-
Ripota maalum wa UN: Mauaji ya mwanasayansi wa Iran ni ukiukaji wa Hati ya Umoja wa Mataifa
Nov 28, 2020 04:16Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa ameyaelezea mauaji ya mwanasayansi wa Iran Shahidi Mohsen Fakhrizadeh kama "mauaji ya nje ya mipaka yaliyofanywa kwa lengo maalum" na akasisitiza kuwa, kumkosesha mtu haki ya kuishi katika kipindi cha amani ni ukiukaji wa Hati ya Umoja wa Mataifa.
-
Trump athibitisha kuhusika Mossad katika mauaji ya shahidi Fakhrizadeh
Nov 28, 2020 04:16Hatua ya rais wa Marekani ya kuusambaza ujumbe ulioandikwa na mwandishi mmoja wa habari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel imethibitisha kwa njia isiyo ya moja kwa moja kuhusika utawala huo katika mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran.
-
Raisi: Iran imeazimia kuwafuatilia walioamuru na waliotekeleza mauaji ya kigaidi ya Kamanda Soleimani
Nov 09, 2020 08:42Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imedhamiria kwa dhati kutekeleza kwa uadilifu kwa wale wote walioamuru na waliotekeleza jinai ya kumuuwa kigaidi Kamanda Qassem Soleimani.
-
Makumi wauawa katika shambulio la wabeba silaha Ethiopia
Nov 03, 2020 03:39Makumi ya watu wameuawa katika shambulizi la wanamgambo waliobeba silaha magharibi mwa Ethiopia.
-
Mauaji ya kigaidi ya viongozi; mbinu ya Kizayuni inayotumiwa na Saudi Arabia nchini Yemen
Oct 30, 2020 03:57Wizara ya Mambo ya Ndani ya Yemen imetangaza kupitia taarifa kwamba mashirika ya ujasusi ya nchi zinazounda muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia ndiyo yaliyopanga mauaji ya kigaidi ya Hassan Muhammad Zaid, Waziri wa Michezo na Vijana wa serikali ya uokovu wa kitaifa ya Yemen.
-
Wauaji wa Waziri wa Michezo wa Yemen wajulikana, Ansarullah yailaumu Marekani na Saudia
Oct 28, 2020 23:23Vyombo vya usalama na upelelezi vya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa nchini Yemen vimebaini utambulisho wa watu waliofanya mauaji ya aliyekuwa Waziri wa Michezo na Vijana wa nchi hiyo, Hassan Zaid.
-
Umoja wa Afrika walaani mauaji ya raia nchini Nigeria
Oct 22, 2020 10:18Nchi ya Nigeria inaendelea kukumbwa na hali ya machafuko baada ya askari usalama kuwatawanya kikatili vijana walioandamana dhidi ya ghasia za polisi, na kuua watu kadhaa. hayo yametangaza na shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International.
-
Mamia wapambana na polisi Tunisia baada ya muuza sigara kuuawa kwa buldoza
Oct 13, 2020 22:53Mamia ya waandamanaji waliokuwa wakirusha mawe walipambana na polisi katika mji wa Sbeitla nchini Tunisia jana Jumanne baada ya mamlaka kushambulia kibanda cha sigara ambacho hakina leseni, na kumuua mmiliki wake aliyekuwa amelala ndani yake.
-
Genge la wabeba silaha lafanya tena mashambulio na kuua 12 Ethiopia
Oct 13, 2020 04:10Kwa akali watu 12 wameuawa katika shambulizi la wanamgambo waliobeba silaha katika eneo la Benishangul-Gumuz, magharibi mwa Ethiopia.
-
Meya wa New York awataka mamea wenzake kususia mkutano wa "Urban 20" kupinga ukiukwaji wa haki za binadamu Saudia
Sep 27, 2020 01:11Meya wa jiji la New Yorkk nchini Marekani amesema kuwa atasusia mkutano wa "Urban 20" wa mameya wa miji mikubwa ya nchi wanachama katika kundi la G20 uliopangwa kufanyika nchini Saudia ili kupinga ukiukaji wa haki za binadamu na mauaji yaliyofanywa na utawala huo dhidi ya mwandishi habari Jamal Khashoggi.