-
Kugunduliwa makaburi ya halaiki ya watu weusi huko Florida Marekani, ukumbusho wa mateso ya kihistoria
Jan 24, 2024 09:55Ubaguzi wa rangi na unyanyasaji wa watu wasio wazungu, haswa watu weusi, huko Marekani ni wa siku nyingi kama historia ya nchi hiyo. Kuhusiana na jambo hilo, Jeshi la Wanahewa la Marekani limetangaza kugundua makaburi 121 ya watu weusi katika Kituo cha Jeshi la Anga cha MacDill huko Tampa.
-
Marekani: Israel imeshindwa kufikia lengo la vita, HAMAS ingali iko imara, ina silaha za kutosha
Jan 21, 2024 09:18Mashirika ya intelijensia ya Marekani yamesema, idadi ya vifo vya wapiganaji wa harakati ya HAMAS vilivyotokana na uvamizi unaoendelea wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza haifikii lengo la utawala huo la kulitokomeza kundi hilo la muqawama wa Palestina.
-
CNN: Marekani inatazamia kutuma Ukraine msaada mkubwa zaidi kabla ya 2025
Jan 20, 2024 23:09Televisheni ya CNN yenye makao yake nchini Marekani imeripoti kuwa Washington inatazamia kutuma msaada mubwa zaidi huko Ukraine kabla ya Januari mwaka 2025 na kukfanyika uchaguzi wa rais nchini humo.
-
Jeshi la Yemen lashambulia meli nyingine ya US Ghuba ya Aden
Jan 20, 2024 00:33Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo vimeshambulia meli nyingine ya Marekani iliyokuwa ikipita katika Ghuba ya Aden.
-
Iran yaikosoa US kwa kuiweka Ansarullah katika orodha ya 'ugaidi'
Jan 19, 2024 00:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali hatua ya Marekani ya kuiweka Harakati ya Ansarullah ya Yemen kwenye orodha ya kile inachokiita "makundi ya kigaidi" na kueleza kwamba, kitendo hicho ni katika mfululizo wa hatua za Washington za kuuunga mkono utawala wa kigaidi wa Israel.
-
Indhari ya Uhispania kuhusu matukio ya eneo na ya kimataifa ya vita vya Gaza
Jan 18, 2024 23:57Pedro Sánchez, Waziri Mkuu wa Uhispania ameonya kuwa, usalama na uthabiti wa eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) umekuwa hatarini na kwamba, mashambulizi haya yanahatarisha nidhamu na uratibu wa ushirikiano wa pande kadhaa.
-
Muqawama wa Iraq wapiga kambi ya kijeshi ya Marekani huko Syria
Jan 18, 2024 08:18Televisheni ya al Mayadeen imetangaza kuwa wanamuqawama wa Iraq wameishambulia kambi ya kijeshi ya Marekani ya hemo huko Syria kwa kutumia ndege zisizo na rubani.
-
Ansarullah ya Yemen: Ni fakhari kwetu kuitwa magaidi na utawala wa kigaidi wa Marekani kwa sababu ya Palestina
Jan 18, 2024 03:13Ofisi ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa mjibizo kwa hatua ya Marekani ya kuiweka harakati hiyo kwenye orodha ya kile inachokiita "makundi ya kigaidi" na kueleza kwamba hatua hiyo ya Washington haina thamani wala itibari yoyote.
-
Kuongezeka uwepo kijeshi wa Marekani huko Iraq na Syria
Jan 16, 2024 10:57Marekani ilituma wanajeshi huko Iraq mwaka 2003 wakati ilipoivamia na kuikalia kwa mabavu nchi hiyo mwaka 2003; na kuhusu Syria pia Marekani ilituma wanajeshi wake nchini humo mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Kitakfiri la Daesh (ISIS) katika fremu ya Muungano wa Kimataifa wa eti kukabiliana na ugaidi.
-
Kuongezeka hitilafu katika serikali ya Biden kuhusiana na vita vya Gaza
Jan 15, 2024 23:15Sambamba na uendelea vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu madhulumu wa Ukanda wa Gaza huko Palestina, kuzidi kuzorota hali ya mambo katika eneo la Magharibi mwa Asia na himaya ya wazi na ya siri ya Marekani kwa utawala huo ghasibu, ushahidi uliopo unaonyesha kuwa hali inazidi kuwa ngumu kwa Marekani siku baada ya siku kutokana na kuendelea kuunga mkono jinai za Israel, hasa mauaji ya halaiki ya Wapalestina.