Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mashia

  • Aal-Saud wawaekea vizuizi Waislamu wa Shia wasiende Karbala kumzuru mjukuu wa Mtume (saw)

    Aal-Saud wawaekea vizuizi Waislamu wa Shia wasiende Karbala kumzuru mjukuu wa Mtume (saw)

    Feb 09, 2017 16:31

    Utawala wa kifalme wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia, umeendeleza ukandamizaji na mashinikizo dhidi ya Waislamu wa Shia wa nchi hiyo, mara hii ukiwazuia wanaume walio na umri chini ya miaka 40 kufanya safari nchini Iraq kwa lengo la kumzuru al-Imamul-Hussein, mjukuu wa Mtume Muhammad (saw).

  • HRW yataka Nigeria imuachie huru Zakzaky na iache kukandamiza Mashia

    HRW yataka Nigeria imuachie huru Zakzaky na iache kukandamiza Mashia

    Dec 15, 2016 13:58

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeitaka serikali ya Abuja iheshimu agizo la mahakama na kumuachia huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigiera, Sheikh Ibrahim Zakzaky sambamba na kusitisha ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.

  • Sheikh Jalala awaasa Watanzania kuhurumiana na kupendana bila kujadli itikadi za kidini

    Sheikh Jalala awaasa Watanzania kuhurumiana na kupendana bila kujadli itikadi za kidini

    Dec 12, 2016 02:39

    Kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia Ithnashariya nchini Tanzania Shekh Hemed Jalala amewataka Watanzania kuwa na tabia ya kuhurumiana, hasa wenye uwezo kuwahurumia wasio na uwezo.

  • Magaidi washambulia msikiti kwa bomu na kuua makumi Kabul, Afghanistan

    Magaidi washambulia msikiti kwa bomu na kuua makumi Kabul, Afghanistan

    Nov 22, 2016 06:21

    Makumi ya watu wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililolenga msikiti wa Kishia katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, wakati wa maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein AS.

  • Jumuiya ya haki za binadamu  Nigeria yatoa wito wa kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jumuiya ya haki za binadamu Nigeria yatoa wito wa kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Nov 22, 2016 02:46

    Jumuiya ya Kutetea Haki za Binadamu ya Nigeria imetoa wito wa kuachiliwa huru mara moja Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo.

  • Wanajeshi wa utawala wa Aal Khalifa Bahrain waivunjia heshima Qur'ani Tukufu

    Wanajeshi wa utawala wa Aal Khalifa Bahrain waivunjia heshima Qur'ani Tukufu

    Nov 18, 2016 14:23

    Wanajeshi wa utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain, wamekivunjia heshima Kitabu cha Mwenyezi Mungu, kwa kukichanachana.

  • Kushambuliwa Waislamu na jeshi la Nigeria

    Kushambuliwa Waislamu na jeshi la Nigeria

    Nov 15, 2016 11:12

    Katika kuendelea vitendo vya mauaji vya jeshi la Nigeria dhidi ya Waislamu, kwa mara nyingine Waislamu wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika wameshambuliwa na jeshi.

  • Mashia Nigeria: Serikali inapanga kutuhujumu wakati wa Arubaini ya Imam Hussein AS

    Mashia Nigeria: Serikali inapanga kutuhujumu wakati wa Arubaini ya Imam Hussein AS

    Nov 09, 2016 07:54

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imesema vyombo vya usalama nchini humo vinapanga kuwashambulia Waislamu wa madhehebu ya Shia wakati wa Arubaini ya Imam Hussein AS.

  • Mashia Nigeria: Hujuma dhidi yetu ni mwangwi wa Uwahabi nchini

    Mashia Nigeria: Hujuma dhidi yetu ni mwangwi wa Uwahabi nchini

    Nov 04, 2016 15:50

    Waislamu wa madhehebu ya Shia huko Nigeria wamekosoa vikali ukandamizaji unaofanywa dhidi yao na vyombo vya usalama nchini humo na kusisitiza kuwa, dhulma hizo zimetokana na fikra za Kiwahabi.

  • Waislamu 10 wauawa Nigeria katika kumbukumbu ya Ashura

    Waislamu 10 wauawa Nigeria katika kumbukumbu ya Ashura

    Oct 12, 2016 15:59

    Watu wasiopungua 10 wameuawa leo katika mapigano yaliyotokea baina ya jeshi la Nigeria na Waislamu waliokuwa katika maombolezo na kumbukumbu ya mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw), Imam Hussein bin Ali katika jimbo la Katsina huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS