-
40 wauawa Libya katika hujuma ya ndege ya Marekani
Feb 19, 2016 13:35Mashambulizi ya anga yaliyotekelezwa na ndege ya kivita ya Marekani yamesababisha mauaji ya watu zaidi ya 40 katika mji wa Sabratha, kaskazini magharibi mwa Libya.
-
Tahadhari kuhusu maafa ya kibinadamu ya Yemen
Feb 19, 2016 07:55Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mashambulizi yanayoendelea kufanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya watu wa Yemen yanaitumbukiza nchi hiyo katika maafa makubwa ya kibinadamu.
-
Mashambulio ya Saudia yaua makumi ya raia wa Yemen
Feb 14, 2016 07:09Watu 15 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika mashambulio ya anga yaliyofanywa alfajiri ya kuamkia leo na ndege za kivita za utawala wa Aal Saud katika mji wa kale na wa kihistoria wa Kaukaban ulioko mkoani Al Mahwit magharibi mwa Yemen.