-
Biden asoma ripoti ya CIA kuhusu mauaji ya Khashoggi, kuzunguza na Mfalme Salman wa Saudia
Feb 25, 2021 06:13Rais Joe Biden wa Marekani amesema kuwa, amepitia ripoti vya vyombo vya ujasusi vya nchi hiyo kuhusu mauaji ya mwandishi wa habari wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi na kwamba kuna uwezekano ripoti hiyo ikatolewa hii leo Alkhamisi.
-
Ongwen kukata rufaa baada ya kuhukumiwa mahakama ya ICC
Feb 15, 2021 09:41Kamanda wa zamani wa waasi wa kundi la Lord’s Resistance Army, Dominic Dominic Ongwen amesema atakata rufaa dhidi ya uamuzi wa Februari 4 wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), ambayo ilimpata na hatia ya kutenda uhalifu 61 wa kivita jinai dhidi ya ubinadamu.
-
Ripoti: Trump alikuwa na mpango wa kufanya mauaji ya kigaidi dhidi ya Bashar Assad
Feb 15, 2021 07:25Naibu mshauri wa zamani wa Usalama wa Taifa wa Marekani amefichua kuwa, rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump alikuwa na mpango wa kufanya mauaji ya kigaidi dhidi ya Rais Bashar Assad wa Syria.
-
Kuuliwa Luqman Salim sambamba na mafanikio ya kijeshi ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon
Feb 06, 2021 09:43Luqman Salim mwanaharakati wa kisiasa na mwandishi wa Lebanon aliuawa Alhamisi katika mji wa Nabatiyah ambao wakazi wake wengi ni Waislamu wa madhehebu ya Shia huko kusini mwa Lebanon.
-
Waasi 44 wauawa na jeshi la Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jan 26, 2021 03:59Jeshi la Jamhuri ya Afrika ya Kati limetangaza habari ya kuua waasi 44 waliokuwa na nia ya kuzingira na kuudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo, Bangui sambamba na kuipindua serikali ya Rais Faustin Archange Toudera wa nchi hiyo.
-
Wanamgambo wa ADF waua raia wengine 22 Kongo DR
Jan 06, 2021 23:07Watu wasiopungua 22 wameuawa katika shambulizi lililofanywa na waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) katika mkoa wa Kivu Kaskazini huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kukosoa ripota wa Umoja wa Mataifa hatua isiyo ya kisheria ya Marekani ya kumuua Qassim Suleimani
Jan 04, 2021 07:33Januari 3 mwaka uliomalizika hivi majuzi wa 2020, kwa amri ya Rais Donald Trump, utawala wa kigaidi wa Marekani ulifanya jinai ya kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassim Suleimani, Mkuu wa Kikosi cha Quds, cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na Abu Mahdi al Muhandis, Naibu wa Mkuu wa Harakati ya al Hashd al-Shaabi katika shambulio la anga lililofanywa jirani na uwanja wa ndege wa Baghdad nchini Iraq.
-
Nukta muhimu katika mahojiano ya Sayyid Hassan Nasrallah na Televisheni ya Al Mayadeen
Dec 28, 2020 23:29Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah Jumapili 27 Disemba alifanya mahojiano muhimu na Televisheni ya Al Mayadeen ya Lebanon. Katika mahojiano hayo aliwakumbuka na kuwawenzi Shahidi Luteni Jenerali Hajj Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.
-
Jalali: Iran ina haki ya kulipiza kisasi kiistratijia; mauaji ya kigaidi ya shahid Fakhrizadeh
Dec 08, 2020 03:56Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Russia amesema kuwa, Tehran ina haki ya kulipiza kisasi mauaji ya kigaidi aliyofanyiwa mtaalamu wake wa nyuklia na masuala ya ulinzi, shahid Mohsen Fakhrizadeh.
-
Mauaji ya kiuoga ya mwanasayansi wa Iran na wajibu wa taasisi za kimataifa
Nov 30, 2020 01:05Ikiwa ni katika kudumisha hatua zake za kijinai na kigaidi dhidi ya taifa la Iran, Ijumaa tarehe 27 Novemba utawala wa Kizayuni wa Israel ulitekeleza mauaji mengine ya kigaidi dhidi ya Mohsen Fakhrizadeh, mwanasayansi bora na mashuhuri wa Iran, katika mji wa Abesard, mkoani Tehran.