Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Uchaguzi wa urais wa 2024 na kuongezeka hatari ya ugaidi  ndani ya Marekani

    Uchaguzi wa urais wa 2024 na kuongezeka hatari ya ugaidi ndani ya Marekani

    Jan 01, 2024 23:18

    Jena Marie Griswold, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jimbo la Colorado nchini Marekani, amesema kuwa ametishiwa maisha mara kadhaa baada ya kuwasilisha malalamiko yaliyopelekea kuondolewa jina la Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais wa Marekani mwaka huu wa 2024 kwenye orodha ya wagombea katika jimbo hilo.

  • Seneta wa chama cha Democrate alaani hatua ya Joe Biden ya kutuma silaha Israel

    Seneta wa chama cha Democrate alaani hatua ya Joe Biden ya kutuma silaha Israel

    Jan 01, 2024 02:46

    Seneta wa chama cha Democrate amelaani hatua ya Rais Joe Biden wa Marekani ya kuutumia silaha mpya utawala wa kibaguzi wa Israel.

  • Maandamano ya waungaji mkono wa Palestina mbele ya Jengo la Biashara la Kimataifa la Marekani

    Maandamano ya waungaji mkono wa Palestina mbele ya Jengo la Biashara la Kimataifa la Marekani

    Dec 31, 2023 04:39

    Waungaji mkono wa wananchi madhulumu wa Palestina wamekusanyika mbele ya Jengo la Biashara la Kimataifa la Marekani wakipinga siasa za serikali ya Marekani za kutoa himaya kwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Hatua mpya ya serikali ya  Biden ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Hatua mpya ya serikali ya Biden ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Dec 30, 2023 07:42

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kupitia taarifa kuwa imetumia mamlaka iliyopewa kisheria kuuzia utawala wa haramu wa Israel shehena ya silaha bila idhini ya wabunge wa Kongresi ya nchi hiyo.

  • Ansarullah: Vikosi vya Yemen vina 'hamu' ya kukabiliana na US Bahari Nyekundu

    Ansarullah: Vikosi vya Yemen vina 'hamu' ya kukabiliana na US Bahari Nyekundu

    Dec 30, 2023 06:55

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vipo tayari kuingia katika makabiliano ya kijeshi na Marekani iwapo hali ya taharuki itashtadi katika Bahari Nyekundu.

  • Umoja wa Mataifa: Marekani ni kizuizi cha amani katika Ukanda wa Gaza

    Umoja wa Mataifa: Marekani ni kizuizi cha amani katika Ukanda wa Gaza

    Dec 30, 2023 04:38

    Mwakilishi wa Kamishna ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni huko Gaza hayawezi kuhalalishwa kwa njia yoyote ile na Marekani inazuia kupatikana amani katika eneo.

  • Uhispania yapinga kushiriki vikosi maalumu vya wanamaji vya Ulaya katika Muungano wa Baharini wa Marekani

    Uhispania yapinga kushiriki vikosi maalumu vya wanamaji vya Ulaya katika Muungano wa Baharini wa Marekani

    Dec 28, 2023 23:00

    Pedro Sanchez Waziri Mkuu wa Uhispania amepinga uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuunga mkono Muungano wa Baharini wa Marekani katika Bahari Nyekundu. Sanchyez amesisitiza kuwa: 'Tunapinga kutumiwa vikosi vya baharini vya Ulaya dhidi ya maharamia kwa jina la oparesheni ya "Atalanta" kwa ajili ya kulinda meli za kibiashara katika Bahari Nyekundu mkabala wa mashambulizi ya Yemen.'

  • Baghdad: Mashambulizi ya US yamekiuka mamlaka ya kujitawala Iraq

    Baghdad: Mashambulizi ya US yamekiuka mamlaka ya kujitawala Iraq

    Dec 26, 2023 23:23

    Serikali ya Baghdad imelaani vikali mashambulizi dhidi ya kambi tatu za Harakati ya Kataib Hizbullah nchini Iraq yaliyofanywa na vikosi vamizi vya Marekani kwa amri ya Rais Joe Biden na kueleza kuwa, hujuma hizo hazikubaliki na zimekiuka mamlaka ya kujitawala Iraq.

  • "Ubeberu wa US unaporomoka, muqawama ndiyo nguzo ya usalama katika eneo"

    Dec 25, 2023 07:13

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Wamarekani wamekiri wenyewe kwamba, nidhamu ya dunia iliyojengeka katika misingi ya ubeberu ipo katika mkondo wa kuporomoka, na kwamba mabeberu hawawezi kuendelea kuwatwisha walimwengu misimamo na mitazamo yao.

  • M’membe: Vikwazo vya Magharibi vimezikurubisha pamoja Russia, Afrika

    M’membe: Vikwazo vya Magharibi vimezikurubisha pamoja Russia, Afrika

    Dec 25, 2023 07:12

    Rais wa Chama cha Kisoshalisti cha Zambia amesema nchi za Magharibi zinaziburuza nchi nyingine duniani kuingia vitani huku zikipora rasilimali zao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS