-
HRW yaikosoa Saudia kwa matamshi ya chuki yanayotolewa na mamufti wa Kiwahabi dhidi ya Mashia
Sep 26, 2017 16:00Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limeutuhumu utawala wa Aal Saud kuwa umetoa kibali kwa mamufti wa nchi hiyo kutoa hotuba za chuki dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia kupitia vyombo rasmi vya utawala huo.
-
Waislamu Nigeria waitaka Marekani kusitisha uuzaji silaha kwa serikali ya Abuja
Aug 27, 2017 02:40Waislamu wa Nigeria wameitumia barua serikali ya Marekani wakiitaka isitishe kuiuzia silaha na zana za kijeshi serikali ya Nigeria.
-
Mahakama ya Saudia yamhukumu kifo mwanaharakati wa Kiislamu
Aug 12, 2017 02:22Mahakama ya Saudi Arabia imetoa hukumu ya kifo kwa mwanaharakati wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia anayepinga sera za utawala wa kifalme wa nchi hiyo huku serikali ya Riyadh ikiendelea kuwakandamiza wafuasi wa madhehebu hiyo, wapinzani wa kisiasa na watetezi wa demokrasia.
-
Kutangazwa eneo lililopigwa marufuku mahali yalipo makaazi ya kiongozi wa Mashia Bahrain
Aug 05, 2017 06:51Katika hatua ambayo haijawahi kushuhudiwa, utawala Aal Khalifa nchini Bahrain umeitangaza sehemu ya Ad-Darz, mahali yalipo makaazi ya kiongozi wa Waislamu wa Kishia Sheikh Isa Qassim kuwa ni eneo lililopigwa marufuku kuingia na kutoka.
-
DW yalaani ukandamizaji wa polisi ya Nigeria kwa ripota wake alipokuwa akiakisi ukatili dhidi ya Waislamu wa Shia
Jun 26, 2017 07:50Viongozi wa Shirika la Utangazaji la Ujerumani la Deutsche Welle wamekosoa miamala mibaya ya maafisa usalama wa Nigeria dhidi ya ripota wao wakati alipokuwa akiandaa ripoti ya ukandamizaji wa polisi hao dhidi ya maandamano ya Waislamu wa Kishia nchini humo.
-
Wanajeshi wa Saudia wamuua mkuu wa Baraza la Qur'ani huko Qatif
Jun 25, 2017 15:28Wanajeshi wa utawala wa Saudi Arabia wamempiga risasi na kumuua mwenyekiti wa baraza la Qur'ani katika mji Awamiya katika eneo la Qatif mashariki mwa nchi hiyo.
-
Kuendelea wasiwasi kuhusu hatima ya kiongozi wa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain
Jun 12, 2017 08:01Takribani wiki tatu zimepita tangu askari wa utawala wa Aal Khalifa walipovamia nyumba ya Ayatullah Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain na kumwekea mzingiro wa nyumbani mwanazuoni huyo. Katika hali ambayo hakuna taarifa zozote hivi sasa kuhusu hatima ya Sheikh Isa Qassim, wananchi wa Bahrain pamoja na fikra za waliowengi hasa katika Ulimwengu wa Kiislamu wanafuatilia kwa wasiwasi habari mbalimbali kuhusu hali ya mambo nchini humo.
-
Kushadidi ukandamizaji na utumiaji mabavu wa utawala wa Aal Saud nchini Saudi Arabia
Jun 04, 2017 07:31Ripoti kutoka Saudi Arabia zinaonyesha juu ya kuanza duru mpya ya mashambulio na hujuma za utawala wa Aal Saud dhidi ya wananchi wa nchi hiyo.
-
Saudia yauzingira mji wa Waislamu wa Kishia
May 16, 2017 04:12Mji mmoja wenye idadi kubwa ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Saudi Arabia uko chini ya mzingiro kwa siku ya saba mfululizo huku raia kadhaa wakiuawa na jeshi walipokuwa katika maandamano ya Amani.
-
Kesi ya Ayatollah Qassim ni mfano wa kukandamizwa Waislamu wa Kishia Bahrain
May 06, 2017 07:28Katibu Mkuu wa Chama cha Kiislamu cha Al Wifaq cha Bahrain Sheikh Ali Salman amesema kufikishwa kizimbani Ayatullah Sheikh Isa Qassim ni sawa na utawala wa Aal Khalifa kuwafikisha kizimbani na kuwalenga Waislamu wote wa madhehebu ya Shia nchini Bahrain.