-
Uchaguzi wa urais wa 2024 na kuongezeka hatari ya ugaidi ndani ya Marekani
Jan 01, 2024 23:18Jena Marie Griswold, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jimbo la Colorado nchini Marekani, amesema kuwa ametishiwa maisha mara kadhaa baada ya kuwasilisha malalamiko yaliyopelekea kuondolewa jina la Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais wa Marekani mwaka huu wa 2024 kwenye orodha ya wagombea katika jimbo hilo.
-
Seneta wa chama cha Democrate alaani hatua ya Joe Biden ya kutuma silaha Israel
Jan 01, 2024 02:46Seneta wa chama cha Democrate amelaani hatua ya Rais Joe Biden wa Marekani ya kuutumia silaha mpya utawala wa kibaguzi wa Israel.
-
Maandamano ya waungaji mkono wa Palestina mbele ya Jengo la Biashara la Kimataifa la Marekani
Dec 31, 2023 04:39Waungaji mkono wa wananchi madhulumu wa Palestina wamekusanyika mbele ya Jengo la Biashara la Kimataifa la Marekani wakipinga siasa za serikali ya Marekani za kutoa himaya kwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Hatua mpya ya serikali ya Biden ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni
Dec 30, 2023 07:42Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kupitia taarifa kuwa imetumia mamlaka iliyopewa kisheria kuuzia utawala wa haramu wa Israel shehena ya silaha bila idhini ya wabunge wa Kongresi ya nchi hiyo.
-
Ansarullah: Vikosi vya Yemen vina 'hamu' ya kukabiliana na US Bahari Nyekundu
Dec 30, 2023 06:55Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vipo tayari kuingia katika makabiliano ya kijeshi na Marekani iwapo hali ya taharuki itashtadi katika Bahari Nyekundu.
-
Umoja wa Mataifa: Marekani ni kizuizi cha amani katika Ukanda wa Gaza
Dec 30, 2023 04:38Mwakilishi wa Kamishna ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni huko Gaza hayawezi kuhalalishwa kwa njia yoyote ile na Marekani inazuia kupatikana amani katika eneo.
-
Uhispania yapinga kushiriki vikosi maalumu vya wanamaji vya Ulaya katika Muungano wa Baharini wa Marekani
Dec 28, 2023 23:00Pedro Sanchez Waziri Mkuu wa Uhispania amepinga uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuunga mkono Muungano wa Baharini wa Marekani katika Bahari Nyekundu. Sanchyez amesisitiza kuwa: 'Tunapinga kutumiwa vikosi vya baharini vya Ulaya dhidi ya maharamia kwa jina la oparesheni ya "Atalanta" kwa ajili ya kulinda meli za kibiashara katika Bahari Nyekundu mkabala wa mashambulizi ya Yemen.'
-
Baghdad: Mashambulizi ya US yamekiuka mamlaka ya kujitawala Iraq
Dec 26, 2023 23:23Serikali ya Baghdad imelaani vikali mashambulizi dhidi ya kambi tatu za Harakati ya Kataib Hizbullah nchini Iraq yaliyofanywa na vikosi vamizi vya Marekani kwa amri ya Rais Joe Biden na kueleza kuwa, hujuma hizo hazikubaliki na zimekiuka mamlaka ya kujitawala Iraq.
-
"Ubeberu wa US unaporomoka, muqawama ndiyo nguzo ya usalama katika eneo"
Dec 25, 2023 07:13Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Wamarekani wamekiri wenyewe kwamba, nidhamu ya dunia iliyojengeka katika misingi ya ubeberu ipo katika mkondo wa kuporomoka, na kwamba mabeberu hawawezi kuendelea kuwatwisha walimwengu misimamo na mitazamo yao.
-
M’membe: Vikwazo vya Magharibi vimezikurubisha pamoja Russia, Afrika
Dec 25, 2023 07:12Rais wa Chama cha Kisoshalisti cha Zambia amesema nchi za Magharibi zinaziburuza nchi nyingine duniani kuingia vitani huku zikipora rasilimali zao.