 04:32Ali Bagheri Kani, Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema ukiukaji wa haki za watu wa Iran vikiwemo vikwazo vya kidhalimu dhidi yao, ndio msingi wa haki za binadamu wa Marekani.
-
Serikali ya Biden yakiri kudumisha siasa za vikwazo dhidi ya Iran
Jun 28, 2024 22:55Matthew Miller, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, alitangaza katika mkutano na waandishi wa habari siku ya Jumatano sambamba na siasa za undumakuwili za Washington kuhusu wananchi wa Iran, kwamba nchi hiyo ya imeweka vikwazo zaidi ya 600 dhidi ya serikali na mashirika ya Iran.
-
Qaani: Raisi, Abdollahian walithibitisha kuwa Iran inaweza kuikabili Marekani
Jun 27, 2024 23:52Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesifu na kupongeza sifa za kipekee walizojipambanua nazo Shahidi Rais Sayyid Ebrahim Rais na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian, kwa kuiunga mkono kambi ya muqawama na kukabiliana na ubeberu wa Marekani.
-
Afisa wa Marekani aliyejiuzulu: Wanajeshi wa Marekani wanashiriki katika vita vya Israel huko Gaza
Jun 26, 2024 23:29Afisa aliyejiuzulu kutoka Shirika la Ujasusi la Ulinzi la Marekani, Meja Harrison Mann, amesema kuwa vita vilivyoanzishwa na Israel katika Ukanda wa Gaza havingeweza kuendelea hadi leo bila msaada usio na kikomo wa Marekani, akisisitiza kwamba wanajeshi wa Marekani wanapigana katika kuilinda Israel.
-
Watu 6 wauawa katika ufyatuaji risasi Las Vegas, Marekani
Jun 26, 2024 03:42Takriban watu 6 wameuawa kwa kupigwa risasi huko Las Vegas, Nevada, huko Marekani akiwemo mshukiwa.
-
CAIR: Dunia ina wajibu wa kukomesha mauaji ya watoto Gaza
Jun 25, 2024 22:48Kundi la kutetea haki za Waislamu na kiraia nchini Marekani limeeleza kusitikishwa na hali mbaya ya watoto katika Ukanda wa Gaza, na kusisitiza kuwa jamii ya kimataifa na wajibu wa kusimamisha mauaji ya watoto Gaza.
-
Kushadidi mivutano ya kijeshi baina ya Russia na Marekani
Jun 23, 2024 23:59Mvutano wa kijeshi na kiusalama kati ya Russia na Marekani umeongezeka kutokana na hatua za kiuhasama za Washington dhidi ya Moscow, hasa baada ya Washington kuiruhusu Ukraine kushambulia ardhi ya Russia kwa kutumia silaha za Marekani.
-
Gharibabadi: Marekani si mkweli kwa wananchi wa Iran
Jun 23, 2024 23:08Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu la Iran amesema kuwa, Marekani si mkweli kwa wananchi wa Iran.
-
Russia: Wamagharibi karibuni watamtosa Rais Zelensky wa Ukraine
Jun 20, 2024 22:45Idara ya Intelijensia ya Nje ya Russia (SVR) imefichua kuwa, Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine ni mwanasiasa tegemezi kwa Magharibi, na kwamba karibuni hivi, Marekani pamoja na waitifaki wake 'watamtoa kafara' kiongozi huyo pasi na kujali kitu chochote.